Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
niko rum kwangu na flit
NAPSTAR ...njoo huku mitaa ya Namanga,chobingo na BestBite,wananiuliza mapovu ya aina gani hayo unayowaitia wayachezee..
haya mapovu yateleza ka mlenda waambie wasichelewe nawasubiri
FLIT ndo nini?niko rum kwangu na flit
safi,nimekumiss
Nipo ila jf ndio ilinipoteza...nilikumiss nkakutafuta thread fulani hukupatikana tena
niko tandale kwa tumbo nasuka twende kilioni za buku.
Pole....mi niko poa najiandaa kwenda hm tu....sina jipyaoooh pole sana kwa kunitafuta, siku nzima nilikuwa busy na usafi wa hapa na pale sikupata muda wa kupitia thread ..........
Jumapili inaishaje? Huku joto na mgao wa kimya kimya
Pole....mi niko poa najiandaa kwenda hm tu....sina jipya
Pole....mi niko poa najiandaa kwenda hm tu....sina jipya
nawee unasuka.!!? nlidhania unakipara..