sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,044
copy paste fb ila muhimu
Wanafunzi wengi wenye ndoto za kusomea masuala ya Tehama huwa wanahangaika sana linapokuja suala la kufanya maamuzi juu ya kusomea kozi ipi kati ya hizo tatu.... ufuatao ni upembuzi yakinifu wa kuzitofautisha
1๏ธโฃ ๐๐๐๐๐๐๐ผ๐๐๐๐ ๐๐๐พ๐๐๐๐๐๐๐ / ๐๐๐๐๐๐๐ & ๐๐พ๐
๐น๐๐ป๐ฎ๐ต๐๐๐ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ
kozi hii imejikita zaidi katika kuyajua matumizi ya vitu vilivyomo kwenye computer kwajili ya matumizi rasmi na kuhakiisha vinafanya kazi kama inavyotakiwa.
Utajifunza matumizi ya software muhimu, kurekebisha matatizo yake, ku-configure settings za hardware, kufanya back ups, n.k. Yote hii ni kuhakikisha mifumo ya tehama kwenye shirika inakuwa inafanya kazi muda wote na watumiaji wake nao uwasaidie katika matumizi yake wapatapo shida.
Mambo ya kuijua computer kwa undani, kutengeneza system za computer, n.k huko ni computer science na computer engineering, wewe utajifunza zaidi kutumia vitu ambavyo vimeshatengenezwa kwajili ya matumizi rasmi, kazi yako ni kujua namna ya kuvitumia kwa hali ya juu
๐น๐จ๐๐ฒ๐ฝ๐ผ ๐๐ฎ ๐ต๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐: chache ๐
kozi hizi zina hesabu chache sana, ni zile hesabu za kawaida ambazo hata ukienda kusomea business administration, marketing, law, n. K hazikwepeki. Mnaweza soma somo 1 au labda mawili kati ya masomo zaidi ya 30 mtayosoma chuoni.
๐น๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฎ๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ด๐ฒ ๐ธ๐๐ถ๐๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ
inakufaa zaidi mtu ambae una experience ya kutumia computer hata katika level walau ya kawaida, ukifika chuoni mambo mengi kwako itakuwa ni muendelezo, hutatumia nguvu nyingi sana kama wale ambao ni wageni kiasi kwaba hata kuwasha pc hawajui.
๐น๐ ๐ณ๐ฎ๐ป๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ ๐๐๐ฎ๐๐๐ผ๐ท๐ถ๐ณ๐๐ป๐๐ฎ
utajifunza namna ya kutumia programs muhimu kama microsoft access na mysql kwajili ya database, microsoft word kwajili ya kuandaa nyaraka, photoshop kwajili ya graphics, n.k.
Utajifunza kupiga window kwajili ya kuingiza operating system kwenye computer.
Utajifunza ku install programs na kuzi update.
Kwenye networking utajikita zaidi kujua namna ya ku install network, kuconfigugure na kuhakikisha zinafanya kazi kwa kutumia manuals na software ambazo zipo tayari.
Kwenye kutengeneza software utajikita zaidi kutumia software za compiler ili kutengeneza program / app, mambo ya kujua code hutahangaika nayo sana.
Kwenye kutengeneza website nako utatumia compilers kama dream weaver, mambo ya kuchapa code kama html, css, javascript, n.k utajifunza vile vitu basic ili uweze kutumia compiler.
Kwenye ulinzi utajikita zaidi kujua ku install na ku update anti virus.
Kwenye programming hutaingia ndani sana ila utajifunza lugha muhimu na nyepesi kama python ili ujue kutengeneza scripts.
Kwenye kurekebisha matatizo ya pc nako utajifunza zaidi kuyarekebisha kwa kutumia software ama ku trouble shoot kwa window, bila kusahau kutwanga window kwenye pc sugu.
๐น๐ ๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ณ๐๐ป๐ฑ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ง๐ญ
ni kozi ambayo hata kwa vyuo vya bongo inafundishika vizuri tu, masomo huwa ni machache nah ii itakupa muda mwingi wa kupumzika unaoweza kuutumia kujiendeleza na hobby za computer kama programming, website designing, kutengeneza apps, n. K. Hivi ni vitu ambavyo hata mwanasheria, muhasibu, doctor, n. K akivifanya kuwa hobby anakuwa deep kuzidi mtu anaesomea computer science au computer engineering ambae ni mgeni wa programming na ratiba imembana sana hata kujifunza kwa undani haya mambo.
๐น๐๐ท๐ถ๐ฟ๐ฎ:
ict support technician, help desk officer, pc support, technical support, chief information officer, database administrator, project manager system administrator, n.k
2๏ธโฃ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐น๐๐ป๐ฎ๐ต๐๐๐ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ
computer science imejikita zaidi kujua computation zaidi kuliko kuijua computer, computation itajikita zaidi kwenye upande wa kuijua mifumo ya system za software kwa undani zaidi na upana. Utajifunza comncepts za computer systems na jinsi zinavyotengenezwa na kufanya kazi. Mtafukua sana mambo ya programming, data structures, algorithm design. Software development.
๐น๐จ๐๐ฒ๐ฝ๐ผ ๐๐ฎ ๐ต๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐: Nyingi ๐ฅธ
kwenye hii kozi kuna hesabu za kutosha tu, hivyo kama unazipenda hesabu na mambo ya programming, hapa patakufaa.
๐น๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฎ๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ด๐ฒ ๐ธ๐๐ถ๐๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ
inakufaa zaidi mtu ambae una back ground ya coding, programming, n.k... Uwe angalau unazijua japo kwa mbali languages kama c++, java, python, pascal, css, javascript, n.k. Kiufupi usiwe mgeni sana lasivyo utatumia nguvu nyingi sana kujifunza mambo mapya. pia hakikish hesabu upo good.
๐น๐ ๐ณ๐ฎ๐ป๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ ๐๐๐ฎ๐๐๐ผ๐ท๐ถ๐ณ๐๐ป๐๐ฎ
web development, hapa mtajifunza lugha nyingi za kutengenezea websites kwa undani kama html, css, javascript, php, n.k.
Utajifunza vitu kama binary ambazo ni namba 1 na 0 zinavyotumika kufanya maamuzi, utajifunza logic gates zinazochukua hizo 1 na 0 ili kumpa mtumiaji matokeo kulingana na input.
programming, hapa mtajifunza lugha za programming kama java, c++, n.k ili kutengeneza system zainazofanya kazi
artificial intellingence
database mtaingia ndani zaidi kufukua database systems
networking mtachimba zaidi mambo ya ports, scanning, vulnerabilities, security, n. K.
Pia mtajifunza mambo ya ethical hacking, penetration testin, n.k. lengo likiwa kuzilinda systems.
๐น๐ ๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ณ๐๐ป๐ฑ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ง๐ญ
theory nyingi sana ndio tatizo hapa, walimu wengi nao wamefaulu vizuri kwenye vyeti vyao vilivyowapa ajira kwa kujbu mitihani vizuri kulingana na notes... Ratiba zilizobana ndani na nje ya darasa ili kuendana na shule ya haya mambo inafanya wengi wakose mda wa kujiendeleza kivyao kufanya projects au kujiendeleza na hobby zao kama programming.
๐น๐๐ท๐ถ๐ฟ๐ฎ:
Ajira karibia zote za waliosomea it/ is/ ict una sifa ya kuzifanya.
ajira za ziada ni kama Web developer, webmaster, app developer, programmer, software engineer, artificial intelligence engineer, n.k.
Kama unavyoziona hizo kazi za ziada kibongo bongo bado ni nadra sana, mwisho wa siku aliesomea hii fani ata apply kazi za it/is/ict. kwa target ya soko la ajira ni heri tu uchague kusomea it au computer engineering, hii kozi ya computer science kupata ajira zake pekee kwa hapa bongo ni ngumu.
๐น๐น๐จ๐๐ผ๐ณ๐ฎ๐๐๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ผ๐บ๐ฝ๐๐๐ฒ๐ฟ ๐๐ฐ๐ถ๐ฒ๐ป๐ฐ๐ฒ ๐ป๐ฎ ๐๐ผ๐ณ๐๐๐ฎ๐ฟ๐ฒ ๐๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ฒ๐ฒ๐ฟ๐ถ๐ป๐ด
Software engineering ni tawi la computer science, imejikita zaidi na vipengere vya computer science vinavyohusu kudevelop software, umakini wote ni kuujua uwanja wa kutengeneza software, ku test software, ku deploy software, n.k. kitu ambacho kitaelekezwa kwenye computer science kama topic basi kinaweza kuwa ni somo kabisa linalojitegemea kwenye software engineering.
mwisho wa siku mtu aliesomea computer science ana uwanja mpana, anaweza kuwa software engineer au vitu vingine vya ziada alivyosomea tofauti na software engineer ambae kaweka focus kwenye kipengere kimoja cha computer science kinachohusu software. ila niweke mambo clear kwamba aliesomea software engineering ataweza kuumudu uwanja wake zaidi kuliko aliesomea comuter engineering, hii ni kwasababu ya advantage ya kuwekea umakini kitu kimoja.
Kibongo bongo wengi wanasoma ili kuja kuajiriwa, hivyo wanaangaliaga kozi yenye ajira nyingi, hii inapelekea kuwa nadra kukuta mtu kamua kusomea software engineering endapo anajua uhalisia utakuwaje baada ya kumaliza chuo kwenye soko la ajira.
3๏ธโฃ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐น๐๐ป๐ฎ๐ต๐๐๐ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ
computer engineering ni ndoa kati nusu ya computer science na nusu ya electronics engineering, inajumuisha 50% ya computer science kwenye mambo ya software na 50% ya electonics engineeing (uhandisi wa umeme) kwenye kujua umeme wa vifaa. Ni nusu software na nusu hardware
๐น๐จ๐๐ฒ๐ฝ๐ผ ๐๐ฎ ๐ต๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐: nyingi zaidi ๐ฅ
hesabu ni nyngi zaidi ya computer science maana humu kuna pande la electronics engineering
๐น๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฎ๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ด๐ฒ ๐ธ๐๐ถ๐๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ
ni nzuri kama una background ya electronics, hasa ukiwa umesomea technic schools o-level na unaenda kusomea diploma ya haya mambo au uwe na diploma ya electronics na unaenda kusomea degree ya computer engineering..... coding nazo ukizijua kwa mbali si haba, Pia bila kusahau hakikisha hesabu kwako ni kama kucheza game.
๐น๐ ๐ณ๐ฎ๐ป๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ ๐๐๐ฎ๐๐๐ผ๐ท๐ถ๐ณ๐๐ป๐๐ฎ
Umeme - computer ni chombo kinachotumia umeme kwa hio lazima ujifunze vifaa vyake na mifumo yake ya umeme, utajifunza nje ndani vitu vya kwenye circuit kama capacitator, resistors na inductors. utajifunza volts, ohms, na mambo mengi zaidi ya umeme, hapa hata ukimaliza chuo unaweza kuwa fundi umeme.
-upande wa software utajifunza vitu takribani 50% vya computer science kwenye nyanja za software. Utajifunza vitu kama operating systems zinazounganisha hardware na software, hardware programming, robotics, automation, n.k.
-utajifunza kufungua na kuvirudishia vifaa vya computer, kuunda mother board na kupachika vifaa vyake, soldering, n.k.
๐น๐ ๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ณ๐๐ป๐ฑ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ง๐ญ
Again! Vyuo vingi tz hufundiha kwa theory wakati hii ni kozi ambayo inahitaji practicles nyingi sana, inafaa chuo kiwe na boards na components zake za kutosha ili mwanafunzi aweze kuunda na kutengeneza motherboards kwa sequence inayofata logic, theory pekee za darasani ni ngumu sana kupata elimu sahihi ya computer engineering. Kama una hela zako jipange ununue vifaa vya practices.
๐น๐๐ฑ๐ฑ๐ฒ๐ฑ ๐๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ด๐ฒ
ni taaluma ambayo inakuruhusu kusajiliwa na kutambulika kama engineer / muhandisi.. utawekewa salutation ya Eng (engineer) badala ya mr / mrs.
๐น๐๐ท๐ถ๐ฟ๐ฎ:
ajira nyingi za wenye it/is/ict + wenye computer science
ajira za ziada ni kama kuwa fundi wa minara, hardware engineer, electronics engineer, n.k.
Pia ni elimu nzuri sana kukuandaa kuwa fundi wa simu / laptops endapo umepata practicles za kutosha chuoni.
๐ ๐๐๐๐ฒ๐ธ๐ฒ ๐บ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ผ ๐๐ฎ๐๐ฎ,
kama umedhamiria kuwa programmer somea computer science ila hakikisha uwe na ka background kidogo kwenye programming.
๐น๐๐๐๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐ผ๐๐ถ ๐๐ฝ๐ฒ๐ฐ๐ถ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฑ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ฐ๐๐ฏ๐ฒ๐ฟ ๐๐ฒ๐ฐ๐๐ฟ๐ถ๐๐, ๐๐ผ๐ณ๐๐๐ฎ๐ฟ๐ฒ ๐ฑ๐ฒ๐๐ฒ๐น๐ผ๐ฝ๐บ๐ฒ๐ป๐, ๐ป.๐ธ
Kwa ushauri wangu huku level za diploma na degree somea kozi pana kama I.t/is/ict, c.s, c.e, halafu kwenye masters ndio uka specialize (kubobea) kwenye Software development, Cyber security, n.k
๐๐พ๐๐๐พ๐๐๐๐๐๐
vyuo vyetu vya huku bongo vina lack sana kwenye practical, nguvu zote za ufundishaji karibia 98% ni theory ya kwenye notes na vitini na utapimwa uwezo wako kwa kujibu kitu kinachoendana na notes, uwanja wa mwanafunzi kuandaliwa practically ni mdogo mno, ndio maana si ajabu kumkuta mtu kamaliza degree electronics engineering lakini kaachwa mbali sana na fundi umeme au fundi radio wa mtaani.
Silaha kubwa ni kuhakikisha wewe kama wewe unaweza kujiendeleza na projects zako ama kujijengea uzoefu katika hobby flani ya kitu unachosomea, muda wa mwanafunzi kuwa huru ni muhimu sana ili apate muda wa kusakafia alichojifunza.
Katika soko la kazi nako sana sana ni kazi za IT / IS / ICT na computer engineering... ukisomea computer science ni ngumu sana kuwa na career specialised kwajili ya computer science, hivyo ni bora uchague usomee IT au Computer engineering hasa ukizingatia vyuo vyetu teory ni nyingi uisomea hio computer science.
unaweza kushare unacho kijua cha ziada, sio mbaya tukajifunza
Wanafunzi wengi wenye ndoto za kusomea masuala ya Tehama huwa wanahangaika sana linapokuja suala la kufanya maamuzi juu ya kusomea kozi ipi kati ya hizo tatu.... ufuatao ni upembuzi yakinifu wa kuzitofautisha
1๏ธโฃ ๐๐๐๐๐๐๐ผ๐๐๐๐ ๐๐๐พ๐๐๐๐๐๐๐ / ๐๐๐๐๐๐๐ & ๐๐พ๐
๐น๐๐ป๐ฎ๐ต๐๐๐ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ
kozi hii imejikita zaidi katika kuyajua matumizi ya vitu vilivyomo kwenye computer kwajili ya matumizi rasmi na kuhakiisha vinafanya kazi kama inavyotakiwa.
Utajifunza matumizi ya software muhimu, kurekebisha matatizo yake, ku-configure settings za hardware, kufanya back ups, n.k. Yote hii ni kuhakikisha mifumo ya tehama kwenye shirika inakuwa inafanya kazi muda wote na watumiaji wake nao uwasaidie katika matumizi yake wapatapo shida.
Mambo ya kuijua computer kwa undani, kutengeneza system za computer, n.k huko ni computer science na computer engineering, wewe utajifunza zaidi kutumia vitu ambavyo vimeshatengenezwa kwajili ya matumizi rasmi, kazi yako ni kujua namna ya kuvitumia kwa hali ya juu
๐น๐จ๐๐ฒ๐ฝ๐ผ ๐๐ฎ ๐ต๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐: chache ๐
kozi hizi zina hesabu chache sana, ni zile hesabu za kawaida ambazo hata ukienda kusomea business administration, marketing, law, n. K hazikwepeki. Mnaweza soma somo 1 au labda mawili kati ya masomo zaidi ya 30 mtayosoma chuoni.
๐น๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฎ๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ด๐ฒ ๐ธ๐๐ถ๐๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ
inakufaa zaidi mtu ambae una experience ya kutumia computer hata katika level walau ya kawaida, ukifika chuoni mambo mengi kwako itakuwa ni muendelezo, hutatumia nguvu nyingi sana kama wale ambao ni wageni kiasi kwaba hata kuwasha pc hawajui.
๐น๐ ๐ณ๐ฎ๐ป๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ ๐๐๐ฎ๐๐๐ผ๐ท๐ถ๐ณ๐๐ป๐๐ฎ
utajifunza namna ya kutumia programs muhimu kama microsoft access na mysql kwajili ya database, microsoft word kwajili ya kuandaa nyaraka, photoshop kwajili ya graphics, n.k.
Utajifunza kupiga window kwajili ya kuingiza operating system kwenye computer.
Utajifunza ku install programs na kuzi update.
Kwenye networking utajikita zaidi kujua namna ya ku install network, kuconfigugure na kuhakikisha zinafanya kazi kwa kutumia manuals na software ambazo zipo tayari.
Kwenye kutengeneza software utajikita zaidi kutumia software za compiler ili kutengeneza program / app, mambo ya kujua code hutahangaika nayo sana.
Kwenye kutengeneza website nako utatumia compilers kama dream weaver, mambo ya kuchapa code kama html, css, javascript, n.k utajifunza vile vitu basic ili uweze kutumia compiler.
Kwenye ulinzi utajikita zaidi kujua ku install na ku update anti virus.
Kwenye programming hutaingia ndani sana ila utajifunza lugha muhimu na nyepesi kama python ili ujue kutengeneza scripts.
Kwenye kurekebisha matatizo ya pc nako utajifunza zaidi kuyarekebisha kwa kutumia software ama ku trouble shoot kwa window, bila kusahau kutwanga window kwenye pc sugu.
๐น๐ ๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ณ๐๐ป๐ฑ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ง๐ญ
ni kozi ambayo hata kwa vyuo vya bongo inafundishika vizuri tu, masomo huwa ni machache nah ii itakupa muda mwingi wa kupumzika unaoweza kuutumia kujiendeleza na hobby za computer kama programming, website designing, kutengeneza apps, n. K. Hivi ni vitu ambavyo hata mwanasheria, muhasibu, doctor, n. K akivifanya kuwa hobby anakuwa deep kuzidi mtu anaesomea computer science au computer engineering ambae ni mgeni wa programming na ratiba imembana sana hata kujifunza kwa undani haya mambo.
๐น๐๐ท๐ถ๐ฟ๐ฎ:
ict support technician, help desk officer, pc support, technical support, chief information officer, database administrator, project manager system administrator, n.k
2๏ธโฃ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐น๐๐ป๐ฎ๐ต๐๐๐ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ
computer science imejikita zaidi kujua computation zaidi kuliko kuijua computer, computation itajikita zaidi kwenye upande wa kuijua mifumo ya system za software kwa undani zaidi na upana. Utajifunza comncepts za computer systems na jinsi zinavyotengenezwa na kufanya kazi. Mtafukua sana mambo ya programming, data structures, algorithm design. Software development.
๐น๐จ๐๐ฒ๐ฝ๐ผ ๐๐ฎ ๐ต๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐: Nyingi ๐ฅธ
kwenye hii kozi kuna hesabu za kutosha tu, hivyo kama unazipenda hesabu na mambo ya programming, hapa patakufaa.
๐น๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฎ๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ด๐ฒ ๐ธ๐๐ถ๐๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ
inakufaa zaidi mtu ambae una back ground ya coding, programming, n.k... Uwe angalau unazijua japo kwa mbali languages kama c++, java, python, pascal, css, javascript, n.k. Kiufupi usiwe mgeni sana lasivyo utatumia nguvu nyingi sana kujifunza mambo mapya. pia hakikish hesabu upo good.
๐น๐ ๐ณ๐ฎ๐ป๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ ๐๐๐ฎ๐๐๐ผ๐ท๐ถ๐ณ๐๐ป๐๐ฎ
web development, hapa mtajifunza lugha nyingi za kutengenezea websites kwa undani kama html, css, javascript, php, n.k.
Utajifunza vitu kama binary ambazo ni namba 1 na 0 zinavyotumika kufanya maamuzi, utajifunza logic gates zinazochukua hizo 1 na 0 ili kumpa mtumiaji matokeo kulingana na input.
programming, hapa mtajifunza lugha za programming kama java, c++, n.k ili kutengeneza system zainazofanya kazi
artificial intellingence
database mtaingia ndani zaidi kufukua database systems
networking mtachimba zaidi mambo ya ports, scanning, vulnerabilities, security, n. K.
Pia mtajifunza mambo ya ethical hacking, penetration testin, n.k. lengo likiwa kuzilinda systems.
๐น๐ ๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ณ๐๐ป๐ฑ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ง๐ญ
theory nyingi sana ndio tatizo hapa, walimu wengi nao wamefaulu vizuri kwenye vyeti vyao vilivyowapa ajira kwa kujbu mitihani vizuri kulingana na notes... Ratiba zilizobana ndani na nje ya darasa ili kuendana na shule ya haya mambo inafanya wengi wakose mda wa kujiendeleza kivyao kufanya projects au kujiendeleza na hobby zao kama programming.
๐น๐๐ท๐ถ๐ฟ๐ฎ:
Ajira karibia zote za waliosomea it/ is/ ict una sifa ya kuzifanya.
ajira za ziada ni kama Web developer, webmaster, app developer, programmer, software engineer, artificial intelligence engineer, n.k.
Kama unavyoziona hizo kazi za ziada kibongo bongo bado ni nadra sana, mwisho wa siku aliesomea hii fani ata apply kazi za it/is/ict. kwa target ya soko la ajira ni heri tu uchague kusomea it au computer engineering, hii kozi ya computer science kupata ajira zake pekee kwa hapa bongo ni ngumu.
๐น๐น๐จ๐๐ผ๐ณ๐ฎ๐๐๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ผ๐บ๐ฝ๐๐๐ฒ๐ฟ ๐๐ฐ๐ถ๐ฒ๐ป๐ฐ๐ฒ ๐ป๐ฎ ๐๐ผ๐ณ๐๐๐ฎ๐ฟ๐ฒ ๐๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ฒ๐ฒ๐ฟ๐ถ๐ป๐ด
Software engineering ni tawi la computer science, imejikita zaidi na vipengere vya computer science vinavyohusu kudevelop software, umakini wote ni kuujua uwanja wa kutengeneza software, ku test software, ku deploy software, n.k. kitu ambacho kitaelekezwa kwenye computer science kama topic basi kinaweza kuwa ni somo kabisa linalojitegemea kwenye software engineering.
mwisho wa siku mtu aliesomea computer science ana uwanja mpana, anaweza kuwa software engineer au vitu vingine vya ziada alivyosomea tofauti na software engineer ambae kaweka focus kwenye kipengere kimoja cha computer science kinachohusu software. ila niweke mambo clear kwamba aliesomea software engineering ataweza kuumudu uwanja wake zaidi kuliko aliesomea comuter engineering, hii ni kwasababu ya advantage ya kuwekea umakini kitu kimoja.
Kibongo bongo wengi wanasoma ili kuja kuajiriwa, hivyo wanaangaliaga kozi yenye ajira nyingi, hii inapelekea kuwa nadra kukuta mtu kamua kusomea software engineering endapo anajua uhalisia utakuwaje baada ya kumaliza chuo kwenye soko la ajira.
3๏ธโฃ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐น๐๐ป๐ฎ๐ต๐๐๐ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ
computer engineering ni ndoa kati nusu ya computer science na nusu ya electronics engineering, inajumuisha 50% ya computer science kwenye mambo ya software na 50% ya electonics engineeing (uhandisi wa umeme) kwenye kujua umeme wa vifaa. Ni nusu software na nusu hardware
๐น๐จ๐๐ฒ๐ฝ๐ผ ๐๐ฎ ๐ต๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐: nyingi zaidi ๐ฅ
hesabu ni nyngi zaidi ya computer science maana humu kuna pande la electronics engineering
๐น๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฎ๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ด๐ฒ ๐ธ๐๐ถ๐๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ
ni nzuri kama una background ya electronics, hasa ukiwa umesomea technic schools o-level na unaenda kusomea diploma ya haya mambo au uwe na diploma ya electronics na unaenda kusomea degree ya computer engineering..... coding nazo ukizijua kwa mbali si haba, Pia bila kusahau hakikisha hesabu kwako ni kama kucheza game.
๐น๐ ๐ณ๐ฎ๐ป๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ ๐๐๐ฎ๐๐๐ผ๐ท๐ถ๐ณ๐๐ป๐๐ฎ
Umeme - computer ni chombo kinachotumia umeme kwa hio lazima ujifunze vifaa vyake na mifumo yake ya umeme, utajifunza nje ndani vitu vya kwenye circuit kama capacitator, resistors na inductors. utajifunza volts, ohms, na mambo mengi zaidi ya umeme, hapa hata ukimaliza chuo unaweza kuwa fundi umeme.
-upande wa software utajifunza vitu takribani 50% vya computer science kwenye nyanja za software. Utajifunza vitu kama operating systems zinazounganisha hardware na software, hardware programming, robotics, automation, n.k.
-utajifunza kufungua na kuvirudishia vifaa vya computer, kuunda mother board na kupachika vifaa vyake, soldering, n.k.
๐น๐ ๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ณ๐๐ป๐ฑ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ง๐ญ
Again! Vyuo vingi tz hufundiha kwa theory wakati hii ni kozi ambayo inahitaji practicles nyingi sana, inafaa chuo kiwe na boards na components zake za kutosha ili mwanafunzi aweze kuunda na kutengeneza motherboards kwa sequence inayofata logic, theory pekee za darasani ni ngumu sana kupata elimu sahihi ya computer engineering. Kama una hela zako jipange ununue vifaa vya practices.
๐น๐๐ฑ๐ฑ๐ฒ๐ฑ ๐๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ด๐ฒ
ni taaluma ambayo inakuruhusu kusajiliwa na kutambulika kama engineer / muhandisi.. utawekewa salutation ya Eng (engineer) badala ya mr / mrs.
๐น๐๐ท๐ถ๐ฟ๐ฎ:
ajira nyingi za wenye it/is/ict + wenye computer science
ajira za ziada ni kama kuwa fundi wa minara, hardware engineer, electronics engineer, n.k.
Pia ni elimu nzuri sana kukuandaa kuwa fundi wa simu / laptops endapo umepata practicles za kutosha chuoni.
๐ ๐๐๐๐ฒ๐ธ๐ฒ ๐บ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ผ ๐๐ฎ๐๐ฎ,
kama umedhamiria kuwa programmer somea computer science ila hakikisha uwe na ka background kidogo kwenye programming.
๐น๐๐๐๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐ผ๐๐ถ ๐๐ฝ๐ฒ๐ฐ๐ถ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฑ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ฐ๐๐ฏ๐ฒ๐ฟ ๐๐ฒ๐ฐ๐๐ฟ๐ถ๐๐, ๐๐ผ๐ณ๐๐๐ฎ๐ฟ๐ฒ ๐ฑ๐ฒ๐๐ฒ๐น๐ผ๐ฝ๐บ๐ฒ๐ป๐, ๐ป.๐ธ
Kwa ushauri wangu huku level za diploma na degree somea kozi pana kama I.t/is/ict, c.s, c.e, halafu kwenye masters ndio uka specialize (kubobea) kwenye Software development, Cyber security, n.k
๐๐พ๐๐๐พ๐๐๐๐๐๐
vyuo vyetu vya huku bongo vina lack sana kwenye practical, nguvu zote za ufundishaji karibia 98% ni theory ya kwenye notes na vitini na utapimwa uwezo wako kwa kujibu kitu kinachoendana na notes, uwanja wa mwanafunzi kuandaliwa practically ni mdogo mno, ndio maana si ajabu kumkuta mtu kamaliza degree electronics engineering lakini kaachwa mbali sana na fundi umeme au fundi radio wa mtaani.
Silaha kubwa ni kuhakikisha wewe kama wewe unaweza kujiendeleza na projects zako ama kujijengea uzoefu katika hobby flani ya kitu unachosomea, muda wa mwanafunzi kuwa huru ni muhimu sana ili apate muda wa kusakafia alichojifunza.
Katika soko la kazi nako sana sana ni kazi za IT / IS / ICT na computer engineering... ukisomea computer science ni ngumu sana kuwa na career specialised kwajili ya computer science, hivyo ni bora uchague usomee IT au Computer engineering hasa ukizingatia vyuo vyetu teory ni nyingi uisomea hio computer science.
unaweza kushare unacho kijua cha ziada, sio mbaya tukajifunza