Njanga Tz
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 843
- 653
Chama ni muhimu kuliko Taif?Mshana jr mtendee haki mtoa mada, usiendelee kumjaza ujinga. Ninafahamu wewe una uelewa zaidi kuhusu tofauti ya sherehe za vyama na serikali.
Waziri Mkuu alipoenda Arusha kwenye sherehe ya kusimikwa Askofu Mkuu KKKT Frederick Shoo unadhani kanisa la KKKT lilimlipia pesa za mafuta ya magari na walinzi wake?
Nimekuambia nenda shule ukajifunze civics!