Hansss
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,370
- 2,722
Naona mmeshindwa kujua kwanin mwanzisha thread anatokwa povu pa1 na wote wanaomsupport sio kwamba uwezo wao ni mdogo la hasha ni hivi yeye hajui lini chama chake cha cdm kiliasisiwa ama kuzaliwa ili naye walau angetamani hata kwa siku moja ktk maisha yake wafanye sherehe, mi naona ni muda mzuri kwa yy kumuuliza mtukufu mbowe ni lin waadhimishe ili taifa na media zipambwe na mbwembwe zao,ni hilo tu maana hawana jipya