Unazuia sherehe za Uhuru, unaadhimisha birthday ya CCM

Kwani sherehe za kuzaliwa chama zinasimamiwa na Rais au Mwenyekiti wa chama? Bajeti yake ni ya Serikali au chama?
 
Bajeti ya Sherehe ya Birthday ya CCM inahusika na CCM, CCM wao wenyewe wanajua Bajeti yao wanatoa wapi wao ka chama.
Sasa ntakushangaa sana unapotaka kulinganisha swala la CCM na Serikali, Magufuli alienda kama Mwanachama wa CCM pale hajaenda kama Rais, Ingawa Kiti cha Urais Kipo palepale.
Huwezi kuta Budget ya CCM serikali kwa sherehe hizo.

Ivo Maadhimisho ya Chama cha Mapinduzi yataendelea Miaka yote
 
Sisiemu sio chadema, miaka 39 ni milestone, lazima waiadhimishe kimtindo wao, hutaki acha.
Sijali kama ni mwaka mmoja au karne, waache washerehekee hata wawe uchi, wasitumie pesa za walipa kodi tu, hilo ndilo ninalozungumzia. Wakishereheka, wasishereheke mimi hainizidishii wala kunipunguzia mapato. Wasizuwie watu kusafiri kwa hela yao wenyewe pia.
 
Sasa kubana matumizi ya serikali kuna uhusiano gani na matumizi ya magamba???
Tulitaka rais aingilie matumizi ya fedha za vyama?????
Hawa "great thinkers" wa siku hizi wakoje????????
 
Mabadiliko ulikuwa msafara wa mamba Kenge walijipaka rangi sasa wanaonekana kwa mwendo wao,
Kama kuna mtu anategemea mabadiliko kutoka chama tawala nampa pole hizi zote ni changa la macho ukistaajabu ya Lema...... Umesahau bara wamekatazwa kusherehekea sikuku ya uhuru unapoenda kusherehekea mapinduzi ya zanzibar Unayemdanganya ni wewe mwenyewe CCM ni ile ile.
 
TH
Wakati mwingine ni vyema ukafikiri na kutafakari kwa makini kitu unachotaka kuandika kabla kuandika. Rais amefuta sherehe ya Uhuru ambayo ni sherehe ya kitaifa kwa lengo la kubana matumizi ili fedha hizo zilizotengwa kwa ajili ya sherehe ziweze kutumika katika shughuli nyingine za msingi za kujenga Taifa letu.

Lakini hajafuta sherehe za CCM na wala hawezi kuzifuta kwa sababu kwanza sio sherehe za kitaifa, pili fedha zinazotumika kufanya sherehe hizo hazitoki serikalini bali zinatoka kwenye mfuko wa chama na tatu yeye sio kiongozi wa chama hicho hivyo hana mamlaka ya kuzuia sherehe za chama hicho.[/QUOT
Thibitisha kwamba gari aliloenda nalo Rais ni la chama,usalama wa taifa waliomlinda rais ni wa chama..... anayetakiwa kufikiri ni wewe!
 
Kwa mtu timamu ni lazima kulikuwa na alama ya kujiuliza.Lakini pia tukumbuke kwamba CCM ni chama kwa hiyo upo uwezekano kwamba kilitumia mafungu yake,ingawa uwezekano ni mdogo sana,hasa ukizingatia na historia ya CCM ya kuvuta mikwanja ya serikali.Hata hivyo nikiri kwamba kama JPM atakuwa ameruhusu matumizi ya fedha za serikali katika sherehe hizo kama ilivyozoeleka kwa CCM, atakuwa ameonyesha mfano mbaya na kosa kubwa sana.Hii nchi ni nchi ya vyama vingi kwa hiyo vyama vyote lazima vipate haki sawa.
Wanabodi
Salaam;

Serikali ya awamu ya 5 inajinasibu kubana matumizi na kufuta baadhi ya sherehe za kitaifa kwa lengo hilo la kuzuia matumizi yasiyo ya lazima.

Kichekesho kimeonekana leo baada ya serikali nzima kuhamia singinda kwenye sherehe za birthday ya ccm ya kutimiza miaka 39.

Huko nyuma tulishuhudia sherehe za uhuru zikipigwa kumbo,sherehe za wabunge zikapigwa ban,baadae tbc nayo ikapigwa ban kwa lengo hilo hilo la kubana matumizi. Cha kushangaza Rais na serikali nzima walikuwa kwenye birthday hiyo ya ccm kwa ajili ya kutoa hotuba za mipasho!!

Kweli hii nchi ngumu sana aisee!
 
Kwa mtu timamu ni lazima kulikuwa na alama ya kujiuliza.Lakini pia tukumbuke kwamba CCM ni chama kwa hiyo upo uwezekano kwamba kilitumia mafungu yake,ingawa uwezekano ni mdogo sana,hasa ukizingatia na historia ya CCM ya kuvuta mikwanja ya serikali.Hata hivyo nikiri kwamba kama JPM atakuwa ameruhusu matumizi ya fedha za serikali katika sherehe hizo kama ilivyozoeleka kwa CCM, atakuwa ameonyesha mfano mbaya na kosa kubwa sana.Hii nchi ni nchi ya vyama vingi kwa hiyo vyama vyote lazima vipate haki sawa.
Wanabodi
Salaam;

Serikali ya awamu ya 5 inajinasibu kubana matumizi na kufuta baadhi ya sherehe za kitaifa kwa lengo hilo la kuzuia matumizi yasiyo ya lazima.

Kichekesho kimeonekana leo baada ya serikali nzima kuhamia singinda kwenye sherehe za birthday ya ccm ya kutimiza miaka 39.

Huko nyuma tulishuhudia sherehe za uhuru zikipigwa kumbo,sherehe za wabunge zikapigwa ban,baadae tbc nayo ikapigwa ban kwa lengo hilo hilo la kubana matumizi. Cha kushangaza Rais na serikali nzima walikuwa kwenye birthday hiyo ya ccm kwa ajili ya kutoa hotuba za mipasho!!

Kweli hii nchi ngumu sana aisee!
 
Kwa mtu timamu ni lazima kulikuwa na alama ya kujiuliza.Lakini pia tukumbuke kwamba CCM ni chama kwa hiyo upo uwezekano kwamba kilitumia mafungu yake,ingawa uwezekano ni mdogo sana,hasa ukizingatia na historia ya CCM ya kuvuta mikwanja ya serikali.Hata hivyo nikiri kwamba kama JPM atakuwa ameruhusu matumizi ya fedha za serikali katika sherehe hizo kama ilivyozoeleka kwa CCM, atakuwa ameonyesha mfano mbaya na kosa kubwa sana.Hii nchi ni nchi ya vyama vingi kwa hiyo vyama vyote lazima vipate haki sawa.
Wanabodi
Salaam;

Serikali ya awamu ya 5 inajinasibu kubana matumizi na kufuta baadhi ya sherehe za kitaifa kwa lengo hilo la kuzuia matumizi yasiyo ya lazima.

Kichekesho kimeonekana leo baada ya serikali nzima kuhamia singinda kwenye sherehe za birthday ya ccm ya kutimiza miaka 39.

Huko nyuma tulishuhudia sherehe za uhuru zikipigwa kumbo,sherehe za wabunge zikapigwa ban,baadae tbc nayo ikapigwa ban kwa lengo hilo hilo la kubana matumizi. Cha kushangaza Rais na serikali nzima walikuwa kwenye birthday hiyo ya ccm kwa ajili ya kutoa hotuba za mipasho!!

Kweli hii nchi ngumu sana aisee!
 
Bajeti ya Sherehe ya Birthday ya CCM inahusika na CCM, CCM wao wenyewe wanajua Bajeti yao wanatoa wapi wao ka chama.
Sasa ntakushangaa sana unapotaka kulinganisha swala la CCM na Serikali, Magufuli alienda kama Mwanachama wa CCM pale hajaenda kama Rais, Ingawa Kiti cha Urais Kipo palepale.
Huwezi kuta Budget ya CCM serikali kwa sherehe hizo.

Ivo Maadhimisho ya Chama cha Mapinduzi yataendelea Miaka yote
Du!na wewe unaamini ccm wanatumia pesa zao na sio za serikali?kweli mmetekwa akili na ccm
 
Wanabodi
Salaam;

Serikali ya awamu ya 5 inajinasibu kubana matumizi na kufuta baadhi ya sherehe za kitaifa kwa lengo hilo la kuzuia matumizi yasiyo ya lazima.

Kichekesho kimeonekana leo baada ya serikali nzima kuhamia singinda kwenye sherehe za birthday ya ccm ya kutimiza miaka 39.

Huko nyuma tulishuhudia sherehe za uhuru zikipigwa kumbo,sherehe za wabunge zikapigwa ban,baadae tbc nayo ikapigwa ban kwa lengo hilo hilo la kubana matumizi. Cha kushangaza Rais na serikali nzima walikuwa kwenye birthday hiyo ya ccm kwa ajili ya kutoa hotuba za mipasho!!

Kweli hii nchi ngumu sana aisee!
Nadhani unataka kujifanya kuwa ni mwelewa sana, lakini ww hujui chochote yani ni sawa na debe tupu, Makufuri ndo mwenyeki wa ccm? ccm ina miradi yake na taratibu zake, Magu ni Rais wa nchi na alizuia zile serehe kwani zilikuwa ndani ya uwezo wake, wakati mwingine muwe mnafikiri kwanza kabla ya kukurupuka, haya twambie hizo sherehe zimetumia bei gani hapo Singida? acha mambo ya kukaririshwa mambo!
 
Sherehe za uhuru zinatumia kodi za wananchi.
CCM ni private party, inatumia pesa zake.

Ni sawa na useme unakataza sherehe za uhuru while unafanya reception za harusi
 
Wakati mwingine ni vyema ukafikiri na kutafakari kwa makini kitu unachotaka kuandika kabla kuandika. Rais amefuta sherehe ya Uhuru ambayo ni sherehe ya kitaifa kwa lengo la kubana matumizi ili fedha hizo zilizotengwa kwa ajili ya sherehe ziweze kutumika katika shughuli nyingine za msingi za kujenga Taifa letu.

Lakini hajafuta sherehe za CCM na wala hawezi kuzifuta kwa sababu kwanza sio sherehe za kitaifa, pili fedha zinazotumika kufanya sherehe hizo hazitoki serikalini bali zinatoka kwenye mfuko wa chama na tatu yeye sio kiongozi wa chama hicho hivyo hana mamlaka ya kuzuia sherehe za chama hicho.
Hizo gharama za kuandaa sherehe ni kweli za CCM. Lakini hiyo haijaifanya serikali kutokuingia gharama kwa kuwa viongozi wakuu wa nchi walihudhuria. Imagine gharama za kusafirisha Rais kwenda na kurudi. Gharama za kukatisha mikoa Minne. Hivi unafikiri askari wangapi walikuwa on duty!? Unataka kusema CCM walipapenda gharama hizo zote pamoja na za mafuta na Malazi!?

Rais kwenda huko siyo dhambi bali anapingana na dhana yake ya kubana matumizi!! Hicho ndiyo kinachohojiwa hapa!!!
 
Hizo gharama za kuandaa sherehe ni kweli za CCM. Lakini hiyo haijaifanya serikali kutokuingia gharama kwa kuwa viongozi wakuu wa nchi walihudhuria. Imagine gharama za kusafirisha Rais kwenda na kurudi. Gharama za kukatisha mikoa Minne. Hivi unafikiri askari wangapi walikuwa on duty!? Unataka kusema CCM walipapenda gharama hizo zote pamoja na za mafuta na Malazi!?

Rais kwenda huko siyo dhambi bali anapingana na dhana yake ya kubana matumizi!! Hicho ndiyo kinachohojiwa hapa!!!

Rais anabana matumizi yasiyo na ulazima, lakini hawezi kuacha kuhudhuria sherehe zakuzaliwa kwa chama chake hasa ukizingatia kuwa chama hicho ndio kiligharamia sherehe nzima. Kuhusu gharama za usafiri naomba ujiulize hili swali ambalo litakupa jibu ya swali lako; HHivi wew ukialikwa kwenye sherehe utataka pia wakugharamie mavazi pamoja na usafiri?
 
Mtoa mada unasahau mwenyekiti wa ccm ni ntu ingine na rais wa Jamhuri ni JPM. Mkuu hana namna ni kufuata mwongozo wa chama kwani yeye si kiongozi mkuu wa chama. Acha wampe uenyekiti utaona muziki wake.
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom