EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Dah kwani na wali wanakula kwa vijiti? huwa naona kama spaghetti ndio wanakula kwa vijiti wali dah sijuiHahahahaa wale wanakula Nyoka asee...angalia usije ukazoea kula nyoka maana hawa wa huku kwetu wana sumu balaa[/QU teh teh teh! Mi nataka njifunze kula wali na supu kwa vijiti!