Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Hahahaha...FYI mwana hisabati mathematics mi huwa na-cum kwa my wife material wanguna wewe ki-@asprin umepatikana hapa,
Last edited by a moderator:
Hahahaha...FYI mwana hisabati mathematics mi huwa na-cum kwa my wife material wanguna wewe ki-@asprin umepatikana hapa,
teh teh teh!!! ulivyovurugwa sasa hata kuinuka waskia uvivu!!! lol
teh teh teh!! shost bamia na piipili tenah!!??ugali, bamia zenye pilipili na kuku paja! lol!
umeongea mkuu!! tena na maziwa au juice ya embe!!! lolNdizi nyama kama sio samaki.
cjui hebu njuze!!!hujui bokoboko?
ukimalza hapo huli hadi kesho maana ule ugali ni balaaaa!!!!!!!!!Ugali wa muhogo na samaki chupu chupu, kisamvu, pili pili kali! I can't get enough of this!
teh teh teh!!!!!! side mirror tenah!!!!!!!!!!!!!
bokoboko ni wali tepetepe,cjui hebu njuze!!!
tena ukute ugali wa mduara!!!!!!!!!Pande la PAPA hilo...si unajua uswazi nguna inakuwa kwenye sahani inashambuliwa then kiganjani unakua umeshika kipande cha papa mkavu
basi hlo nalijua a.k.a madida!!bokoboko ni wali tepetepe,
Ugali ndio, najua mabinti wengi hawapendi ugali, watoto wengi hawapendi ugali pia kama nilivyokuwa mimi zamani but siku hizi ndio chakula changu kikuulooh rafiki!!!!!!!!! ugali!!!!!!!!!!!!
hapo umenena!!!!!!!!!!Ugali ndio, najua mabinti wengi hawapendi ugali, watoto wengi hawapendi ugali pia kama nilivyokuwa mimi zamani but siku hizi ndio chakula changu kikuu
hadi kobe wa kuchoma, vyura, swala, konokono, mussels etc etc...
teh teh teh!!! BADILI TABIA kazi unayo hapo ningekusaidia sema mi nimefunga!! haya Asprin njoo umsaidie mamaaa huku!!!!haya karibu hii ndio menu ya leo mchana,
ha ha haaaa!!! kwani mamba ni mnyama wa porini na wewe? mamba si ni mnyama wa mtoni?
sowe unamla huyo!!!!???ni kweli,ni mnyama wa mtoni,wengine wanadhani ni mnyama wa ziwani
Ingekuwa socializing ile ya zamani ya kukutana ningekufundisha kula ugalihapo umenena!!!!!!!!!!