Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Halafu ukute na wewe ulishakula, hapo sasa.
Simple; Unaanza kumwita house girl "mama mdogo."Utaendelea kumheshimu baba.
Na kuanza kukubali nafsini kwako kwamba House girl ni Mama yako mdogo!!
Lamsingi nikuwaacha wamalize then unamfata mzee kwa busara "baba ulichofanya co vema kabisa, mama ndio mwenzi wako hv unamzalilisha mumy, kwa mama ctokusemea ukiacha." then umckilzie kama game would be over or not. Kama kichwa nazi namtimua H'G on dat day. Namheshm sana my mumy, nampenda pia.
Ingekuwa mimi wote wanaondoka muda huo huo na hakuna majadiliano. Isitoshe wadogo zangu watakuwepo au hata ndugu wengine wa karibu watakuwepo jirani aende akajifanye anawasalimia ila kwangu asikanyage hata siku moja mpaka hasira zangu ziishe.
Inauma sana pale ambapo mzazi wako anafanya unyama wa aina hiyo nyumbani kwako huku anajua uliyemsindikiza ni mama yako mzazi.
Mama mzazi sitamwambia. Wakati mwingine mzazi unashangaa kwa nini mtoto anakuwa hana adabu kwa mzazi mmojawapo ila ukichunguza utakuta ameshuhudia mzazi huyo akifanya ujinga kama huu. Msiombee jamani msiombee.
Watu wengi wanachukulia mada hii 'common'. Nilazima baba yangu atajutia alichokifanya, nitamjutisha, nitamkera! Hasa kwa kumwambia ukweli hata kama mm ningekuwa wakike ctomwogopa mzinzi kamwe. Lazima atage. Mama ctomwambia atapata pressure bure mamangu. H'g sikuhiyo hiyo nampa chake, nauli namcndikiza stand kijijini kwao. Kama umesoma comment ya Bi Mkubwa utaelewa nasema nini.
Halafu kitu kingine watu wasivyojielewa. Hawa wasichana ni binadamu, una uhakika gani unajipanga kwenye foleni ya kifo? Wengi wanajidanganya kuwa bado hawajatembea na wengi basi atakuwa msafi.
Shemeji yangu alitembea na msichana wa kazi wa jiarani yangu ila sasa baada ya mwaka binti alifukuzwa kazi baada ya kugunduliwa anatembea na mwenye nyumba ila alipoondoka akamwambia huyo mmama kuwa anajipa moyo maana amelala na baba na mtoto wao wa kiume kwa zaidi ya miaka miwili. Shemeji yangu amefariki kwa ungojwa huu wa kisasa haya niambie hali ikoje? Maana alifariki mwaka mmoja baada ya tukio. Kweli kuna kupona? Baba, mama, mtoto wote??? Halafu mtu unachekea mzazi wako kulala na binti wa kazi eti uanze kumwita mama mdogo??
Unamsindikiza mama yako stand kupanda gari anaenda
likizo kwao, unarudi nyumbani unamkuta baba yako
anafanya mapenzi na house girl wenu!!! hebu niambie
utafanya nini hapoooo.......
Kwa baba na Hg kama wanataka nizibe mdomo, tukubaliane asilimia 20 ya mishahara yao.