Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,688
106,829
Salute
NB. Ujumbe huu ni maalumu kwa ajili ya vijana wanaotafuta mwanamke wa kufanya nae maisha yaani Kutunza na kulea familia wakati mume akiwa katika harakati zake za kutafuta kipato cha kutunza familia na sio kwa wale wanaotafuta wanawake ambao watasaidizana kiuchumi.

Ningependa kuongea na vijana wenzangu hasa vijana wa 90s najua kipindi hichi wengi wenu mmefikia umri wa kuanziaha familia baada ya kujitafuta au ukiwa bado waendelea kujitafuta financially.

So kipindi hiki unatafuta life partner hasa kwa sie wagalatia ambao tukiweka tumeweka kama mabati ya chapa kiboko hamna kuachana basi jitahidi sana mwanamke unayetaka kuoa awe anakaa nyumbani kwao na kalelewa na wazazi wote wawili. Yaani wote wawe pamoja unless baba au mama alifariki recently (five years give or take)

Rafiki wa binti ni mama yake, binti lazima awe anaandamana na mama yake zaidi ili aweze kujifunza upishi, Malezi, heshima na maadili. Huku baba yake akiwa pembeni kumuongoza as kichwa cha familia.
Kama binti anaishi kwao kwenye familia iliyo na baba na mama lazima awe na misingi yote madhubuti ya Malezi.

Sasa imagine binti umekutana nae kwenye mwendokasi umempenda ukachukua namba wewe ukajaa ukatamani umfanye mkeo. Wakati huo anaishi zake mwenyewe geto... Kapanga anaishi mwenyewe hana ajira ya kueleweka labda yupo ofisi fulani. Anafanya tu mishen town.... My dear friend utajua hujui. Okopa sana mwanamke aliyepanga na anaishi mwenyewe kwenye majiji dume kama Dar, Arusha, Mwanza, Dodoma, Zanzibar, nk.

Atakua na shughuli zake ila lazima ziwepo za kando zinazohusisha wanaume(kudanga) angalua akiwa labda kapanga ajili ya kazi kwamba kahamishiwa eneo asilokua na ndugu au mbali na ofisi so anataka apange. Ila tu kama kapanga mwanangu usithubutu kuangukia ukijua umepata wife material unakua umepata stress material.

Binti inatakiwa akae nyumbani saa kumi nambili saa moja kasharudi nyumbani anafanya shughuli za nyumbani sio binti anazurura mpaka saa mbili for nothing hafu hakuna anayemuuliza nawewe unachukua unao... Litakukuta jambo bro!

Mwanamke inatakiwa unamchumua kutoka mikononi mwa wazazi/walezi wake wanakukabidhi unaenda kuishi nae as mke ndio inakua first experience ya kuishi mwenyewe nje ya nyumbani... Sasa unachukua mwanamke kashapanga mtaani miaka miwili mtaani afu unaoa. Hujipendi wewe tena mbaya zaidi awe age go... Utaipenda.

Mengine tutajuzana kwenye comment ila jambo la msingi, vijana mwanamke umtoe kwao sio geto na hakikisha nyote mmeanza mechi 0-0 hakuna mwenye mtoto unless nyote muwe na watoto.

Yangu ni hayo... Mwenye masikio na asikie! Mapenzi yasikuchanganye... Ndoa ni zaidi ya hizo hisia zako za mapenzi ulizonazo kwa huyo my wako
FB_IMG_17053355646454819.jpg
 
Waislam tuna wabeza ila linapokuja swala la ndoa kuna mambo mengi wanatuzidi na wako sahihi sana. Swala la mwanamke kua anatakiwa awe mama wa nyumbani mlea familia maana yeye ndio chanzo cha uhai ni sahihi sana.

Migogoro mingi kwenye ndoa inaanzia hapo mwanamke kuanza kuchukua nafasi ya kua mtafutaji wa familia badala ya mlea familia. Acha kabisa mawazo ya kutaka mke utakayesaidiana nae kiuchumi.. Stroke itakuhusu
 
Waislam tuna wabeza ila linapokuja swala la ndoa kuna mambo mengi wanatuzidi na wako sahihi sana. Swala la mwanamke kua anatakiwa awe mama wa nyumbani mlea familia maana yeye ndio chanzo cha uhai ni sahihi sana.

Migogoro mingi kwenye ndoa inaanzia hapo mwanamke kuanza kuchukua nafasi ya kua mtafutaji wa familia badala ya mlea familia. Acha kabisa mawazo ya kutaka mke utakayesaidiana nae kiuchumi.. Stroke itakuhusu
Hata huko talaka zipo!!

Unafuu Kwa waislam ni ile kutambua kwamba Mambo yakishindikana talaka ipo!

Kwa wakristo hawatambui eti hadi mahakama kana kwamba ndoa ilifungwa mahakamani!!
 
Hata huko talaka zipo!!

Unafuu Kwa waislam ni ile kutambua kwamba Mambo yakishindikana talaka ipo!

Kwa wakristo hawatambui eti hadi mahakama kana kwamba ndoa ilifungwa mahakamani!!
But sijasema kua talaka zipo. So una Propose kwamba watu waoe wanawake wanaoishi geto kisa tu hata kwa wanoishi na wazazi talaka zipo???

Mimi naamini 95% ya watu tuliomo humu wazazi wetu waliolewa wakitoka kwa wazazi wao.
 
Are you really trying to say that human's fate is sealed and nobody can alter his/her destiny???
Ndio mkuu!

Mi naamini hivyo,juhudi zozote zinategemea mpaji kama amekubali kukupa au kutokupa!!

Kuna watu walianza vizuri sana yaani kama Romeo na Juliet lakin waliachana ghafla!!

Ili ndoa idumu lazima mmoja avumilie ubwege was mwingine lakini kama hataki kuvumilia mwisho unafika!!
 
But sijasema kua talaka zipo. So una Propose kwamba watu waoe wanawake wanaoishi geto kisa tu hata kwa wanoishi na wazazi talaka zipo???

Mimi naamini 95% ya watu tuliomo humu wazazi wetu waliolewa wakitoka kwa wazazi wao.
Unaaminije kama wote hao ndoa za wazazi wao ziloIdumu!!?

Hivi unajua kuamka asubuhi pamoja Kwa wanaodhaniwa wanandoa haimaanishi Wana ndoa bado!!?

Ndoa.zione. TU,kama Kila mmoja ana mambo yake anafanya ujue hakuna ndoa hapo no maigizo!!
 
Ndio mkuu!

Mi naamini hivyo,juhudi zozote zinategemea mpaji kama amekubali kukupa au kutokupa!!

Kuna watu walianza vizuri sana yaani kama Romeo na Juliet lakin waliachana ghafla!!

Ili ndoa idumu lazima mmoja avumilie ubwege was mwingine lakini kama hataki kuvumilia mwisho unafika!!
Mkuu you're escalating my topic to a far far complicating subject. Free will!
Destiny is dynamic! Our creator indulge us a great gift of altering our Destiny.
Observe here....
 
Unaaminije kama wote hao ndoa za wazazi wao ziloIdumu!!?

Hivi unajua kuamka asubuhi pamoja Kwa wanaodhaniwa wanandoa haimaanishi Wana ndoa bado!!?

Ndoa.zione. TU,kama Kila mmoja ana mambo yake anafanya ujue hakuna ndoa hapo no maigizo!!
Ndoa inajengwa katika misingi ya uvumilivu. But my point is pinned to the fact that all wife materials must be staying with their parents
 
Salute
NB. Ujumbe huu ni maalumu kwa ajili ya vijana wanaotafuta mwanamke wa kufanya nae maisha yaani Kutunza na kulea familia wakati mume akiwa katika harakati zake za kutafuta kipato cha kutunza familia na sio kwa wale wanaotafuta wanawake ambao watasaidizana kiuchumi.

Ningependa kuongea na vijana wenzangu hasa vijana wa 90s najua kipindi hichi wengi wenu mmefikia umri wa kuanziaha familia baada ya kujitafuta au ukiwa bado waendelea kujitafuta financially.

So kipindi hiki unatafuta life partner hasa kwa sie wagalatia ambao tukiweka tumeweka kama mabati ya chapa kiboko hamna kuachana basi jitahidi sana mwanamke unayetaka kuoa awe anakaa nyumbani kwao na kalelewa na wazazi wote wawili. Yaani wote wawe pamoja unless baba au mama alifariki recently (five years give or take)

Rafiki wa binti ni mama yake, binti lazima awe anaandamana na mama yake zaidi ili aweze kujifunza upishi, Malezi, heshima na maadili. Huku baba yake akiwa pembeni kumuongoza as kichwa cha familia.
Kama binti anaishi kwao kwenye familia iliyo na baba na mama lazima awe na misingi yote madhubuti ya Malezi.

Sasa imagine binti umekutana nae kwenye mwendokasi umempenda ukachukua namba wewe ukajaa ukatamani umfanye mkeo. Wakati huo anaishi zake mwenyewe geto... Kapanga anaishi mwenyewe hana ajira ya kueleweka labda yupo ofisi fulani. Anafanya tu mishen town.... My dear friend utajua hujui. Okopa sana mwanamke aliyepanga na anaishi mwenyewe kwenye majiji dume kama Dar, Arusha, Mwanza, Dodoma, Zanzibar, nk.

Atakua na shughuli zake ila lazima ziwepo za kando zinazohusisha wanaume(kudanga) angalua akiwa labda kapanga ajili ya kazi kwamba kahamishiwa eneo asilokua na ndugu au mbali na ofisi so anataka apange. Ila tu kama kapanga mwanangu usithubutu kuangukia ukijua umepata wife material unakua umepata stress material.

Binti inatakiwa akae nyumbani saa kumi nambili saa moja kasharudi nyumbani anafanya shughuli za nyumbani sio binti anazurura mpaka saa mbili for nothing hafu hakuna anayemuuliza nawewe unachukua unao... Litakukuta jambo bro!

Mwanamke inatakiwa unamchumua kutoka mikononi mwa wazazi/walezi wake wanakukabidhi unaenda kuishi nae as mke ndio inakua first experience ya kuishi mwenyewe nje ya nyumbani... Sasa unachukua mwanamke kashapanga mtaani miaka miwili mtaani afu unaoa. Hujipendi wewe tena mbaya zaidi awe age go... Utaipenda.

Mengine tutajuzana kwenye comment ila jambo la msingi, vijana mwanamke umtoe kwao sio geto na hakikisha nyote mmeanza mechi 0-0 hakuna mwenye mtoto unless nyote muwe na watoto.

Yangu ni hayo... Mwenye masikio na asikie! Mapenzi yasikuchanganye... Ndoa ni zaidi ya hizo hisia zako za mapenzi ulizonazo kwa huyo my wako
Kuishi Kwao haitoshi.. baba na Mama yake pia wawe hawajatengana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom