FIDE
lete maana ya kumweka JF huyu dada maana najaribu kujumlisha namba zinakataa
Kumbe ze nanii imetoa celebrity wengi!!!
Dah! Nsia Swai jaji Miss Arusha!!!? Halafu kuna madau wa karibu sana alikuwa mmoja wa waandaji wa hiyo Miss Arusha City Centre. Ngoja nicheki kama namba yake ya simu bado ninayo!
Ukiipata waweza mrushia Nyani Ngabu.....Kuna project anataka kumshirikisha Nsia Swai...............Pliiiiiiiiiiiiiiiiiz Masaki...Do the needfull
Ukiipata waweza mrushia Nyani Ngabu.....Kuna project anataka kumshirikisha Nsia Swai...............Pliiiiiiiiiiiiiiiiiz Masaki...Do the needfull
Hahahaha hivi vitu Nguli huwa anakula kwa macho tu huku akiacha mate yakichuluzika.