Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,018
Mnamkumbuka Best Nasso?
Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.
Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo. Unakutaga majamaa au madenti wa mashambani wakiwa simu zao za memory card na zile redio ndogo wanagonga ngoma za best nasso.
Nimeshuhudia sana vijiji vya huku kanda ya ziwa.
Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.
Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo. Unakutaga majamaa au madenti wa mashambani wakiwa simu zao za memory card na zile redio ndogo wanagonga ngoma za best nasso.
Nimeshuhudia sana vijiji vya huku kanda ya ziwa.