Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,841
- 38,736
Na mleta mada Mkuu Fidel80 umeishia wapi,long time hujaonekana hapa Jukwaani.
Daktari Bingwa Mmoja wa Upasuaji anayefanya kazi KCMC Idara ya Upasuaji. Alipata ajali na kufarikihuyo ni Binti wa Daktari Bingwa Mmoja wa Upasuaji anayefanya kazi KCMC Idara ya Upasuaji.Amewahi kutikisa katika ile globu iliyojichukulia umaarrufu then ikapigwa STOP na GAVMEE baada ya kumdhalilisha Prezidaa mmoja maarufu kama JK