Unafanyaje ukifumania?

Hii ni real story:

Una ka small house, unakagharimia kila kitu kodi, chakula, umeme, maji mpaka usalama umemwekea Knight Support na biashara nzuri tu umemfungulia na gari juu(Harrier).

Huyo bi mdogo anakutambulisha kwa kivulana kwamba ni cousin wake, kila kukicha yuko naye kwenye gari (dogo dereva) na mtoto anadai hicho kivulana kinamsaidia shughuli zake za biashara (ambayo umemfungulia wewe na unai support). Dubai, Guanzou, Hongkong anasafiri nako eti kanamsaidia shopping huko.

Tufupishe story. Siku ya siku kwa kuwa una ufunguo wa small house unakuja bila kutarajiwa (si kwako bwana?) unafungua mlango wa mbele, kuingia ndani unasikia funny sounds, kufungua mlango wa bedroom(ambao kwa kujiamini wameacha wazi) unakuta dogo kaning'inia juu ya mamie na kibaya zaidi bi mdogo anatoa kilio ambacho katu hujawahi kukisikia pamoja na 'ujuzi' wako.

Mdau unafanyeje? Kumbuka wewe katika jamii unaitwa 'baba wa heshima' mwenye familia imara na kanisani wewe ni 'mzee wa kanisa'( kanisani una kiti maalum front bench).
Umeyataka mwenyewe, Kwanini umfanyie yote hayo mwanamke ambaye sio mke wako??. Sometimes Wanaume wenzangu tuache uzwazwa.Hayo Mambo ya kumfungulia duka na kununua gari, pamoja na mambo mengine si bora umfanyie mkeo wa ndoa aliyekuzalia watoto?!!. Wanaume wenzangu tukutane kesho asubuhi tuweke mikakati ya kutowafanyia mambo wanayostahili wake zetu kwa nyumba ndogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom