Unafanyaje ukifumania?

wala haujamfumania lolote, anakula raha zake na cngle mwenzake, kodi, cjui gari hivyo ulitoa sadaka tu, ulitaka awe na wewe mpaka lini wakati we una familia yako?
 
Hapo Bishanga huyo dogo hana kosa kabisaaaaaaa mwenye kosa hapo ni huyo small house kwa kutokuwa mwaminifu hapo hapo ningekuwa mimi hapo namruhusu huyo dogo avae aondoke salama kisha na deal na huyu small house naita fusso naita dereva napakia kila kilicho changu namwacha simpigi wala sifanyi nini kisha nasepa namwacha kwa amani lakini vyangu vyote nachukua na duka kule nafunga nazoa vyangu vyote basi biashara inakwisha.


haaa chako tena, vitu vyote kwenye risiti c vimeandikwa jina langu? chako kitoke wapi......ningekuwa mie uchukui kitu walllah.
 
Nyumba nyingi ndogo kiondoka kurudi nyumbani kwa mkeo, ujue kuna mtu anakuja kulala usiku!!! Kwani una mkataba naye. Matatizo tunayataka wenyewe!!!
 
haaa chako tena, vitu vyote kwenye risiti c vimeandikwa jina langu? chako kitoke wapi......ningekuwa mie uchukui kitu walllah.

Wewe unasema tu gari ina jina langu kwenye blue card, nyumba nimekupangia mimi sema kuna mianaume mingine records kama hizi iwa inapumbazwa kabisa na kujisahau kama huyo ndo mke wake kumbe kimada tu.
 
kwanini uwekeze namna hiyo kwenye nyumba ndogo, lazima ujuwe huwezi kumfanya nyumba ndogo kama mtumwa yaani ukienda kwako yeye alale pekeyake ahaaa wapi, swali lingine ni kwamba hiyo nyumba ndogo haiwezi kuja kuwa nyumba kubwa kwa mtu mwingine? maana kumfanya mtu nyumba ndogo ni kumnyima uhuru wa kuwa nyumba kubwa pindi akipata kipendacho roho
 
Wewe unasema tu gari ina jina langu kwenye blue card, nyumba nimekupangia mimi sema kuna mianaume mingine records kama hizi iwa inapumbazwa kabisa na kujisahau kama huyo ndo mke wake kumbe kimada tu.


nani atakubaliana na hilo? kuanzia mwanzo nakuseti kila kitu kiwe chini ya jina langu, hujakutana na mwanamke mjanja halafu mkimya wewe....c mnayataka wenyewe?
 
Lazima uelewe kwamba hii nyumba ndogo na yenyewe inataka baadae iwe nyumba kubwa so mwache dogo aendelee kukandamiza na kama vp kubali we ndo uwe mwizi.Ukifanya hvyo wala hautaona au kusikia pressure ina panda au kushuka!

umemjibu vizuri sana, nyumba ndogo lazima na yeye anataka aje kuwa nyumba kubwa kwa sababua , wewe ni mume wa mtu una nyumba yako unakuja kwa kuiba na kuondoka na yeye anataka uhuru na antaka heshima, siyo sababu unahudumia ndo uitawale ,mpaka future yake, kama wewe ni mume wa mtu jua huyu ni binti ipo siku atapata wa kwake na ataolewa, unaweza ukawa mwisho wenu aua kama huyo binti atataka atakufanya mwizi.
hilo jambo ungetakiwa ulitegemee wakati wowote unashtuka nini sasa?
 
nani atakubaliana na hilo? kuanzia mwanzo nakuseti kila kitu kiwe chini ya jina langu, hujakutana na mwanamke mjanja halafu mkimya wewe....c mnayataka wenyewe?

Dah mambo mengine bana sasa Jitu zima linamnunulia gari hawala na kijijini kule kuna wajomba zake wanapigika na maisha pambaf kabisa
 
Dah mambo mengine bana sasa Jitu zima linamnunulia gari hawala na kijijini kule kuna wajomba zake wanapigika na maisha pambaf kabisa


nini kijijini, wakati mwingine akitoka nyumbani asubuhi akiambiwa sugar imeisha anamraukia mama balaa, akitoka nje ndio hayo.....
 
Mzee wa kusambaza malaria,

ukimfumania mkeo unatakiwa ujifanyie evaluation wapi unakosea mpaka usaidiwe?
 
mi nafunga zangu malango naondoka ntarudi next time dogo akiwa hayupo
 
Halafu akishaukwaa mnaanza kusema alikufa kwa ngoma na kushangaa kaupataje huyu mzee wa kanisa
 
Hapo Bishanga huyo dogo hana kosa kabisaaaaaaa mwenye kosa hapo ni huyo small house kwa kutokuwa mwaminifu hapo hapo ningekuwa mimi hapo namruhusu huyo dogo avae aondoke salama kisha na deal na huyu small house naita fusso naita dereva napakia kila kilicho changu namwacha simpigi wala sifanyi nini kisha nasepa namwacha kwa amani lakini vyangu vyote nachukua na duka kule nafunga nazoa vyangu vyote basi biashara inakwisha.


Ukibeba ulivyomnunulia, na utamu wake aliokupa siku zote hizo utamrudishia!
 
Binafsi siamini msemo wa "what goes around comes around"! Huu msemo unanikumbusha falsafa ya Karl Marx na religion. Misemo mingine imetungwa kuwaogopesha watu tu.

Binafsi naamini nyumba ndogo (both za kiume na za kike) zinasaidia sana katika ku manage na kupunguza stress and depression. Bila nyumba ndogo wanaume kwa wanawake tungekuwa tunakufa au kuparalyze kila leo mamia kwa maelfu kutokana na kero za ndoa. Na kwa wenzangu wakristo mke mmoja mpaka kifo kiwatenganishe, ndo balaa!! Kina mama vitulizo vyao wanaume wa nje na sie kina baba vitulizo vyetu mabibi wa nje.

Tusidanganyane wadau, ni muda, style na mazingira tu ndo yanatofautiana, lakini mchezo ni ule ule. (rejea Marxist theories)

Kuhusu cost incurred kwenye hizo nyumba ndogo, mi naona ni justifiable given madhala na mudhi ya nyumba kubwa!! Besides starehe gharama ndugu zangu!!!
Brooklyn, MwanajamiiOne na Shishi watakutoa utumbo leo!
 
Na vibabu vingi vinakumbana na huo muziki small house nayo inakuwa na dogo wa kustarehe nae maana babu goli mmoja anazimika na binti anakuwa bado anadai so anahitaji dogo ambaye akiwasha mashine ni mpaka lukwili....Wanayataka wenyewe hao...
 
Hii ni real story:Una ka small house,unakagharimia kila kitu kodi,chakula,umeme,maji mpaka usalama umemwekea Knight Support na biashara nzuri tu umemfungulia na gari juu(Harrier). Huyo bi mdogo anakutambulisha kwa kivulana kwamba ni cousin wake,kila kukicha yuko naye kwenye gari (dogo dereva) na mtoto anadai hicho kivulana kinamsaidia shughuli zake za biashara(ambayo umemfungulia wewe na unai support).Dubai, Guanzou,Hongkong anasafiri nako eti kanamsaidia shopping huko. Tufupishe story.Siku ya siku kwa kuwa una ufunguo wa small house unakuja bila kutarajiwa (si kwako bwana?) unafungua mlango wa mbele,kuingia ndani unasikia funny sounds,kufungua mlango wa bedroom(ambao kwa kujiamini wameacha wazi) unakuta dogo kaning'inia juu ya mamie,na kibaya zaidi bi mdogo anatoa kilio ambacho katu hujawahi kukisikia pamoja na 'ujuzi'wako! Mdau unafanyeje? Kumbuka wewe katika jamii unaitwa 'baba wa heshima' mwenye familia imara na kanisani wewe ni 'mzee wa kanisa'( kanisani una kiti maalum front bench).

Labda unaitwa "baba wa heshima" lakini kwa mtaji huu we ni firauni unayejibaraguza tu, na hapo umepangwa tu, kwa sababu as much as wewe ulivyo na haki, huyo dogo pia ana haki, wote hamjaoa hapo.Actually I take that back, wewe huna haki kwa sababu umeshaoa and I take it kikristo, since ume volunteer uzee wa kanisa and all, huyu dogo kama hajaoa basi huu unaweza kuwa mzao wake, wewe unamzibia tu. Huko kujipendekeza kwingine ma investment yako ungeyapeleka kwa mkeo/ biashara zako mwenyewe ingefaa zaidi.

Hapo hujafumania per se, mmekutana tu katika mgongano wa magari.Beef yako itakuwa katika betrayal, kwamba umedanganywa, lakini ulitegemea nini wakati wewe mwenyewe unadanganya watu kwamba ni mzee wa kanisa na mkristo mzuri.

Wanasema auaye kwa upanga hufa kwa upanga, anayeendekeza wizi huibiwa hata kile alichoiba.

Hapo hakuna la kufanya zaidi ya kufunga mlango, kuondoka na kwenda kumuangukia mkeo na kutubu.Zaidi ya hapo uende kufanya test zote za magonjwa yanayoambukizwa na kujamiiana kuanzia ukimwi mpaka kisonono na kaswende, bila kusahau chlamidia na mawenge wenge mengine yote, ili usije kumuambukiza mkeo na kuleta janga lingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom