Hapo Bishanga huyo dogo hana kosa kabisaaaaaaa mwenye kosa hapo ni huyo small house kwa kutokuwa mwaminifu hapo hapo ningekuwa mimi hapo namruhusu huyo dogo avae aondoke salama kisha na deal na huyu small house naita fusso naita dereva napakia kila kilicho changu namwacha simpigi wala sifanyi nini kisha nasepa namwacha kwa amani lakini vyangu vyote nachukua na duka kule nafunga nazoa vyangu vyote basi biashara inakwisha.
haaa chako tena, vitu vyote kwenye risiti c vimeandikwa jina langu? chako kitoke wapi......ningekuwa mie uchukui kitu walllah.
Wewe unasema tu gari ina jina langu kwenye blue card, nyumba nimekupangia mimi sema kuna mianaume mingine records kama hizi iwa inapumbazwa kabisa na kujisahau kama huyo ndo mke wake kumbe kimada tu.
Lazima uelewe kwamba hii nyumba ndogo na yenyewe inataka baadae iwe nyumba kubwa so mwache dogo aendelee kukandamiza na kama vp kubali we ndo uwe mwizi.Ukifanya hvyo wala hautaona au kusikia pressure ina panda au kushuka!
nani atakubaliana na hilo? kuanzia mwanzo nakuseti kila kitu kiwe chini ya jina langu, hujakutana na mwanamke mjanja halafu mkimya wewe....c mnayataka wenyewe?
Dah mambo mengine bana sasa Jitu zima linamnunulia gari hawala na kijijini kule kuna wajomba zake wanapigika na maisha pambaf kabisa
Hapo Bishanga huyo dogo hana kosa kabisaaaaaaa mwenye kosa hapo ni huyo small house kwa kutokuwa mwaminifu hapo hapo ningekuwa mimi hapo namruhusu huyo dogo avae aondoke salama kisha na deal na huyu small house naita fusso naita dereva napakia kila kilicho changu namwacha simpigi wala sifanyi nini kisha nasepa namwacha kwa amani lakini vyangu vyote nachukua na duka kule nafunga nazoa vyangu vyote basi biashara inakwisha.
Brooklyn, MwanajamiiOne na Shishi watakutoa utumbo leo!Binafsi siamini msemo wa "what goes around comes around"! Huu msemo unanikumbusha falsafa ya Karl Marx na religion. Misemo mingine imetungwa kuwaogopesha watu tu.
Binafsi naamini nyumba ndogo (both za kiume na za kike) zinasaidia sana katika ku manage na kupunguza stress and depression. Bila nyumba ndogo wanaume kwa wanawake tungekuwa tunakufa au kuparalyze kila leo mamia kwa maelfu kutokana na kero za ndoa. Na kwa wenzangu wakristo mke mmoja mpaka kifo kiwatenganishe, ndo balaa!! Kina mama vitulizo vyao wanaume wa nje na sie kina baba vitulizo vyetu mabibi wa nje.
Tusidanganyane wadau, ni muda, style na mazingira tu ndo yanatofautiana, lakini mchezo ni ule ule. (rejea Marxist theories)
Kuhusu cost incurred kwenye hizo nyumba ndogo, mi naona ni justifiable given madhala na mudhi ya nyumba kubwa!! Besides starehe gharama ndugu zangu!!!
Hii ni real story:Una ka small house,unakagharimia kila kitu kodi,chakula,umeme,maji mpaka usalama umemwekea Knight Support na biashara nzuri tu umemfungulia na gari juu(Harrier). Huyo bi mdogo anakutambulisha kwa kivulana kwamba ni cousin wake,kila kukicha yuko naye kwenye gari (dogo dereva) na mtoto anadai hicho kivulana kinamsaidia shughuli zake za biashara(ambayo umemfungulia wewe na unai support).Dubai, Guanzou,Hongkong anasafiri nako eti kanamsaidia shopping huko. Tufupishe story.Siku ya siku kwa kuwa una ufunguo wa small house unakuja bila kutarajiwa (si kwako bwana?) unafungua mlango wa mbele,kuingia ndani unasikia funny sounds,kufungua mlango wa bedroom(ambao kwa kujiamini wameacha wazi) unakuta dogo kaning'inia juu ya mamie,na kibaya zaidi bi mdogo anatoa kilio ambacho katu hujawahi kukisikia pamoja na 'ujuzi'wako! Mdau unafanyeje? Kumbuka wewe katika jamii unaitwa 'baba wa heshima' mwenye familia imara na kanisani wewe ni 'mzee wa kanisa'( kanisani una kiti maalum front bench).