Unabii wa Godbless Lema kwa Dkt. Pima umetimia mapema sana

SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA !
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.

"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri

"Wewe Dr. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".
Mhe. LEMA, Novemba 17. 2020

NB: hili andiko sio langu
KaVideo Tafadhali
 
Lema akikutabiria mabaya ni kwenda tu kumuona ili ujue utafanyaje ili kujinusuru ila ukikaza kichwa utapatwa kweli na mabaya aliyokutabiria. Huyu jamaa ana karama ya kujua mabaya yatakayompata mtu aliyefanya uovu hapo awali
 
SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA

Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.

"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri

"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".

Godbless Lema, Novemba 17. 2020

NB: hili andiko sio langu
Karma
 
SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA

Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.

"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri

"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".

Godbless Lema, Novemba 17. 2020

NB: hili andiko sio langu
Eti NABII kabisa lema Mmachame wa Masama mwee!
 
SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA

Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.

"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri

"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".

Godbless Lema, Novemba 17. 2020

NB: hili andiko sio langu
Unaandika kana kwamba kila mtu anamjua huyo Pima na kilitokea nini kati yake na Godbless Lema na sasa kumetokea kitu gani kuonesha kuwa unabii umemtimia..

Tafadhali weka taarifa yako ikae vizuri...
 
Back
Top Bottom