Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
me sijawahi kucheat mume wa mtu na nina bikira yangu na nina mchumba tunasubili mpa siku ya ndoa ndo tule tunda
Usijitangaze kwamba una bikira, maana kuna wengine humu waganga wao wamewaambia akitembea na mwanamke bikira anakuwa tajiri. Ndio maana matukio ya kubaka watoto wadogo siku hizi yameongezeka sana!
Natumaini jamaa naye pia bado bikira na mtajifunga pamoja huo mchezo siku ya kwanza ya mwezi wenu wa asali.