klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Bye bye malaria!
hehehe carmeli katuwekea tego la chura hapa! inabidi tunyatie kuliko maiko dudikof .
Bye bye malaria!
carmel
Nipo ndani ya ndoa yapata 15yrs
Nimewahi ku-cheat tangia tukiwa wachumba - a number of times (yes 100 +)
Nimewahi ku-cheat ndani ya ndoa - a couple of times (4 times to be precisely)
Na it seems chances za kuendelea ku-cheat zipo (i can not gurantee that I will not cheat till death do us apart NO)
For sure hakuna anaye-enjoy ku-cheat but cheating is part of life hasa hasa kwenye ndoa. Wanajamii wanaona aibu lakini kama unataka kufanya utafiti tembelea sehemu za starehe kama vile BAA, CASINOS, e.t.c, huko utapata ukweli kuhusu jinsi gani jamii ilivyo. Kwa mfano hapa Bongo, chukua weekend moja amabayo upo huru - inategemea unaishi sehemu gani ya Dar es Salaam - jaza petrol/diesel kwenye gari yako anzia mabaa/nyumba za kulala wageni (Mkuranga mpaka Bunju). Ikifika jioni unaweza kuapata taswira halisi.
Tatizo ni kwamba hata kwenye nyumba za ibada hakuna majibu ya "Why do people cheat"?
Kwahiyo: Cheating is HERE TO STAY and we only have to PLAY SAFE
carmel
Nipo ndani ya ndoa yapata 15yrs
Nimewahi ku-cheat tangia tukiwa wachumba - a number of times (yes 100 +)
Nimewahi ku-cheat ndani ya ndoa - a couple of times (4 times to be precisely)
Na it seems chances za kuendelea ku-cheat zipo (i can not gurantee that I will not cheat till death do us apart NO)
For sure hakuna anaye-enjoy ku-cheat but cheating is part of life hasa hasa kwenye ndoa. Wanajamii wanaona aibu lakini kama unataka kufanya utafiti tembelea sehemu za starehe kama vile BAA, CASINOS, e.t.c, huko utapata ukweli kuhusu jinsi gani jamii ilivyo. Kwa mfano hapa Bongo, chukua weekend moja amabayo upo huru - inategemea unaishi sehemu gani ya Dar es Salaam - jaza petrol/diesel kwenye gari yako anzia mabaa/nyumba za kulala wageni (Mkuranga mpaka Bunju). Ikifika jioni unaweza kuapata taswira halisi.
Tatizo ni kwamba hata kwenye nyumba za ibada hakuna majibu ya "Why do people cheat"?
Kwahiyo: Cheating is HERE TO STAY and we only have to PLAY SAFE
Jamani naomba kuuliza, hivi kama ukikutana na ex wako ambaye kashaoelewa au kashaoa, mkaamua kukumbushia, hiyo nayo mnaita ku-cheat? I am just thinking aloud.
Kamanda unaweza kupiga breki pale Zero pub?
Kuna bia zako unanidai pale kwa hii yuziful post. Hiyo senksi niliyokugongea haitoshi kukupongeza kwa haya matirio uliyomwaga hapo. Mwenye macho amekusoma na amekuelewa.
Jioni njema bandugu!
Huyu nae katokea wapi jamani? kama kila mtu angeconcetrate kwenye maisha yake jukwaa hili linge exist? kwani umelazimishwa hata kusoma leave alone ku comment? give me a break, niwapekue ili iweje? nakujua wewe kwani. hebu tazama mnavyoishi kwa mashaka, that alone tells alot about you.
Nakuomba uje na kiu ya kutosha tafwazaliKesho nitakuwa mitaa hiyo kuanzia mishale ya saa 12 jioni
Ni hiyari!
Kama hutaki "kupekuliwa" hii mada umeifungua ya nini?
Mbona unakiogopa kivuli chako mwenyewe?
mimi alikuwa widow na sasa napendwa na mke wa mtu
naona watu wametulia tu wanaogopa mambo ya ku-confess unaweza kuta mama/baba watoto anacheki tu hapa
Na wewe eti ni great thinker! hakuna unachowaza zaidi ila kupekua pekua maisha yasiyowahusu! People with simple minds....
Wewe ndiyo ujiulize umetokea wapi! Kama wewe ndoa yako iko shwari hucheat na mumeo hacheat unataka kujua maisha ya wenzio ili yakusaidie nini? Pilipili usiyoila ya kuwashia nini? Una maswali ya kipumbuvu kweli kweli. Naona utakuwa umevunja ungo juzi juzi tu ndiyo maana unaibuka na thread za kusadikika karibu kila siku. Achana na kufuatilia mambo ya watu. Wanaume wanacheat na wanawake pia wanacheat dunia nzima na wewe haikuhusu kunusanusa maisha ya wenzio. Acha kuishi katika zama za kusadikika. Wewe usiyeishi kwa mashaka utaishi milele, na mumeo akikuletea gono au ukimwi ndiyo utaachana na mawazo yako ya kusadikika.
Na wewe eti ni great thinker! hakuna unachowaza zaidi ila kupekua pekua maisha yasiyowahusu! People with simple minds....
Wewe ndiyo ujiulize umetokea wapi! Kama wewe ndoa yako iko shwari hucheat na mumeo hacheat unataka kujua maisha ya wenzio ili yakusaidie nini? Pilipili usiyoila ya kuwashia nini? Una maswali ya kipumbuvu kweli kweli. Naona utakuwa umevunja ungo juzi juzi tu ndiyo maana unaibuka na thread za kusadikika karibu kila siku. Achana na kufuatilia mambo ya watu. Wanaume wanacheat na wanawake pia wanacheat dunia nzima na wewe haikuhusu kunusanusa maisha ya wenzio. Acha kuishi katika zama za kusadikika. Wewe usiyeishi kwa mashaka utaishi milele, na mumeo akikuletea gono au ukimwi ndiyo utaachana na mawazo yako ya kusadikika.
hii mada ngumu!
Nakuomba uje na kiu ya kutosha tafwazali