Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

Umewahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

  • NDIO

    Votes: 48 60.0%
  • HAPANA

    Votes: 33 41.3%

  • Total voters
    80
carmel

Nipo ndani ya ndoa yapata 15yrs

Nimewahi ku-cheat tangia tukiwa wachumba - a number of times (yes 100 +)

Nimewahi ku-cheat ndani ya ndoa - a couple of times (4 times to be precisely)

Na it seems chances za kuendelea ku-cheat zipo (i can not gurantee that I will not cheat till death do us apart NO)

For sure hakuna anaye-enjoy ku-cheat but cheating is part of life hasa hasa kwenye ndoa. Wanajamii wanaona aibu lakini kama unataka kufanya utafiti tembelea sehemu za starehe kama vile BAA, CASINOS, e.t.c, huko utapata ukweli kuhusu jinsi gani jamii ilivyo. Kwa mfano hapa Bongo, chukua weekend moja amabayo upo huru - inategemea unaishi sehemu gani ya Dar es Salaam - jaza petrol/diesel kwenye gari yako anzia mabaa/nyumba za kulala wageni (Mkuranga mpaka Bunju). Ikifika jioni unaweza kuapata taswira halisi.

Tatizo ni kwamba hata kwenye nyumba za ibada hakuna majibu ya "Why do people cheat"?

Kwahiyo: Cheating is HERE TO STAY and we only have to PLAY SAFE

You have called a spade, a spade and not a big spoon Baba Enock!!
 
carmel

Nipo ndani ya ndoa yapata 15yrs

Nimewahi ku-cheat tangia tukiwa wachumba - a number of times (yes 100 +)

Nimewahi ku-cheat ndani ya ndoa - a couple of times (4 times to be precisely)

Na it seems chances za kuendelea ku-cheat zipo (i can not gurantee that I will not cheat till death do us apart NO)

For sure hakuna anaye-enjoy ku-cheat but cheating is part of life hasa hasa kwenye ndoa. Wanajamii wanaona aibu lakini kama unataka kufanya utafiti tembelea sehemu za starehe kama vile BAA, CASINOS, e.t.c, huko utapata ukweli kuhusu jinsi gani jamii ilivyo. Kwa mfano hapa Bongo, chukua weekend moja amabayo upo huru - inategemea unaishi sehemu gani ya Dar es Salaam - jaza petrol/diesel kwenye gari yako anzia mabaa/nyumba za kulala wageni (Mkuranga mpaka Bunju). Ikifika jioni unaweza kuapata taswira halisi.

Tatizo ni kwamba hata kwenye nyumba za ibada hakuna majibu ya "Why do people cheat"?

Kwahiyo: Cheating is HERE TO STAY and we only have to PLAY SAFE

Kamanda unaweza kupiga breki pale Zero pub?

Kuna bia zako unanidai pale kwa hii yuziful post. Hiyo senksi niliyokugongea haitoshi kukupongeza kwa haya matirio uliyomwaga hapo. Mwenye macho amekusoma na amekuelewa.

Jioni njema bandugu!
 
Kamanda unaweza kupiga breki pale Zero pub?

Kuna bia zako unanidai pale kwa hii yuziful post. Hiyo senksi niliyokugongea haitoshi kukupongeza kwa haya matirio uliyomwaga hapo. Mwenye macho amekusoma na amekuelewa.

Jioni njema bandugu!

Kesho nitakuwa mitaa hiyo kuanzia mishale ya saa 12 jioni
 
halafu ingekuwa vizuri watu wangesema miaka walioyo nayo kwenye ndoa wengine ndio kwanza mwenzi 1 bado wanahisi heaven is here.,

as for me married for almost 3 years never cheat on my DH.

saa zingine naonaga kama wanawake hawacheat vile .....coz haingii akilini inakuwa esp kama umeshaolewa, when do they get time whew may be it's just me lakini naona mama unakuwa na majukumu mengi sana esp kwanza kama upo close na familia yako. utoke kazini uende home sijui uandae chakula, homework ya mtoto/or watoto watching favorite sopie mawazo ya kucheat yanatoka wapi???
 
Huyu nae katokea wapi jamani? kama kila mtu angeconcetrate kwenye maisha yake jukwaa hili linge exist? kwani umelazimishwa hata kusoma leave alone ku comment? give me a break, niwapekue ili iweje? nakujua wewe kwani. hebu tazama mnavyoishi kwa mashaka, that alone tells alot about you.

Wewe ndiyo ujiulize umetokea wapi! Kama wewe ndoa yako iko shwari hucheat na mumeo hacheat unataka kujua maisha ya wenzio ili yakusaidie nini? Pilipili usiyoila ya kuwashia nini? Una maswali ya kipumbuvu kweli kweli. Naona utakuwa umevunja ungo juzi juzi tu ndiyo maana unaibuka na thread za kusadikika karibu kila siku. Achana na kufuatilia mambo ya watu. Wanaume wanacheat na wanawake pia wanacheat dunia nzima na wewe haikuhusu kunusanusa maisha ya wenzio. Acha kuishi katika zama za kusadikika. Wewe usiyeishi kwa mashaka utaishi milele, na mumeo akikuletea gono au ukimwi ndiyo utaachana na mawazo yako ya kusadikika.
 
Ni hiyari!

Kama hutaki "kupekuliwa" hii mada umeifungua ya nini?

Mbona unakiogopa kivuli chako mwenyewe?


Na wewe eti ni great thinker! hakuna unachowaza zaidi ila kupekua pekua maisha yasiyowahusu! People with simple minds....
 
Na wewe eti ni great thinker! hakuna unachowaza zaidi ila kupekua pekua maisha yasiyowahusu! People with simple minds....

PELE, si uende kule kwa great thinkers wenzio, tuache sisi vilaza na topic zetu za ukila ukilaza! Please!!!
 
Wewe ndiyo ujiulize umetokea wapi! Kama wewe ndoa yako iko shwari hucheat na mumeo hacheat unataka kujua maisha ya wenzio ili yakusaidie nini? Pilipili usiyoila ya kuwashia nini? Una maswali ya kipumbuvu kweli kweli. Naona utakuwa umevunja ungo juzi juzi tu ndiyo maana unaibuka na thread za kusadikika karibu kila siku. Achana na kufuatilia mambo ya watu. Wanaume wanacheat na wanawake pia wanacheat dunia nzima na wewe haikuhusu kunusanusa maisha ya wenzio. Acha kuishi katika zama za kusadikika. Wewe usiyeishi kwa mashaka utaishi milele, na mumeo akikuletea gono au ukimwi ndiyo utaachana na mawazo yako ya kusadikika.

You are definetely not my type, so arguing with you is wastage of my time. you dont even know what you are saying. You are full of bitterness and stress. take a break pal, drink a glass of water and go to sleep. you will be fine when you wake up and thats when you will realize men dont dont talk like that unless they are gays.:painkiller:
 
Na wewe eti ni great thinker! hakuna unachowaza zaidi ila kupekua pekua maisha yasiyowahusu! People with simple minds....

and what are you doing here if i may ask? why not go kule kwenye siasa and leave us alone? Please goooooooooooooooooooooooo, we dont need you here.
 
Wewe ndiyo ujiulize umetokea wapi! Kama wewe ndoa yako iko shwari hucheat na mumeo hacheat unataka kujua maisha ya wenzio ili yakusaidie nini? Pilipili usiyoila ya kuwashia nini? Una maswali ya kipumbuvu kweli kweli. Naona utakuwa umevunja ungo juzi juzi tu ndiyo maana unaibuka na thread za kusadikika karibu kila siku. Achana na kufuatilia mambo ya watu. Wanaume wanacheat na wanawake pia wanacheat dunia nzima na wewe haikuhusu kunusanusa maisha ya wenzio. Acha kuishi katika zama za kusadikika. Wewe usiyeishi kwa mashaka utaishi milele, na mumeo akikuletea gono au ukimwi ndiyo utaachana na mawazo yako ya kusadikika.

hapa greti thinka limeongea kwa hasira kweli. heheeh inawezekana hela ya cafe imemaliza na bado linataka kupost yuziful post ndio chanzo cha hasira zake. au labda fomu zake za kugombea ubunge hazikupokelewa jimboni/bungeni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom