Aza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2010
- 1,700
- 226
Mimi nimeoa na ndoa yangu inamiaka 6 nilipata majaribu katika mwaka wa pili na kucheat mara moja tu na binti ambaye hata siku ya hukumu naweza kusamehewa kutokana na alivyoumbika. Ila nimeungama sasa sifikirii kucheat.
kizazi cha nyoka...hahahahahaa tih tih