Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

Umewahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

  • NDIO

    Votes: 48 60.0%
  • HAPANA

    Votes: 33 41.3%

  • Total voters
    80
Kajaa tele, vipi unataka kucheat na mimi? Usijali, tutafanya siri.................

we wewe! bado cjaona umuhimu wa kucheat, ila nimeona cv yako hapo kwenye mambo ya kucheat ndo maana nauliza mama matesha yumo? basi nampa Phd ya uvumilivu
 
Mimi Nimeoa. Ndoa yangu ina miaka kumi.
Kabla sijaoa nimeshawahi kumcheat mchumba wangu kwa wasichana wengi
Ndani ya ndoa nimeshacheat na wasichana kadhaa,
Sijawahi kucheat na mke wa mtu (labda kama kati ya hao kadhaa kuna kadhaa walionidanganya kuwa hawajaolewa), wala na mwanafuzi wa praimare au sekandari, wala na mwanamke aliyenizidi umri.

Ahsanteni kwa kunisoma................:target:

Daa Xpin we kiboko..Umeshaacha kucheat au bado unaendelea?hivi unajisikiaje unapomcheat mpenzio?na unatubutu kuzungumza with all confidence...
 
Hapa kuna mtu ananitafuta....

Nyamayao twen zetu bibie tukale 'makange' mida hii......:hug:
 
I was all virgin Mary b4 marriage...and I never lose control over my sexuality, I have stayed clean all these yrs of marriage...
 
Mimi nimeoa na ndoa yangu inamiaka 6 nilipata majaribu katika mwaka wa pili na kucheat mara moja tu na binti ambaye hata siku ya hukumu naweza kusamehewa kutokana na alivyoumbika. Ila nimeungama sasa sifikirii kucheat.
 
Sijui jinsi ya kuweka poll hapa, hope mods will do the needful.

Naomba tu kujua wangapi humu kama wako kwenye ndoa na kwa umri wa ndoa zao wameshaengage in sexual activities na watu tofauti na wenza wao. (cheating). Na pia kwa wale ambao ni singles, wangapi wamesha cheat na waume au wake za watu? Kuweni free tu ili tujue statistics za hapa Tz kwenye hili swala, tusibishanie maneno. Kwa vile wengi sana wanasema its normal to cheat i hope hatutaogopa kuvote hapa.
Kwa mfano. kama wewe ni single sema "mimi ni single sijawahi au nimewahi kucheat na mke au mume wamtu"
kama wewe ni married sema ' Mimi ni married na nimesha wahi kucheat mara kadhaa"

Pia addition information unaweza kutueleza uliewahi kucheat naye ni same person au different people over a certain time, hata sababu zilizokupelekea kucheat pia would be appreciated. Je spouse wako alijua, aliwahi kuhisi au amelala usingizi wa pono, yani hajui kinachoendelea.
Tuwe wakweli basi. thanks.

Carmel Samaha mbona suala la kucheat unangalia kwa mlengo wa upande wa wanaume tu?Wakati mpaka hivi tunavyoongea asilimia 75% ya watoto wazaliwao leo ukiwapima DNA si wa wababa wanaosemwa na kuwa ni wao?

Pia kwa nini wewe umejiweka mtakatifu kuwa hujawahi kucheat na badala yake unasema ulicheat ukiwa single?

Tatu unasema kuwa unatafuta takwimu lakini pindi mtoa hoja anajibu wewe unakuwa na hukumu ya mojamoja kwa moja kuwa alitenda vibaya?

Anyway nawe pia twambie umcheat mara ngapi na jaribu kuwa mkweli kama unataka utafiti wako ufanikiwe.
 
I was all virgin Mary b4 marriage...and I never lose control over my sexuality, I have stayed clean all these yrs of marriage...
Wow! So how was it in the first day? Did you find your hubby virgin too?
 
Carmel Samaha mbona suala la kucheat unangalia kwa mlengo wa upande wa wanaume tu?Wakati mpaka hivi tunavyoongea asilimia 75% ya watoto wazaliwao leo ukiwapima DNA si wa wababa wanaosemwa na kuwa ni wao?

Pia kwa nini wewe umejiweka mtakatifu kuwa hujawahi kucheat na badala yake unasema ulicheat ukiwa single?

Tatu unasema kuwa unatafuta takwimu lakini pindi mtoa hoja anajibu wewe unakuwa na hukumu ya mojamoja kwa moja kuwa alitenda vibaya?

Anyway nawe pia twambie umcheat mara ngapi na jaribu kuwa mkweli kama unataka utafiti wako ufanikiwe.

hii statistic umetoa wapi?
 
naona mnaogopa why? just say the truth people.

Halafu watu wakishakwambia kweli ndiyo iweje? Concentrate kwenye maisha yako badala ya kutaka kufuatilia maisha yasiyokuhusu? Umetumwa kuwapekua pekua watu hapa? Watu wengine bwana!!!!!
 
me sijawahi kucheat mume wa mtu na nina bikira yangu na nina mchumba tunasubili mpa siku ya ndoa ndo tule tunda
 
Halafu watu wakishakwambia kweli ndiyo iweje? Concentrate kwenye maisha yako badala ya kutaka kufuatilia maisha yasiyokuhusu? Umetumwa kuwapekua pekua watu hapa? Watu wengine bwana!!!!!

Ni hiyari!

Kama hutaki "kupekuliwa" hii mada umeifungua ya nini?

Mbona unakiogopa kivuli chako mwenyewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom