Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
hehehe leo nitakuwa nachagua PM. akiwa faifu star napokea akiwa uwanja wa fisi naripoti abyuzi. yaani AD kanipaisha kuliko lonado di kaprio. khaaa! karibuni ze finest nitamgeuza mshika pembe niondoke na AD
Hongera sana,
Hata hivyo nashindwa kuamini macho yangu, pamoja na umri wote huu..Yaani dawa ya chloroquine (CQ) iliyoshindwa kazi hadi ikatupwa kwenye kapu la taka leo imepandishwa chati kwamba inafanya kazi vizuri...This is a paradox.
Ila sina wivu...kama kawaida ya DC
(formerly known as babu DC, kabla yule mchawi/mwanga/mlozi na kikongwe wa Laliondo hajachafua hali ya hewa)!!!