Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,651
Mimi ni mmoja wapo ninae kula sana nikiwa na msongo wa mawazo kama mtambuzi alivyoelekeza. Hajakosea kabisaa ni kweli tupu hiyo.
Inawezekana,bt ni wachache sn kwa wabongo!bt wengi hudhoofu coz hukosa ham ya kula