Uhaba wa umeme nchini: Kwanini serikali ya CCM chini ya Marais wao watatu Kikwete, Magufuli na Samia imeshindwa kupata Suluhu ya kudumu?

Uzima Tele

JF-Expert Member
Jan 20, 2023
1,101
2,345
1. Tatizo lilianza seriously wakati wa utawala wa Jakaya Kikwete (2005 - 2015). Alijaribu kulitatua lakini serikali yake haikuwa na nia ya kutatua bali viongozi wa serikali kutumia tatizo hilo kufanya ufisadi ili kuiba pesa ya umma tu. Rejea kashfa ya Richmond.

2. Tatizo hili limedumu kwa miongo mitatu na ushee sasa. Lugha na staili ya kulitatua ni ileile ambayo mtu makini akichunguza hataona nia ya kweli ya kutatua zaidi ya viongozi wa serikali kutumia tatizo hilo kama fursa ya kupiga pesa (kufanya ufisadi) huku nchi na wananchi wakitaabika Kwa uchumi wao mdogo kujeruhiwa na wengine kufa kabisa..

Haiwezekani tatizo dogo kama hili la umeme lidumu kwa zaidi ya miaka 35 huku serikali kongwe ya CCM ikiwa madarakani kwa miaka 63+ tangu 1961 ikiwa imeshindwa kupata ufumbuzi wa kudumu kiasi cha watu kujiuliza wanafanya nini ofisini kama hawatumii vichwa vyao vyema kufikiri?

Swali kuu la kujiuliza ni; Je, ina maana nchi hii haina watu wenye akili wanaoweza kufikiri vyema na kuja na Suluhu ya kudumu kuondoa tatizo hili? Kama wapo, kikwazo ni nini?

Hebu nyie chawa wa mama, wana CCM kindandaki kina Lucas mwashambwa, Paul Makonda, ChoiceVariable chiembe, FaizaFoxy, MamaSamia2025, Tlaatlaah Pascal Mayalla na wengine hebu tupeni maelezo tuwaelewe..!!

3. Wakati wa utawala John P. Magufuli (2015 - mwanzoni mwa 2021), kulikuwa na mwanga kidogo wa uelekeo kutatuliwa kwa changamoto hii. Huyu Mzee alianzisha mradi mkubwa wa kujenga bwawa la kuzalisha umeme ktk maporomoko ya Stigler Gorge yaliyopo katika mto Rufiji mkoa wa Pwani. Mradi huo umepewa jina Julius Kambarage Nyerere Hydro Electric Power Station (JKNHP)..

4. Pamoja na kuanzishwa kwa mradi huu, wakati wote wa u - Rais wa John P. Magufuli (2015 - 2021), hakukuwa na mgawo wa umeme kabisa ulio rasmi nchi nzima na kiasi cha kudumu kwa muda mrefu. Kama kulikuwa na kukatika umeme, basi ilikuwa ni kwa sbb za kiufundi na kwa muda mfupi tu..

John P. Magufuli alikuwa na ubaya wake. Lakini ktk eneo hili pamoja uchumi alifanya vyema sana. Mimi nampa maua yake🌹🌹🌹huko alikohifadhiwa...

5. Cha kushangaza, Mara baada ya kifo Cha Magufuli na nchi kutwaliwa na Makamu wake kikatiba, ghafla everything turned upside down. Maisha yakawa magumu. Thamani ya shilingi ikaporomoka kwa kasi. Mafuta ya petrol yakapaa kupita kiasi ktk muda mfupi sana ikiwemo kuadimika. Ghafla tatizo la umeme likaanza na linadumu hadi sasa..

Tunajiuliza kulikoni? Mbona lilishatatuliwa na Rais Magufuli imekuwaje ghafla linaanza tena? Bila shaka huu ni mchezo mbaya wa serikali kuhujumu wananchi wake wenyewe..!

Cha kushangaza ni kuwa huyu Rais anaonesha wazi kuwa hajali na hajui taabu wanayokumbana nayo wananchi. Yuko bize kukata mitaa huko duniani. Ameshindwa kabisa kuonesha uongozi katika haya. Madume aliyoyateua mwenyewe yanatumia udhaifu wake wa kuwa mwanamke kumhujumu. Yakitaka kuiba, yanampangia safari kwenda ughaibuni kutembea. Kuna siku yatampangia ziara kwenda Somalia kuomba msaada🙄🤔 ili mradi tu yapate mwanya wa kupiga..!

Tunataka serikali ituambie shida ya hii kitu iko wapi? Mbona tatizo ni la miongo zaidi ya mitatu? Kama CCM mmeshindwa kutatua, mnafanya nini kwenye ikulu yetu???
 
Mabadiliko ya tabia ya nchi yaliathiri sana hali ya uzalishaji wa umeme katika nchi yetu. Ambapo ukame ulioikumba nchi yetu ulipelekea kina cha maji kushuka chini na hivyo kuathiri uzalishaji wa umeme.mfano bwawa la Mtera lenye uwezo wa kuzalisha megawati 80 lilijikuta likizalisha megawatts 40 tu.

Vivyo hivyo kwa bwawa la kidatu linalopakana pale mkoani Morogoro lenye uwezo wa kuzalisha megawati 204 nalo lilijikuta likishindwa kufikia uwezo wake wa kutoa megawati hizo za umeme.

Hata pale mvua zilipokuwa zimeanza hususan mwishoni kwa mwezi wa kumi na mbili ilikuwa changamoto katika kujaza maji mabwawa haya kwani mikoa tegemeo katika kupokea mvua na kupelekwa katika mabwawa haya ilikuwa ni hafifu na yenye kutawaliwa na vipindi vingi na virefu vya jua japo maeneo mengine ya nchi mvua ilikuwa ikiendelea kunyesha kwa wingi.

Tatu ni suala la ongezeko kubwa sana tena sana ya shughuli za kiuchumi hapa nchini zinazotegemea Umeme. Ndugu zangu ni kuwa Mheshimiwa mama Samia Suluhu Hasssan mara baada ya kuingia madarakani amefanya kazi kubwa sana ya kuvutia wawekezaji katika Secta mbalimbali hapa nchini ,lakini pia kuongezeka kwa idadi kubwa ya wajasiriamali wanaotumia umeme katika shughuli zao za kiuchumi.

Ninyi wenyewe ni mashahidi kuwa wakati huu wa Rais Samia hakuna kiwanda cha aina yoyote ile kilichofungwa na wawekezaji kutokana na mazingira magumu ya biashara,bali tumeshuhudia shughuli za uwekezaji zikiongezeka sana hapa nchini.hali iliyopelekea na kuchochea ongezeko la mahitaji ya umeme hapa nchini ,wakati kwa kiasi kikubwa tulikuwa tunatumia na kutegemea chanzo kimoja tu cha kuzalisha umeme ambao ni umeme wa maji.

Lakini pia kumekuwa na ongezeko ya mikoa ambayo hapo awali ilikuwa haijaunganishwa katika grid ya Taifa ,ambapo mara baada ya kuingia madarakani kwa mama wa shoka , chuma cha reli na jasiri muongoza njia mama Samia Suluhu Hasssan aliunganisha mikoa hiyo katika grid ya Taifa na hivyo kuongeza mahitaji ya umeme kwa kiasi kikubwa wakati vyanzo vya kuzalisha umeme vilibaki kuwa vile vile

Hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na Changamoto hii ya umeme ni pamoja na kufanya mchakamchaka katika kukamilisha ujenzi wa bwawa la mwalimu Nyerere ambalo litatupatia megawati 2115 pale litakapokuwa limekamilika.na kwa sasa lipo katika hatua za mwisho kabisa katika kuanza kuzalisha umeme kwa kuwasha mtambo wa kwanza ambao muda siyo mrefu utawashwa.

Pili ni kutumia umeme wa gas.ambapo serikali yetu imejaribu kutumia nakizalisha umeme unaotokana na gas ili kuongeza megawati ambazo zimekuwa zikiunganishwa katika grid ya Taifa..

Nitaendelea kutoa majibu mengine .ngoja niishie hapa kwanza ili andiko lisiwe refu sana.
 
Kinachoshangaza zaidi ni kuwe na mvua chache, ukame au mvua nyingi tatizo liko palepale, makali yanapungua na kuongezeka tu kwa muda tofauti ila umeme wa uhakika umekuwa anasa kwa muda mrefu sana!
 
Haya maswali uliyo yauliza ndugu mwandishi ,ndiyo maswali wanayo uliza na kujiuliza wananchi wengi huku mtaani .

Namna umeme unavyo katwa katwa hii siyo tu changamoto bali ni tatizo tena kubwa .

Haiwezekani nchi kama yetu hii ambayo ina fursa kibao za kuzalisha umeme wa kutosha ,eti tumeshindwa chini ya ccm.

Hapa kwa kifupi nikwamba ,mafisadi yameegemeza ndaono zao kwenye sekta hii ya nishati ,kwahivo ni ngumu kuja kupata suluhu ya kudumu ,hata huko Bwawa la Mwalimu Nyerere ukianza kuzalishwa , tutarajie wataharibu makusudi ili kuwe na upungufu wa umeme na hatimae wachache wao waendelee kufisidi nchi kwa mgongo wa kupambana na ununuaji wavipuli au vyovyote watakavyo buni kuwaambia wananchi.

Kama sivyo kwanini pamoja na kuwa na vyanzo vingi vya kuzalishaji nishati muhimu ya umeme lakini tuna hangaika kukosa umeme tena umeme mdogo tu wamajumbani. Viwanda vizito vikijengwa tutaweza wapi??

Nani anaweza kuwekeza kiwanda cha magari,au mashine za moto nzitonzito ikiwa umeme ni wa tabu namna hii nchini kwetu???

Kwanini kipindi cha Magufuli umene haukukatika hovyo hovyo kama ilivyo kuwa kipindi cha Kikwete na hata cha Mama Samia ???.


Nilimsikia juzi Makonda akisema hata South Africa kuna shida ya umeme. Ina maana anataka kutuambia Africa ya kusini ikiwa na tabu ya jambo fulani basi nasi sisi tujilinganishe nao ??? . Je Makonda anajua changamoto za umeme wa South Africa na wana kiwango gani cha uzalishaji ukilinganisha na sisi.

NAMUONEA HURUMA MAMA SAMIA ,KWANI ALIO WAAMINI WAMSAIDIE KAZI YA KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI NDIYO WANAO MUANGUSHA.

Namshauri apige hao watu chini aanze upya ,si mbaya hata akiteuwa wapinzani kwenye sector muhimu kama Umeme, Uchumi,Sheria na Katiba .
.wata mupa msaada sana kuliko anavyo waamini ccm.

Tena asitumie mbinu ya Magufuli kuwanunua kwa pesa ,Bali awateuwe direct kutoka kwenye vyama vyao.

NAKUTAKIA KILA LAKHERI MAMA SAMIA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
 
Ndugu unaongelea suala la umeme, shilingi kuporomoka, uongozi wa Magufuli, uongozi wa Mama Samia au nini? Pia nimeamua NIKUPUUZE kwa kutamka hii kauli ya kishenzi "Madume aliyoyateua mwenyewe yanatumia udhaifu wake wa kuwa mwanamke kumhujumu".... hii ni kauli yenye nia ovu ya kumwondolea heshima yake Rais wa nchi. Siku nyingine jifunze kuwa na adabu.
 
Biteko pamoja na kukabidhiwa wizara na unaibu waziri mkuu, bado hajapata ufumbuzi!? Kunani kulee!?
 
Ukija katika suala la nishati ya mafuta hasa petroli na dizeli ambalo lilileta changamoto mwaka jana .ningependa napo kukujibu ya kuwa siyo serikali ya Rais Samia Ambayo ilikuwa imesababisha changamoto hiyo.kwanza ifahamike na kueleweka ya kuwa sisi hatuna visima vya mafuta wala hatuzalishi mafuta.

Tunategemea mafuta kutoka nje ya nchi ambako yanapangwa bei huko huko. Ambapo mwaka jana nahata mwaka juzi kulitokea mfumuko wa bei ya mafuta ambao kwa kiasi kikubwa ulitokana na nchi wazalishaji wa mafuta kupunguza uzalishaji wa mafuta na hivyo kupelekea upungufu wa mafuta na kupaa kwa bei .lakini pia vita ya ukrein nayo kwa kiasi kikubwa iliathiri sana bei ya mafuta katika soko la Dunia .

Ambapo hatua za haraka zilichukuliwa na serikali yetu katika kukabiliana na hali hiyo ambayo ilikuwa na maumivu makali kwa mwananchi.ambapo serikali ilianza kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika mafuta.hali iliyopelekea mafuta kushuka bei ukilinganisha na nchi majirani na hivyo kuzuia mfumuko wa bei katika bidhaa zingine,hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa mafuta ndio injini ya uchumi.
 
Hapa tumsubiri ChoiceVariable aje kutetea hoja, atasema kwanza kipindi cha JPM viwanda vilifanya kazi chini ya kiwango, mitambo haikuwa mobovu, uchumi ulikuwa duni sana ndio maana hawakukata umeme, saivi uzalishaji viwandani upo juu sana, pamoja na hizi.mvua nyingi bado viwanda vinazalisha sana, hence mgao wa umeme.

Ukikubali kuwa chawa...
 
kutumia umeme wa gas.ambapo serikali yetu imejaribu kutumia nakizalisha umeme unaotokana na gas ili kuongeza megawati ambazo zimekuwa zikiunganishwa katika grid ya Taifa..
Sasa kama gesi inatumika kuzalisha umeme kwanini kuna mgao? Hii propaganda bado hujaipanga vizuri
 
Mabadiliko ya tabia ya nchi yaliathiri sana hali ya uzalishaji wa umeme katika nchi yetu. Ambapo ukame ulioikumba nchi yetu ulipelekea kina cha maji kushuka chini na hivyo kuathiri uzalishaji wa umeme.mfano bwawa la Mtera lenye uwezo wa kuzalisha megawati 80 lilijikuta likizalisha megawatts 40 tu.

Vivyo hivyo kwa bwawa la kidatu linalopakana pale mkoani Morogoro lenye uwezo wa kuzalisha megawati 204 nalo lilijikuta likishindwa kufikia uwezo wake wa kutoa megawati hizo za umeme.

Hata pale mvua zilipokuwa zimeanza hususan mwishoni kwa mwezi wa kumi na mbili ilikuwa changamoto katika kujaza maji mabwawa haya kwani mikoa tegemeo katika kupokea mvua na kupelekwa katika mabwawa haya ilikuwa ni hafifu na yenye kutawaliwa na vipindi vingi na virefu vya jua japo maeneo mengine ya nchi mvua ilikuwa ikiendelea kunyesha kwa wingi.

Tatu ni suala la ongezeko kubwa sana tena sana ya shughuli za kiuchumi hapa nchini zinazotegemea Umeme. Ndugu zangu ni kuwa Mheshimiwa mama Samia Suluhu Hasssan mara baada ya kuingia madarakani amefanya kazi kubwa sana ya kuvutia wawekezaji katika Secta mbalimbali hapa nchini ,lakini pia kuongezeka kwa idadi kubwa ya wajasiriamali wanaotumia umeme katika shughuli zao za kiuchumi.

Ninyi wenyewe ni mashahidi kuwa wakati huu wa Rais Samia hakuna kiwanda cha aina yoyote ile kilichofungwa na wawekezaji kutokana na mazingira magumu ya biashara,bali tumeshuhudia shughuli za uwekezaji zikiongezeka sana hapa nchini.hali iliyopelekea na kuchochea ongezeko la mahitaji ya umeme hapa nchini ,wakati kwa kiasi kikubwa tulikuwa tunatumia na kutegemea chanzo kimoja tu cha kuzalisha umeme ambao ni umeme wa maji.

Lakini pia kumekuwa na ongezeko ya mikoa ambayo hapo awali ilikuwa haijaunganishwa katika grid ya Taifa ,ambapo mara baada ya kuingia madarakani kwa mama wa shoka , chuma cha reli na jasiri muongoza njia mama Samia Suluhu Hasssan aliunganisha mikoa hiyo katika grid ya Taifa na hivyo kuongeza mahitaji ya umeme kwa kiasi kikubwa wakati vyanzo vya kuzalisha umeme vilibaki kuwa vile vile

Hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na Changamoto hii ya umeme ni pamoja na kufanya mchakamchaka katika kukamilisha ujenzi wa bwawa la mwalimu Nyerere ambalo litatupatia megawati 2115 pale litakapokuwa limekamilika.na kwa sasa lipo katika hatua za mwisho kabisa katika kuanza kuzalisha umeme kwa kuwasha mtambo wa kwanza ambao muda siyo mrefu utawashwa.

Pili ni kutumia umeme wa gas.ambapo serikali yetu imejaribu kutumia nakizalisha umeme unaotokana na gas ili kuongeza megawati ambazo zimekuwa zikiunganishwa katika grid ya Taifa..

Nitaendelea kutoa majibu mengine .ngoja niishie hapa kwanza ili andiko lisiwe refu sana.

We papasi hayo matatizo ya tabia nchi yako Tanzania pekee?
 
1. Tatizo lilianza seriously wakati wa utawala wa Jakaya Kikwete (2005 - 2015). Alijaribu kulitatua lakini serikali yake haikuwa na nia ya kutatua bali viongozi wa serikali kutumia tatizo hilo kufanya ufisadi ili kuiba pesa ya umma tu. Rejea kashfa ya Richmond...

2. Tatizo hili limedumu kwa miongo mitatu na ushee sasa. Lugha na staili ya kulitatua ni ileile ambayo mtu makini akichunguza hataona nia ya kweli ya kutatua zaidi ya viongozi wa serikali kutumia tatizo hilo kama fursa ya kupiga pesa (kufanya ufisadi) huku nchi na wananchi wakitaabika Kwa uchumi wao mdogo kujeruhiwa na wengine kufa kabisa..

Haiwezekani tatizo dogo kama hili la umeme lidumu kwa zaidi ya miaka 35 huku serikali kongwe ya CCM ikiwa madarakani kwa miaka 63+ tangu 1961 ikiwa imeshindwa kupata ufumbuzi wa kudumu kiasi cha watu kujiuliza wanafanya nini ofisini kama hawatumii vichwa vyao vyema kufikiri..!!?

Swali kuu la kujiuliza ni; Je, ina maana nchi hii haina watu wenye akili wanaoweza kufikiri vyema na kuja na Suluhu ya kudumu kuondoa tatizo hili? Kama wapo, kikwazo ni nini?

Hebu nyie chawa wa mama, wana CCM kindandaki kina Lucas mwashambwa, Paul Makonda, ChoiceVariable chiembe, FaizaFoxy, MamaSamia2025, Tlaatlaah Pascal Mayalla na wengine hebu tupeni maelezo tuwaelewe..!!

3. Wakati wa utawala John P. Magufuli (2015 - mwanzoni mwa 2021), kulikuwa na mwanga kidogo wa uelekeo kutatuliwa kwa changamoto hii. Huyu Mzee alianzisha mradi mkubwa wa kujenga bwawa la kuzalisha umeme ktk maporomoko ya Stigler Gorge yaliyopo katika mto Rufiji mkoa wa Pwani. Mradi huo umepewa jina Julius Kambarage Nyerere Hydro Electric Power Station (JKNHP)..

4. Pamoja na kuanzishwa kwa mradi huu, wakati wote wa u - Rais wa John P. Magufuli (2015 - 2021), hakukuwa na mgawo wa umeme kabisa ulio rasmi nchi nzima na kiasi cha kudumu kwa muda mrefu. Kama kulikuwa na kukatika umeme, basi ilikuwa ni kwa sbb za kiufundi na kwa muda mfupi tu..

John P. Magufuli alikuwa na ubaya wake. Lakini ktk eneo hili pamoja uchumi alifanya vyema sana. Mimi nampa maua yakehuko alikohifadhiwa...

5. Cha kushangaza, Mara baada ya kifo Cha Magufuli na nchi kutwaliwa na Makamu wake kikatiba, ghafla everything turned upside down. Maisha yakawa magumu. Thamani ya shilingi ikaporomoka kwa kasi. Mafuta ya petrol yakapaa kupita kiasi ktk muda mfupi sana ikiwemo kuadimika. Ghafla tatizo la umeme likaanza na linadumu hadi sasa..

Tunajiuliza kulikoni? Mbona lilishatatuliwa na Rais Magufuli imekuwaje ghafla linaanza tena? Bila shaka huu ni mchezo mbaya wa serikali kuhujumu wananchi wake wenyewe..!

Cha kushangaza ni kuwa huyu Rais anaonesha wazi kuwa hajali na hajui taabu wanayokumbana nayo wananchi. Yuko bize kukata mitaa huko duniani. Ameshindwa kabisa kuonesha uongozi katika haya. Madume aliyoyateua mwenyewe yanatumia udhaifu wake wa kuwa mwanamke kumhujumu. Yakitaka kuiba, yanampangia safari kwenda ughaibuni kutembea. Kuna siku yatampangia ziara kwenda Somalia kuomba msaada ili mradi tu yapate mwanya wa kupiga..!

Tunataka serikali ituambie shida ya hii kitu iko wapi? Mbona tatizo ni la miongo zaidi ya mitatu? Kama CCM mmeshindwa kutatua, mnafanya nini kwenye ikulu yetu???
Utatuzi wa tatizo hili unahitaji watu wenye uwezo wa kufikili nje ya box. Haiwezekani tutegeme umeme wa maji na gesi wakati kuna uwezokano mkubwa wa kuzalisha umeme kwa kutumia upepo, makaa ya mawe, umeme wa joto lidi na umeme wa jua. Japo kuwa vyanzo vingine uendeshaji wake ni ghalama kubwa lakini pia ni vema vikafanyiwa kazi ili wakati kuna tatizo la upungufu wa maji, chanzo kingine kizibe upungufu wa umeme.
 
Mabadiliko ya tabia ya nchi yaliathiri sana hali ya uzalishaji wa umeme katika nchi yetu. Ambapo ukame ulioikumba nchi yetu ulipelekea kina cha maji kushuka chini na hivyo kuathiri uzalishaji wa umeme.mfano bwawa la Mtera lenye uwezo wa kuzalisha megawati 80 lilijikuta likizalisha megawatts 40 tu.

Vivyo hivyo kwa bwawa la kidatu linalopakana pale mkoani Morogoro lenye uwezo wa kuzalisha megawati 204 nalo lilijikuta likishindwa kufikia uwezo wake wa kutoa megawati hizo za umeme.

Hata pale mvua zilipokuwa zimeanza hususan mwishoni kwa mwezi wa kumi na mbili ilikuwa changamoto katika kujaza maji mabwawa haya kwani mikoa tegemeo katika kupokea mvua na kupelekwa katika mabwawa haya ilikuwa ni hafifu na yenye kutawaliwa na vipindi vingi na virefu vya jua japo maeneo mengine ya nchi mvua ilikuwa ikiendelea kunyesha kwa wingi.

Tatu ni suala la ongezeko kubwa sana tena sana ya shughuli za kiuchumi hapa nchini zinazotegemea Umeme. Ndugu zangu ni kuwa Mheshimiwa mama Samia Suluhu Hasssan mara baada ya kuingia madarakani amefanya kazi kubwa sana ya kuvutia wawekezaji katika Secta mbalimbali hapa nchini ,lakini pia kuongezeka kwa idadi kubwa ya wajasiriamali wanaotumia umeme katika shughuli zao za kiuchumi.

Ninyi wenyewe ni mashahidi kuwa wakati huu wa Rais Samia hakuna kiwanda cha aina yoyote ile kilichofungwa na wawekezaji kutokana na mazingira magumu ya biashara,bali tumeshuhudia shughuli za uwekezaji zikiongezeka sana hapa nchini.hali iliyopelekea na kuchochea ongezeko la mahitaji ya umeme hapa nchini ,wakati kwa kiasi kikubwa tulikuwa tunatumia na kutegemea chanzo kimoja tu cha kuzalisha umeme ambao ni umeme wa maji.

Lakini pia kumekuwa na ongezeko ya mikoa ambayo hapo awali ilikuwa haijaunganishwa katika grid ya Taifa ,ambapo mara baada ya kuingia madarakani kwa mama wa shoka , chuma cha reli na jasiri muongoza njia mama Samia Suluhu Hasssan aliunganisha mikoa hiyo katika grid ya Taifa na hivyo kuongeza mahitaji ya umeme kwa kiasi kikubwa wakati vyanzo vya kuzalisha umeme vilibaki kuwa vile vile

Hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na Changamoto hii ya umeme ni pamoja na kufanya mchakamchaka katika kukamilisha ujenzi wa bwawa la mwalimu Nyerere ambalo litatupatia megawati 2115 pale litakapokuwa limekamilika.na kwa sasa lipo katika hatua za mwisho kabisa katika kuanza kuzalisha umeme kwa kuwasha mtambo wa kwanza ambao muda siyo mrefu utawashwa.

Pili ni kutumia umeme wa gas.ambapo serikali yetu imejaribu kutumia nakizalisha umeme unaotokana na gas ili kuongeza megawati ambazo zimekuwa zikiunganishwa katika grid ya Taifa..

Nitaendelea kutoa majibu mengine .ngoja niishie hapa kwanza ili andiko lisiwe refu sana.
Aisee, hakuna mtanzania utamdanganya kwa sababu kama hizi ulizoziainisha hapa kwa sasa.Kuwa na aibu.
 
1. Tatizo lilianza seriously wakati wa utawala wa Jakaya Kikwete (2005 - 2015). Alijaribu kulitatua lakini serikali yake haikuwa na nia ya kutatua bali viongozi wa serikali kutumia tatizo hilo kufanya ufisadi ili kuiba pesa ya umma tu. Rejea kashfa ya Richmond.

2. Tatizo hili limedumu kwa miongo mitatu na ushee sasa. Lugha na staili ya kulitatua ni ileile ambayo mtu makini akichunguza hataona nia ya kweli ya kutatua zaidi ya viongozi wa serikali kutumia tatizo hilo kama fursa ya kupiga pesa (kufanya ufisadi) huku nchi na wananchi wakitaabika Kwa uchumi wao mdogo kujeruhiwa na wengine kufa kabisa..

Haiwezekani tatizo dogo kama hili la umeme lidumu kwa zaidi ya miaka 35 huku serikali kongwe ya CCM ikiwa madarakani kwa miaka 63+ tangu 1961 ikiwa imeshindwa kupata ufumbuzi wa kudumu kiasi cha watu kujiuliza wanafanya nini ofisini kama hawatumii vichwa vyao vyema kufikiri?

Swali kuu la kujiuliza ni; Je, ina maana nchi hii haina watu wenye akili wanaoweza kufikiri vyema na kuja na Suluhu ya kudumu kuondoa tatizo hili? Kama wapo, kikwazo ni nini?

Hebu nyie chawa wa mama, wana CCM kindandaki kina Lucas mwashambwa, Paul Makonda, ChoiceVariable chiembe, FaizaFoxy, MamaSamia2025, Tlaatlaah Pascal Mayalla na wengine hebu tupeni maelezo tuwaelewe..!!

3. Wakati wa utawala John P. Magufuli (2015 - mwanzoni mwa 2021), kulikuwa na mwanga kidogo wa uelekeo kutatuliwa kwa changamoto hii. Huyu Mzee alianzisha mradi mkubwa wa kujenga bwawa la kuzalisha umeme ktk maporomoko ya Stigler Gorge yaliyopo katika mto Rufiji mkoa wa Pwani. Mradi huo umepewa jina Julius Kambarage Nyerere Hydro Electric Power Station (JKNHP)..

4. Pamoja na kuanzishwa kwa mradi huu, wakati wote wa u - Rais wa John P. Magufuli (2015 - 2021), hakukuwa na mgawo wa umeme kabisa ulio rasmi nchi nzima na kiasi cha kudumu kwa muda mrefu. Kama kulikuwa na kukatika umeme, basi ilikuwa ni kwa sbb za kiufundi na kwa muda mfupi tu..

John P. Magufuli alikuwa na ubaya wake. Lakini ktk eneo hili pamoja uchumi alifanya vyema sana. Mimi nampa maua yake🌹🌹🌹huko alikohifadhiwa...

5. Cha kushangaza, Mara baada ya kifo Cha Magufuli na nchi kutwaliwa na Makamu wake kikatiba, ghafla everything turned upside down. Maisha yakawa magumu. Thamani ya shilingi ikaporomoka kwa kasi. Mafuta ya petrol yakapaa kupita kiasi ktk muda mfupi sana ikiwemo kuadimika. Ghafla tatizo la umeme likaanza na linadumu hadi sasa..

Tunajiuliza kulikoni? Mbona lilishatatuliwa na Rais Magufuli imekuwaje ghafla linaanza tena? Bila shaka huu ni mchezo mbaya wa serikali kuhujumu wananchi wake wenyewe..!

Cha kushangaza ni kuwa huyu Rais anaonesha wazi kuwa hajali na hajui taabu wanayokumbana nayo wananchi. Yuko bize kukata mitaa huko duniani. Ameshindwa kabisa kuonesha uongozi katika haya. Madume aliyoyateua mwenyewe yanatumia udhaifu wake wa kuwa mwanamke kumhujumu. Yakitaka kuiba, yanampangia safari kwenda ughaibuni kutembea. Kuna siku yatampangia ziara kwenda Somalia kuomba msaada🙄🤔 ili mradi tu yapate mwanya wa kupiga..!

Tunataka serikali ituambie shida ya hii kitu iko wapi? Mbona tatizo ni la miongo zaidi ya mitatu? Kama CCM mmeshindwa kutatua, mnafanya nini kwenye ikulu yetu???
Shida ya Umeme haitaisha hadi ccm itoke madarakani
 
Back
Top Bottom