njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,369
- 5,515
Ina maana huko Tanzania vyama vya Kisiasa vinajiingiza na Mambo ya Udini ndani yake? ikiwa ni chama cha Chadema ni chama cha Wakristo je CCM ni chama cha watu wenye Dini gani? Nauliza Swali nifunguwe macho Mkuu mkigoma
MziziMkavu CCM ni chama cha watanzania toka kikwete aingie madarakani amefanya mapinduzi mazuri sana ndani ya chama udini alioacha mkapa ameufutilia mbali ... chadema ni anti Muslims wala haitaki torch -
1) mzee mtei kupinga tume ya katiba akidai waislam wengi "islamophobia"
2)Mchungaji msingwa kusimama bungeni kuhoji kwanini mwezi wa ramadhan zanzibar watu hawali mchana "chuki waziwazi"
3) wana ushirikiano na chama cha kikristo cha ujerumani CDU .. kwney mkutano jangwani walikuwepo ...
... ETCL
hili la kufanyia mkutano bar tena mida ya iftar .. inaonesha walivyo wabinafsi ..