Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
umemaliza mjadala.....Matola,
..CDM wangeamua kufanya shughuli yao kwenye ukumbi wa kanisa kungekuwa na kelele kubwa zaidi.
..lakini mwandishi anapendekeza CDM wakakodi ukumbi wa msikiti, kwasababu hiyo ni sehemu "neutral."
..kwa watu hawa hakuna jema linaloweza kufanywa na CDM. wangekuwa wanaipenda CDM kwa dhati basi wangekuwepo ktk kamati ya maandalizi, na mapendekezo yao yangefanyiwa kazi.
NB:
..huu ni mwezi MTUKUFU kwa ndugu zetu WAISLAMU, sasa siyo vizuri kudai kwamba wanashinda njaa.