Ufunguzi wa tawi la CHADEMA UK leo,waislam wamwandikia barua dr Slaa kulalamika.

Status
Not open for further replies.
Matola,

..CDM wangeamua kufanya shughuli yao kwenye ukumbi wa kanisa kungekuwa na kelele kubwa zaidi.

..lakini mwandishi anapendekeza CDM wakakodi ukumbi wa msikiti, kwasababu hiyo ni sehemu "neutral."

..kwa watu hawa hakuna jema linaloweza kufanywa na CDM. wangekuwa wanaipenda CDM kwa dhati basi wangekuwepo ktk kamati ya maandalizi, na mapendekezo yao yangefanyiwa kazi.

NB:

..huu ni mwezi MTUKUFU kwa ndugu zetu WAISLAMU, sasa siyo vizuri kudai kwamba wanashinda njaa.
umemaliza mjadala.....
 
Nimekuwa JF kwa muda mrefu sasa, nimesoma mengi na kuandika mengi pia. Nimeanzisha post na kuchangia post, nimejibu na kujibiwa, lakini kama watu wapo makini kufuatilia kwa urahisi wanaweza kuona kuwa msingi wa post zangu si ushabiki wala guess work bali ni fact.

Katika hizo post zangu hakuna hata moja ambayo nimezusha bali hayo niliyoyaandika yanatetewa kwa hoja na ushahidi ulio wazi.

Mara zote nimekuwa nikisisitiza kujibiwa kwa hoja kwa maana ninachokiandika humu kina mlengwa huo wa hoja. Na hoja hupingwa ama hujibiwa kwa hoja. Si sahihi kudai kuwa post zangu ni za mlengwa mmoja bali ninaandika balanced opinion kwa pande zote, nakosoa pale kwenye makosa na nasifia pale kwenye mafanikio.

Nimekuwa nikisisitiza kuwa msingi wa mijadala hapa JF usiwe ni ushabiki na fahari ya baadhi kujionesha wanajua kuliko wengine, ama wao ni wakusifu tu ama kupinga tuu, bali nimesisitiza kuwa madhumuni ya kujadili hapa ni kufikia ufahamu sawa(kufahamishana) na kupeana ujuzi juu ya namna serikali inavyofanya kazi zake lakini pia jamii kwa ujumla inavyoweza kupiga hatua kwa kujitathmini na kuchukua hatua za msingi katika kujiletea maendeleo.

Haitakuwa sahihi, ku-twist mjadala huu kutoka katika maudhui yake asili na kuanza kujadiliwa mtoa thread. Nasema si sawa sawa hata kidogo. TUJADILI KWA HOJA ILI TUJENGE TAIFA LENYE FIKRA SAHIHI.

Acha zako wewe, fact iko wapi wakati unasema uongo mtupu, eti Mh. Lema alivuliwa ubunge kwasababu ya udini! hakuna hoja ya kujadili zaidi ya ubaguzi ambao mnao kwa wabara...
 
nyie wapemba hamjui kwamba uingeeeza ni nchi ya wakristo na kwamba hawatambui ramadhani?sasa mnamlaumi nini lema? Hapa ni kiti moto kwa mbele na bia kwa wingi mkitaka uisilamu wenu pelekeni afrighanistan na somalia. Huku kwetu kent hakuna msikiti hata mmoja labda huko uswahilini barking na west ham.na mkumbuke kwamba hu mwezi ni kwa nyie waisllamu tu sisi wengine tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida.
 
nyie wapemba hamjui kwamba uingeeeza ni nchi ya wakristo na kwamba hawatambui ramadhani?sasa mnamlaumi nini lema? Hapa ni kiti moto kwa mbele na bia kwa wingi mkitaka uisilamu wenu pelekeni afrighanistan na somalia. Huku kwetu kent hakuna msikiti hata mmoja labda huko uswahilini barking na west ham.na mkumbuke kwamba hu mwezi ni kwa nyie waisllamu tu sisi wengine tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida.

povu la nini yakhe! hapa swala sio wapemba vs chadema.. hapa ni waislam watanzania waliopo london wakitoa malalamiko kwamba chadema imefanya makusudi kuweka mkutano muda wa iftar tena Bar .. it was like another slap to the Muslims communities toka kwa cdm kwamba "we dont give sh** about you people"
 
nyie wapemba hamjui kwamba uingeeeza ni nchi ya wakristo na kwamba hawatambui ramadhani?sasa mnamlaumi nini lema? Hapa ni kiti moto kwa mbele na bia kwa wingi mkitaka uisilamu wenu pelekeni afrighanistan na somalia. Huku kwetu kent hakuna msikiti hata mmoja labda huko uswahilini barking na west ham.na mkumbuke kwamba hu mwezi ni kwa nyie waisllamu tu sisi wengine tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida.

Kwa hiyo Chadema na waswahili mbalimbali nyie na wazungu tu mnaleta ukaskazini mpaka Uingereza.
 
Tatizo liko wapi kufungua tawi la CHADEMA London wakati wa Ramadhani? Au mnatumiwa na Wanamagamba? Nawaheshimu sana. Mna mambo mengi ya kufanya juu ya ustawi wa dini yenu na nchi kwa ujumla. CCM inawapoteza. Achaneni nao hata kwa hili tu
 
Kama Huna kitu kitu cha kuandika bora ukae kimya kuliko kutukana dini za wenzako pumbavu.
nyie wapemba hamjui kwamba uingeeeza ni nchi ya wakristo na kwamba hawatambui ramadhani?sasa mnamlaumi nini lema? Hapa ni kiti moto kwa mbele na bia kwa wingi mkitaka uisilamu wenu pelekeni afrighanistan na somalia. Huku kwetu kent hakuna msikiti hata mmoja labda huko uswahilini barking na west ham.na mkumbuke kwamba hu mwezi ni kwa nyie waisllamu tu sisi wengine tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida.
 
Aliyeleta huu uzi ni kibaraka mwaminifu wa Magamba.Nimeamini CDM imewashika pabaya.M4C Forever
jibuni hoja acheni viloja,bar na waislam mwezi wa ramadhani wapi na wapi au ni kweli cdm ni chama cha wakristo pekee
 
Kwanza walifanikiwa kutuharibia kwa Serikali ya UK na tukafutiwa Entry Viza, sasa na masuala ya Watanganyika wanataka kutuingilia wakati wao wana nchi yao na hawahitaji Muungano, hao ni wanafki watupu hakuna anayefunga hapo bali wanashinda na njaa tu. Phweeeeeeeeeeeeeew!!

Wamewaharibia nyie kina nani nchi nyingi Tanzania wamewekewa Viza wapemba ndio wamesababisha? Swala la Tanzania kuwekewa Viza Uingereza ni rais wako Mkapa.
 
TandaleOne

Magwanda hawana mpango na Waislaam wala usijihangaishe ni kupoteza muda tu.
 
Last edited by a moderator:
Nangojea kwa hamu 'headline' ya gazeti la Al Nuur. Oh nilisahau, na mjadala wa redio Imani. Yoyote anayepanga na kutekeleza mpango huu wa kutumia dini kwa faida za kisiasa anafanikiwa. Wazanzibari ni lini mliipokea cdm kwa mikono miwili? Je, mlikuwepo kwenye vikao vya maandalizi? Na km hamkuwepo ni kwa nini?
 
..... Yeye na wenzake walioko London wanaolalamika wameshiriki vipi kuijenga Chadema huko waliko? .
Tandale one awe uingereza? Huyu si yule mzanzibari mdini mwenye malaria isiyopona kada mwaminifu wa sera za Jussa? Aishi uingereza kwan umeambiwa huko kuna uhaba wa waendesha mihadhara ya uchochezi?
 
Hadi kufika 2015 kwa watakaokuwa hai, nina uhakika vyama vya siasa vyenye hamu ya kuingia ikulu vitakuwa vimebainika mrengo wake pasipo shaka kabisa. Hata kama tutakuwa biased kwa kila njia, ukweli hauzimwi na uongo hata kidogo. Vyenye mrengo wa kidini na ukabila vitajulikana,vinavyopigania haki sawa bila kujali tofauti vitajulikana. Kimsingi tu wale wanaoamini kura za dini moja zinatosha kuwapa ushindi wakubali matokeo pale itakapokuwa vinginevyo.
 
nimeisoma e-mail yote sikuona alipoandika kwamba, alifanya juhudi gani kuwaona waandaaji kabla ya kumlima e-mail Katibu Mkuu (Taifa) W. Slaa (PhD). Hii inaonyesha hata yeye si mtu wa kufuata utaratibu. Zipo cases nyingi kama hizi ambapo waandaji hukiri kughafirika na kubadili venue au ratiba accordingly. Pia katika e-mail hii kuna taarifa, ombi na hukumu humohumo kitu ambacho kinaweza kuleta tafsiri potofu kwamba mwandishi anajaribu kuleta uchonganishi wa CDM kwa waislam. Contents za hii e-mail ina-reveal wewe ni mtu wa aina gani kiasi kwamba hoja yako ina mashiko kwa juu juu lakini ime-serve purpose yako pia.
Ukii-tune mind set yako kuona difficulties na impossibilities tuu kamwe hutaona possibilities!! Sasa siku nyingine fuata utaratibu...Lema hamtaki kuwasiliana nae (kwa sababu za kipuuzi ulizozitoa...kimbia na UK pia walipohararisha ushoga) na unatambua fika yeye si muandaaji wa huo mkutano bali mgeni rasmi wa kuzindua tawi, vipi kuhusu waandaaji wengine?? Nyamaza kimya ufiche upumbavu wako.
 
Kwa misingi hii chadema hatuiachii nchi, hawana uwezo wa kufahamu na kuelewa hata kidogo!! na logoff
CDM haisubiri kuachiwa wanachukua nchi.

Waislamu huwamnatumiwa au mmeamua kutumika tu. haiwezekani kila wakati ni kulalamika tu, siamini kama ni waislamu wote wenye tabia hii ya kutumika.

Najaribu kufuatilia mienendo ya wa waislamu, huwa nakuta ni rahisi kutumiwa na CCM.

Inatia huruma
 
Hadi kufika 2015 kwa watakaokuwa hai, nina uhakika vyama vya siasa vyenye hamu ya kuingia ikulu vitakuwa vimebainika mrengo wake pasipo shaka kabisa. Hata kama tutakuwa biased kwa kila njia, ukweli hauzimwi na uongo hata kidogo. Vyenye mrengo wa kidini na ukabila vitajulikana,vinavyopigania haki sawa bila kujali tofauti vitajulikana. Kimsingi tu wale wanaoamini kura za dini moja zinatosha kuwapa ushindi wakubali matokeo.

Hii inafanana na kauli mbiu ya chama fulani...
 
nimeisoma e-mail yote sikuona alipoandika kwamba, alifanya juhudi gani kuwaona waandaaji kabla ya kumlima e-mail Katibu Mkuu (Taifa) W. Slaa (PhD). Hii inaonyesha hata yeye si mtu wa kufuata utaratibu. Zipo cases nyingi kama hizi ambapo waandaji hukiri kughafirika na kubadili venue au ratiba accordingly. Pia katika e-mail hii kuna taarifa, ombi na hukumu humohumo kitu ambacho kinaweza kuleta tafsiri potofu kwamba mwandishi anajaribu kuleta uchonganishi wa CDM kwa waislam. Contents za hii e-mail ina-reveal wewe ni mtu wa aina gani kiasi kwamba hoja yako ina mashiko kwa juu juu lakini ime-serve purpose yako pia.
Ukii-tune mind set yako kuona difficulties na impossibilities tuu kamwe hutaona possibilities!! Sasa siku nyingine fuata utaratibu...Lema hamtaki kuwasiliana nae (kwa sababu za kipuuzi ulizozitoa...kimbia na UK pia walipohararisha ushoga) na unatambua fika yeye si muandaaji wa huo mkutano bali mgeni rasmi wa kuzindua tawi, vipi kuhusu waandaaji wengine?? Nyamaza kimya ufiche upumbavu wako.

Mkubwa, sina kitufe cha kukupa5! Nasema tupo pamoja! Hawa jamaa wana uwezo wa kushawishi hadi kununua bar na kuwa msikiti hayo ndio mapenzi yao! Hayo malalamiko yao kwa Dr ni MACHOZI YA MAMBA tu! Hamtutoi kwenye Agenda ya ukombozi ASILANI!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom