nashy
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 679
- 141
Kwa kuwa kasema ni waislamu nilidhani kutakuwa walau na waislamu wawili watatu hata kwa majina
pili Lema amealikwa na si mwandaaji wa shughuli hii, anasema hawezi ongea naye je huu si ubaguzi?
anakisifia CUF ila amesahau vitendo vya ubaguzi anavyofanya Jsa kwa wakristo
Tatu kama barua inaenda Chadema ni kwa nini awacopy watu wasi chadema? wote tunajua Michuzi ni mwanachama wa ccm iweje ampe nakala ya barua hii?
Hivi ukikodi ukumbi katika bar unamaanisha watu walewe pombe? Ni mara ngapi walokole na wasabato wanafanya harusi zao bar bila kuwepo pombe?
Nadhani haya yote yameandaliwa na akina Nape, tena kwa vile wana ufinyu mdogo wa kuelewa wameshindwa kuutengeneza uongo wao vizuri
lakini pia hilo tangazo limewekwa siku nyingi alikua wapi kupeleka malalamiko yake kabla
HUU NI UNAFIKI
pili Lema amealikwa na si mwandaaji wa shughuli hii, anasema hawezi ongea naye je huu si ubaguzi?
anakisifia CUF ila amesahau vitendo vya ubaguzi anavyofanya Jsa kwa wakristo
Tatu kama barua inaenda Chadema ni kwa nini awacopy watu wasi chadema? wote tunajua Michuzi ni mwanachama wa ccm iweje ampe nakala ya barua hii?
Hivi ukikodi ukumbi katika bar unamaanisha watu walewe pombe? Ni mara ngapi walokole na wasabato wanafanya harusi zao bar bila kuwepo pombe?
Nadhani haya yote yameandaliwa na akina Nape, tena kwa vile wana ufinyu mdogo wa kuelewa wameshindwa kuutengeneza uongo wao vizuri
lakini pia hilo tangazo limewekwa siku nyingi alikua wapi kupeleka malalamiko yake kabla
HUU NI UNAFIKI