Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
Ndugu wapendwa ,...mmmh haka kakidudu cha ufisadi naona akaishi kabisa...sasa dawa yake naona si maneno tuamue kufanya na vitendo...hivi karibuni afisa mmoja wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa tanzania BW TESHA....,alifanya vituko vya ajabu...kwa wale wanaoujua uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere..ukiwa unaingia kuna open space iko upande wa kulia...hiyo sehemu ilitangazwa wanaongeza uwanja kwa ajili ya parking...gafla wakaambiana chinichini kuna sehemu imebaki tunwezatengeneza hotel...ikatangazwa wazi....mtanzania mmoja akaenda kuomba wakiwepo baadhi ya watu...gafla ile tenda ikawa dili.....,yule ofisa akatangaza wamesitisha hawana mpango wa kujenga tena ile sehemu....
Baada ya muda kama mmefika karibuni kuna ujenzi ulikuwa unakamalika ..kabla ya mmoja wa waliomba tenda akaambiwa wamesitisha mpaka alipoingia hivi karibuni na kukuta ujenzi unamalizika ...walipoulizia akaambiwa amepewa yule yule muhindi wa flamingo...ambae ndie huyo amepewa lounge.amepewa supermarket..amepewa dutyfree shop.......amebakiza kupewa uwanja wa kutulia ndege......
Ndugu watanzania inafika wakati lazima tuwathamini watanzania wenzettu...kwamba wanauwezo wa kufanya chochote...alipokuwa akiulizia aliambiwa amepewa kwa sababu wanaitaji mtu anaeweza kuitengeneza ikaonekana ati sehemu ya kimataifa...tobaaa ilala,,,,mi nafikir kuna umuhimu mkubwa wa kuwachunguza sana hawa mabwana ambao wako TAA miaka na miaka...BWA MSANGI NA BWANA TESHA....HAPO HIYO COMBINATION YA MCHAGA NA MPARE...INATUREJESHA KWENYE UTUMWA KABISA...WANA DHARAU SANA ...HATA IKITOKEA UKIPINGANA NA HUYO MUHINDI AKIKUFIKISHA KWAO UMEKWISHA BILA HATA YA KUJIELEZA....
UFISADI UTAISHA LINI JAMANI???????????????
Baada ya muda kama mmefika karibuni kuna ujenzi ulikuwa unakamalika ..kabla ya mmoja wa waliomba tenda akaambiwa wamesitisha mpaka alipoingia hivi karibuni na kukuta ujenzi unamalizika ...walipoulizia akaambiwa amepewa yule yule muhindi wa flamingo...ambae ndie huyo amepewa lounge.amepewa supermarket..amepewa dutyfree shop.......amebakiza kupewa uwanja wa kutulia ndege......
Ndugu watanzania inafika wakati lazima tuwathamini watanzania wenzettu...kwamba wanauwezo wa kufanya chochote...alipokuwa akiulizia aliambiwa amepewa kwa sababu wanaitaji mtu anaeweza kuitengeneza ikaonekana ati sehemu ya kimataifa...tobaaa ilala,,,,mi nafikir kuna umuhimu mkubwa wa kuwachunguza sana hawa mabwana ambao wako TAA miaka na miaka...BWA MSANGI NA BWANA TESHA....HAPO HIYO COMBINATION YA MCHAGA NA MPARE...INATUREJESHA KWENYE UTUMWA KABISA...WANA DHARAU SANA ...HATA IKITOKEA UKIPINGANA NA HUYO MUHINDI AKIKUFIKISHA KWAO UMEKWISHA BILA HATA YA KUJIELEZA....
UFISADI UTAISHA LINI JAMANI???????????????