Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,687
- 5,035
Ouch! It sounds more and more like this here: http://www.youtube.com/watch?v=YqXDCoQHb-k
Rubber Band Man + Banana Eating Jungle Monkey + Mariah Carey =
Ouch! It sounds more and more like this here: http://www.youtube.com/watch?v=YqXDCoQHb-k
walipoulizia akaambiwa amepewa yule yule muhindi wa flamingo...ambae ndie huyo amepewa lounge.amepewa supermarket..amepewa dutyfree shop.......amebakiza kupewa uwanja wa kutulia ndege......
BWA MSANGI NA BWANA TESHA....HAPO HIYO COMBINATION YA MCHAGA NA MPARE...INATUREJESHA KWENYE UTUMWA KABISA...WANA DHARAU SANA ...HATA IKITOKEA UKIPINGANA NA HUYO MUHINDI AKIKUFIKISHA KWAO UMEKWISHA BILA HATA YA KUJIELEZA....
UFISADI UTAISHA LINI JAMANI??????????????
Bado hujaonyesha ni wapi kalaumiwa Mhindi, zaidi ya Tesha, mtoa tenda.
Tunarudi pale pale. Lawama (?) zote za waswahili kukosa maduka pale airport zinaelekezwa kwa wahindi. Hakuna mtu anayezungumzia qualifications zao au uwezo wao. Tatizo letu ni mhindi kuwepo pale. Hivyo hivyo kwa hao wagogo. Tukitumia mfano huo huo wa airport, matatizo ya wagogo kuomba omba ni mpemba kuendesha taksi. Asingekuwa mpemba amehodhi taksi, wagogo wasingeomba omba na wangeendesha taksi. Vile vile, ili weusi wapate maduka airport ni lazima wahindi wanyang'anywe na wazuiwe kupata. Nilisema toka awali kama mtoa hoja angesema huyo aliyepewa maduka yote hayo alicheza faulu bila kuingiza uhindi ningemuunga mkono. Hata ukatae vipi, mada imeletwa kibaguzi na hata waliounga mkono wameunga kibaguzi. Mbaya zaidi hamjatofautisha kati ya mhindi raia na mhindi mgeni! Kutokana na kichwa cha habari, hamna mhindi mtanzania. Sasa nani ni muongo wa kiakili?Intellectual dishonesty! Kwa maneno mengine, umejifanya hujui jibu la hilo swali: ambalo ni, tujaribu kuangalia, kwa mfano, ni kwa nini Wagogo hawana vitega uchumi wamegeuka omba omba. Ni mashule yamepungua kwao, au viongozi wao wabovu, au ni msisitizo mdogo wa elimu, au ni jadi tu? Haya yanaweza kuponywa bila kumnyang'anya Mpemba taxi. Kitu ambacho sikusema, na unajua siwezi kusema. Niiteje intellectual dishonesty yako kwa kiswahili, uongo wa kiakili?
Kwa kifupi, unataka kutuambia kuwa ndani ya hayo makabila, rangi na dini hamna matabaka? Wahindi wote ni matajiri na wagogo wote ni ombaomba? Sisi matatizo yetu yanatokana na haya matabaka na si rangi. Hayo maskandali yote ni watu wa rangi tofauti na kabila tofauti ndiyo walioshirikiana kukwapua. Hao matajiri wetu wakina Mengi, Mkono n.k. washirika wao wakubwa ni wahindi matajiri wenzao na si wakina Fundi Mchundo. Mnapoingiza rangi ndipo mnapokosea. Na ndivyo waovu weusi wenzetu wanavyotuchezea kwa kujifanya ati wako nasi wakati sivyo. Umechanganya kwa kuleta mfano wa mapambano ya kitabaka katika mada inayohusu mapambano ya rangi. Hapo airport, lawama si bepari mmoja kuhodhi kila kitu. Ingekuwa hivyo, mfano wako ungekuwa na mantik. Kwa bahati mbaya lawama ni kwa nini mtu wa rangi fulani amepewa kila kitu? Angepewa mweusi pasingekuwa na lawama.Mifano yangu yote haikuongelea rangi. Nilisema tabaka la makabila fulani kuwa watwana wa tabaka la makabila mengine: walinzi wamasai, omba omba wagogo, housegirl wahehe. Hayo yote ni aina za tofauti za hali za maisha zinazojenga matabaka, kama ambavyo Wahindi walikuwa tabaka la kati wakati wa ukoloni. Wana rangi ya kihindi, lakini wamefanyika tabaka. Rangi, makabila, dini, hujenga matabaka. Wafaransa hawakuwa na makabila, wana dini tofauti, wala rangi tofauti. Matabaka yao yalitokana na ubujuazii. Sisi matabaka yetu yatatokana na dini, kabila, rangi. Lakini bado, kama Ufaransa, bado ni matabaka. Haya, niambie nimechanganya wapi?
Nasita kusema lakini, ashakhum si matusi, naona unaleta ubishi usio na maana. Kichwa kimemtaja mhindi. Kwenye text yenyewe ametajwa mhindi lakini bado unataka nikuonyeshe wapi ametajwa Mhindi! Kama wewe unaona tatizo si uhindi basi usitake kubadilisha aliyosema mwenzako.Hapa napo unakosea au unakosesha kusudi. Hakuna aliyesema tatizo ni rangi. Tatizo ni kundi moja kumilikishwa nyanja za uchumi, imetokea tu kwamba kundi lenyewe ni la Wahindi. Again, nionyeshe paliposemwa tatizo ni Mhindi kwenye lead post ya Pdidy.
Sasa kama tatizo ni mtu yeyote kuhodhi maduka, kwa nini unatetea Mhindi kuhodhi maduka?
Mnapunguza nguvu za hoja yenu kwa kuingiza ubaguzi. Kama tatizo ni mtu kunyang'anywa haki yake, tuko pamoja. Hata kama aliyemnyang'anya ni mdogo wake wa kuzaliwa baba na mama. Kama tatizo ni huyo unayemuita mhindi kufanya biashara kwenye uwanja huo wa ndege, basi huko siko. Naona wengine wameishawaingiza wapare na wachaga katika rada yao! Mtakuja kumalizana mkiendekeza upuuzi huu!
Unapotosha niliyosema. Wapi nimetetea Mhindi au mtu yeyote kuhodhi maduka? Nimesema toka awali kama huyo aliyehodhi, bila kujali rangi au kabila lake, alifanya hivyo kinyume cha utaratibu, achukuliwe hatua. Ninachokataa ni yeye kuhukumiwa kwa sababu tu ni Mhindi.Ndiyo maana nimesema kama tatizo lenu kubwa ni Mhindi kufanya biashara pale ( na si suala la kuhodhi) basi huko simo. Labda niiweke wazi zaidi. Kama kuna mtu anahodhi maduka nje ya utaratibu uliowekwa basi achukuliwe hatua bila kujali rangi yake. Lakini kama mtu huyo amepata hizo sehemu kihalali aachiwe aendelee na biashara yake bila kujali rangi yake.Huyu mtu ni nani anaemiliki biashara zote hizo? Tatizo ni kuwa ni mhindi au mtu mmoja kumiliki biashara hizo? Hivi angekuwa mweusi mwenzetu ndiye anaemiliki biashara hizo zote tungekubali kwa vile tuu ni mwenzetu? Na kama biashara hizo zinamilikiwa na watu tofauti lakini wana rangi moja tatizo liko wapi kama wamefuata utaratibu? Tunasahau hao tunaowaita wahindi nao wanamakabila kama sisi. Kama kila mmoja wao kivyake vyake aliingia na kushinda tenda kwa nini tunamlaumu? Au mna ushahidi kuwa alihonga au hakufuata utaratibu. Kama mnao, uwekeni wazi achukuliwe hatua kama mhalifu yeyote mwingine lakini si kwa sababu ati ni mhindi!
Dilunga, mbona unakamata chelewa? Kutokana na scenario yako ni weusi ( ambao unadai wanakandamizwa na wahindi) watakaowashambulia wahindi na si vice versa. Haitakuwa kuchinjana, bali weusi kuchinja wahindi. Sasa huyo Dewji atatoka na bunduki yake kwenda kuwatafuta weusi alipize kisasi? Wahindi wote hawafiki milioni moja, huo ubavu utatoka wapi?Kwa hiyo Wahindi na Wazawa Asilia wakianza kuchinjana wewe utapona kwa vile wewe ulikuwa unatetea wahindi. Yani Dewji na bunduki vitani kwenye mshike mshike atasimama atakuuliza "wewe nyeusi Fundi Chundo iko pande gani?" Utamwambia "nilikuwa nakuteteeni kabla ya vita" halafu atakuacha? You kidding me.
Kama katika nafasi hiyo hakuna mwenye sifa bali mhindi basi heri hiyo nafasi ibaki tupu au apewe mweusi asie na sifa ( kama walivyofanya New Haven, Conn. kwenye kupandishwa vyeo zima moto.).
Ndio, mwanzoni ulitoa maelezo potofu, na context ikawa potofu. Hakuna mweusi aliyepandishwa cheo.
Metaphor maana yake nini? Sijaomba kupigiwa makofi lakini vile vile sikubali kuwekewa maneno mdomoni. Hiyo 'factiual shortcoming' iko wapi? Kuwa mtihani haukuwa wa kupandishwa vyeo? Au kuwa nafasi za vyeo hivyo hazikujazwa? Zikabaki wazi. Ndiyo maana nimesema, angekuwa Kuhani angesoma vizuri nilichoandika na si kuona 'apewe mweusi' na sio 'ibaki tupu'.Cookie jar ni metaphor tu. I should know you better what, kwamba huwezi kukosea katika kuelezea mkasa wa Zimamoto wa New Heaven? FMESian narration ni maelezo yenye factual shortcomings, kama ulivyoelezea kisa cha CT mwanzoni, nilitegemea ungeelewa. Huyo ambaye asingeweza kufanya kosa la kukukosoa labda hajui kwamba yeyote aweza kukosea. Na pia, the vintage Fundi Mchundo asingetaka kupigiwa pigiwa makofi tu kwa kila anachosema.
Sasa unataka niseme 'tutachinjana' wakati sina mpango wa kumchinja mtu? Na tangu lini uzalendo unapimwa na utayari wa mtu kumchinja mwenzake? Kama huo ndio uzalendo wenu, basi mkae nao. Sina haja nao. Hata chembe.Kweli. Mfano wa wahindi kujazana kwenye ku pump gas una angle ya discrimination ya Kimarekani-Marekani na ni wrong context kwa Tanzania ambapo nguvu ya kisiasa tunayo weusi. Nilikosea. Ila usitetee wanaohodhi maduka kwa vile tu ni wahindi. Na usituambie "mtamalizana... mtachinjana," kuwa na chembe ya uzalendo.
Rubber Band Man + Banana Eating Jungle Monkey + Mariah Carey =
Hivi ndivyo alivyosema mleta mada. Kichwa cha habari unakikataa. Na hii nayo utakataa?
Tesha analaumiwa kwa kumpa mhindi. Kosa lake linaonekana ni kumpa Mhindi na sio kufanya upendeleo! Maana yake ni kuwa hatutaki Mhindi apewe. Au ndiyo unataka kuchambua unywele? Unataka tuanze kushindana kwenye semantics!
Tunarudi pale pale. Lawama (?) zote za waswahili kukosa maduka pale airport zinaelekezwa kwa wahindi. Hakuna mtu anayezungumzia qualifications zao au uwezo wao. Tatizo letu ni mhindi kuwepo pale. Hivyo hivyo kwa hao wagogo. Tukitumia mfano huo huo wa airport, matatizo ya wagogo kuomba omba ni mpemba kuendesha taksi. Asingekuwa mpemba amehodhi taksi, wagogo wasingeomba omba na wangeendesha taksi. Vile vile, ili weusi wapate maduka airport ni lazima wahindi wanyang'anywe na wazuiwe kupata. Nilisema toka awali kama mtoa hoja angesema huyo aliyepewa maduka yote hayo alicheza faulu bila kuingiza uhindi ningemuunga mkono. Hata ukatae vipi, mada imeletwa kibaguzi na hata waliounga mkono wameunga kibaguzi. Mbaya zaidi hamjatofautisha kati ya mhindi raia na mhindi mgeni! Kutokana na kichwa cha habari, hamna mhindi mtanzania. Sasa nani ni muongo wa kiakili?
Kwa kifupi, unataka kutuambia kuwa ndani ya hayo makabila, rangi na dini hamna matabaka? Wahindi wote ni matajiri na wagogo wote ni ombaomba? Sisi matatizo yetu yanatokana na haya matabaka na si rangi. Hayo maskandali yote ni watu wa rangi tofauti na kabila tofauti ndiyo walioshirikiana kukwapua. Hao matajiri wetu wakina Mengi, Mkono n.k. washirika wao wakubwa ni wahindi matajiri wenzao na si wakina Fundi Mchundo. Mnapoingiza rangi ndipo mnapokosea. Na ndivyo waovu weusi wenzetu wanavyotuchezea kwa kujifanya ati wako nasi wakati sivyo. Umechanganya kwa kuleta mfano wa mapambano ya kitabaka katika mada inayohusu mapambano ya rangi. Hapo airport, lawama si bepari mmoja kuhodhi kila kitu. Ingekuwa hivyo, mfano wako ungekuwa na mantik. Kwa bahati mbaya lawama ni kwa nini mtu wa rangi fulani amepewa kila kitu? Angepewa mweusi pasingekuwa na lawama.
Nasita kusema lakini, ashakhum si matusi, naona unaleta ubishi usio na maana. Kichwa kimemtaja mhindi. Kwenye text yenyewe ametajwa mhindi lakini bado unataka nikuonyeshe wapi ametajwa Mhindi! Kama wewe unaona tatizo si uhindi basi usitake kubadilisha aliyosema mwenzako.
Unapotosha niliyosema. Wapi nimetetea Mhindi au mtu yeyote kuhodhi maduka? Nimesema toka awali kama huyo aliyehodhi, bila kujali rangi au kabila lake, alifanya hivyo kinyume cha utaratibu, achukuliwe hatua. Ninachokataa ni yeye kuhukumiwa kwa sababu tu ni Mhindi.Ndiyo maana nimesema kama tatizo lenu kubwa ni Mhindi kufanya biashara pale ( na si suala la kuhodhi) basi huko simo. Labda niiweke wazi zaidi. Kama kuna mtu anahodhi maduka nje ya utaratibu uliowekwa basi achukuliwe hatua bila kujali rangi yake. Lakini kama mtu huyo amepata hizo sehemu kihalali aachiwe aendelee na biashara yake bila kujali rangi yake.
Dilunga, mbona unakamata chelewa? Kutokana na scenario yako ni weusi ( ambao unadai wanakandamizwa na wahindi) watakaowashambulia wahindi na si vice versa. Haitakuwa kuchinjana, bali weusi kuchinja wahindi. Sasa huyo Dewji atatoka na bunduki yake kwenda kuwatafuta weusi alipize kisasi? Wahindi wote hawafiki milioni moja, huo ubavu utatoka wapi?
Wapi niliposema mweusi amepandishwa cheo? Mtihani ulikuwa wa kupandishwa cheo na nimesema nafasi ibaki tupu au apewe mweusi asiye na sifa. New Haven waliamua kuacha nafasi tupu bila kupandisha mtu cheo. Sasa wapi nilipokosea?
Metaphor maana yake nini? Sijaomba kupigiwa makofi lakini vile vile sikubali kuwekewa maneno mdomoni. Hiyo 'factiual shortcoming' iko wapi? Kuwa mtihani haukuwa wa kupandishwa vyeo? Au kuwa nafasi za vyeo hivyo hazikujazwa? Zikabaki wazi. Ndiyo maana nimesema, angekuwa Kuhani angesoma vizuri nilichoandika na si kuona 'apewe mweusi' na sio 'ibaki tupu'.
Tutamkumbuka sana Kuhani.
Sasa unataka niseme 'tutachinjana' wakati sina mpango wa kumchinja mtu? Na tangu lini uzalendo unapimwa na utayari wa mtu kumchinja mwenzake? Kama huo ndio uzalendo wenu, basi mkae nao. Sina haja nao. Hata chembe.
Amandla.......
Mkuu Fundi Mchundo kwa takwimu za kukisia Tanzania ina watu karibu milioni arobaini (40,000,000). Kwa takwimu hizo hizo wanaoitwa Wahindi ni karibu watu laki mbili (200,000) tu sawa na asilimia 0.5%. Kwa hesabu za haraka haraka ni kwamba katika kila watu mia mbili (200) yuko mhindi moja tu. Kwa hesabu nyingine katika bunge letu na kwa uwiano ule ule tungekuwa na mbunge mhindi moja tu - lakini tunao zaidi.
Sasa kwa uwiano huo huo unategemea tuwe na wahindi wangapi serikalini kama lengo ni kutoa fursa sawa kwa watanzania wote. Halafu hapa si swala la ubaguzi, ukweli ni kuwa Wahindi hawapo serikalini kwa mapenzi yao wenyewe na kutoa mfano kwa kuangalia hali hiyo ni kutumia njia potofu. Kwa Mhindi moja kupewa tenda zote hizo ni sawa na kuwanyima fursa watanzania wengine lukuki - anayefanya hivyo ndio ama mbaguzi au mla rushwa.
Kwa Mhindi moja kupewa tenda zote hizo ni sawa na kuwanyima fursa watanzania wengine lukuki - anayefanya hivyo ndio ama mbaguzi au mla rushwa.
Mkuu Fundi Mchundo kwa takwimu za kukisia Tanzania ina watu karibu milioni arobaini (40,000,000). Kwa takwimu hizo hizo wanaoitwa Wahindi ni karibu watu laki mbili (200,000) tu sawa na asilimia 0.5%. Kwa hesabu za haraka haraka ni kwamba katika kila watu mia mbili (200) yuko mhindi moja tu. Kwa hesabu nyingine katika bunge letu na kwa uwiano ule ule tungekuwa na mbunge mhindi moja tu - lakini tunao zaidi.
Sasa kwa uwiano huo huo unategemea tuwe na wahindi wangapi serikalini kama lengo ni kutoa fursa sawa kwa watanzania wote. Halafu hapa si swala la ubaguzi, ukweli ni kuwa Wahindi hawapo serikalini kwa mapenzi yao wenyewe na kutoa mfano kwa kuangalia hali hiyo ni kutumia njia potofu. Kwa Mhindi moja kupewa tenda zote hizo ni sawa na kuwanyima fursa watanzania wengine lukuki - anayefanya hivyo ndio ama mbaguzi au mla rushwa.
Unaposema kupewa mhindi tenda zote hapo ni ishara ya ubaguzi una maana gani? Ni yeye au aliyempa ndiye anastahili kuitwa mbaguzi? Na kwa vile aliyempa ni mweusi mwenzetu, tutamuitaje mbaguzi akimpa tenda mhindi? Kama amekula rushwa basi si lazima awe mbaguzi. Rushwa haina rangi.
Amandla........
Wahindi hawa ninaowaongelea wengi wao wana uraia wa zaidi ya nchi moja. Hata wale wanaozaliwa Tanzania baadaye hutafuta uraia nje ya nchi - subirini tu siku machafuko yakipiga hodi Bongo, wahindi wote haoooo !
Vipi hakuna Watanzania weusi/waafrika wenye uraia zaidi ya nchi moja? Au yakitokea machafuko hawa watabakia?
Hivi ndivyo alivyosema mleta mada. Kichwa cha habari unakikataa. Na hii nayo utakataa?
Linaonekana na nani? Wewe ndio unaona kosa ni la Mhindi. Una project trepidation zako na oversensitivity zako kwa Wahindi kwa wengine. Unatafsiri kivyako kwamba kosa ni la Mhiondi. Onyesha paliposemwa kosa ni la Mhindi!Tesha analaumiwa kwa kumpa mhindi. Kosa lake linaonekana ni kumpa Mhindi...
Kwa hiyo wewe unataka useme weeeee, lakini mwingine akisema unalia "mashindano ya semantics"! Onyesha paliposemwa kwamba Mhindi ndio tatizo.Unataka tuanze kushindana kwenye semantics!
La qualification limejadiliwa, unataka kupotosha sasa. Pdidy amesema kina Msangi na Tesha walidai mhindi ana qualification za kutengeza biashara ya kimataifa kuliko waswahili. Na Pdidy akapinga hilo, akisema hata sisi Wazawa Asili tunaweza. Usidai hapa kwamba "hakuna anaezungumzia qualifications," please.Hakuna mtu anayezungumzia qualifications zao au uwezo wao. Tatizo letu ni mhindi kuwepo pale.
Hii imetunga. Hakuna iliposemwa kwamba tatizo la omba omba ni wapemba. Ndio hapo nilipokwambia una commit intellectual dishonesty. Acha.Tukitumia mfano huo huo wa airport, matatizo ya wagogo kuomba omba ni mpemba kuendesha taksi. Asingekuwa mpemba amehodhi taksi, wagogo wasingeomba omba na wangeendesha taksi. Vile vile, ili weusi wapate maduka airport ni lazima wahindi wanyang'anywe na wazuiwe kupata.
Mtoa hoja katoa identity ya beneficiary wa hii faulu, who happens to be Mhindi wa Flamingo. Sasa angesemaje, Mnyasa? Hata kwenye nchi zinazopigana ubaguzi wanasema kwenye taarifa za habari, the robbery suspect is a black male, of short stature, wearing dreadlocks. Sasa weusi, wafupi, na wafuga rasta walalamike ubaguzi maana polisi wametaja rangi na maumbile? Mnufaikaji wa ufisadi wa airport ni Mhindi, sio Mzigua, Mhindi!Nilisema toka awali kama mtoa hoja angesema huyo aliyepewa maduka yote hayo alicheza faulu bila kuingiza uhindi ningemuunga mkono.
Sasa unataka kunitwisha mzigo wa waliounga mkono hoja kibaguzi? Duuu... Lead post imelaani ufisadi wa Tesha na Msangi. Wahindi umeanza kuwatetea wewe!Hata ukatae vipi, mada imeletwa kibaguzi na hata waliounga mkono wameunga kibaguzi.
Hiyo umetengeza wewe, hakuna paliposemwa Mhindi wa Flamingo sio Mtanzania!Mbaya zaidi hamjatofautisha kati ya mhindi raia na mhindi mgeni! Kutokana na kichwa cha habari, hamna mhindi mtanzania. Sasa nani ni muongo wa kiakili?
Unapokuwa na wagogo na wamachinga na wahehe ndio wafanyakazi wa wapare na wachaga na wahindi, umeshatengeza matabaka. Kuna ukabila ambao umejenga matabaka. Sijui usichoelewa ni nini. Usifurahi kuona Wahindi tu ndio wamehodhi maduka. Hayo matabaka sio mazuri kwa mustakabali wetu.Kwa kifupi, unataka kutuambia kuwa ndani ya hayo makabila, rangi na dini hamna matabaka? Wahindi wote ni matajiri na wagogo wote ni ombaomba? Sisi matatizo yetu yanatokana na haya matabaka na si rangi. Hayo maskandali yote ni watu wa rangi tofauti na kabila tofauti ndiyo walioshirikiana kukwapua. Hao matajiri wetu wakina Mengi, Mkono n.k. washirika wao wakubwa ni wahindi matajiri wenzao na si wakina Fundi Mchundo. Mnapoingiza rangi ndipo mnapokosea. Na ndivyo waovu weusi wenzetu wanavyotuchezea kwa kujifanya ati wako nasi wakati sivyo. Umechanganya kwa kuleta mfano wa mapambano ya kitabaka katika mada inayohusu mapambano ya rangi.
Okay, ashakhum si matusi, ashakhum ni nini?Nasita kusema lakini, ashakhum si matusi
right, wewe ubishe siku nzima, mwingine akisema kitu, "ubishi usio na maana...semantics"naona unaleta ubishi usio na maana.
Unaona unavyojua kutunga vitu. Wapi nimesema nionyeshe alipotajwa Mhindi. Nimesema, nionyeshe paliposemwa tatizo ni Mhindi, kama sio Tesha na Msangi.Kichwa kimemtaja mhindi. Kwenye text yenyewe ametajwa mhindi lakini bado unataka nikuonyeshe wapi ametajwa Mhindi!
Aliyosema mwenzangu yepi? Onyesha paliposemwa tatizo ni Mhindi!Kama wewe unaona tatizo si uhindi basi usitake kubadilisha aliyosema mwenzako.
Umesema hupendi yeyote ahodhi maduka. Sisi tunapinga na kulaani Mhindi kuhodhi maduka. Wewe unawaka kutupinga. Sasa, hasa hasa unachosimamia wewe ni nini?Unapotosha niliyosema. Wapi nimetetea Mhindi au mtu yeyote kuhodhi maduka?
Unarudia kosa lile lile. Utatoaje mishutuma based on "kama tatizo lenu ni..." Kama? Huna hakika? Tatizo ni mtu kuhodhi maduka, which happens to be Mhindi. Kusikia Mhindi una bend over backwards kumtetea wakati wengine tunalaani wanavyohodhishwa maduka. Hebu acha kusujudia tabaka hodhi.Ndiyo maana nimesema kama tatizo lenu kubwa ni Mhindi kufanya biashara pale ( na si suala la kuhodhi) basi huko simo.
Duuh, leo bluu, nyekundu, nyeusi... nimeshawahi kuona unampiga mtu dongo kwa kosa la kutumia marangi mengi kujenga hoja. Naona umetumia tactic hiyo hiyo, japo bado hueleweki.Labda niiweke wazi zaidi. Kama kuna mtu anahodhi maduka nje ya utaratibu uliowekwa basi achukuliwe hatua bila kujali rangi yake. Lakini kama mtu huyo amepata hizo sehemu kihalali aachiwe aendelee na biashara yake bila kujali rangi yake.
Kukamata chelewa maana yake nini? Lugha gani hiyo unaongea hapo? Hata hueleweki yani.Dilunga, mbona unakamata chelewa?
Ukiwa outnumbered na maadui basi hawawezi kukupiga? duu, hiki sasa kituko! Wamarekani wangapi walienda kumtuliza Sadam na jeshi lake la nne kwa ukubwa duniani? Zikitokea zogo za kimatabaka kati ya Wazawa Asili na Wahindi basi itakuwa ni mshike mshike usiotabirika, na hata wewe unaweza kukumbwa, unless hutakuwepo nchini. Usituambie "mtachinjana...mtamalizana."Kutokana na scenario yako ni weusi ( ambao unadai wanakandamizwa na wahindi) watakaowashambulia wahindi na si vice versa. Haitakuwa kuchinjana, bali weusi kuchinja wahindi. Sasa huyo Dewji atatoka na bunduki yake kwenda kuwatafuta weusi alipize kisasi? Wahindi wote hawafiki milioni moja, huo ubavu utatoka wapi?
Metaphor ni figure of speech; hands in the cookie jar nilimaanisha umekamatwa makosani, ulitoa hadithi za zimamoto iliyokuwa factually wanting. Ulidai: "Kama katika nafasi hiyo hakuna mwenye sifa bali mhindi basi heri hiyo nafasi ibaki tupu au apewe mweusi asie na sifa ( kama walivyofanya New Haven, Conn. kwenye kupandishwa vyeo zima moto.)." Again, hakuna mweusi asiye na sifa aliyepewa nafasi New Haven, ulitoa hadithi yenye self-entitled facts.Wapi niliposema mweusi amepandishwa cheo? ...Metaphor maana yake nini? ...sikubali kuwekewa maneno mdomoni. Hiyo 'factiual shortcoming' iko wapi?
Sielewi relevance ya huyo unae m-miss kwenye huu mjadala.... Ndiyo maana nimesema, angekuwa Kuhani ...Tutamkumbuka sana Kuhani.
Uzalendo ni kujali ya nchi yako bila kujitoa katika matatizo yake kwe kutumia lugha kama za "mtachinjana...mtamaliza." Khaa! Sasa wewe kama hutachinjwa, hii pilipili basi ya shamba. Isikuwashe, hutakuwepo nyumbani.Sasa unataka niseme 'tutachinjana' wakati sina mpango wa kumchinja mtu? Na tangu lini uzalendo unapimwa na utayari wa mtu kumchinja mwenzake? Kama huo ndio uzalendo wenu, basi mkae nao. Sina haja nao. Hata chembe.
Kwa hiyo wewe unataka useme weeeee, lakini mwingine akisema unalia "mashindano ya semantics"! Onyesha paliposemwa kwamba Mhindi ndio tatizo.
Ndugu wapendwa ,...mmmh haka kakidudu cha ufisadi naona akaishi kabisa...sasa dawa yake naona si maneno tuamue kufanya na vitendo...hivi karibuni afisa mmoja wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa tanzania BW TESHA....,alifanya vituko vya ajabu...kwa wale wanaoujua uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere..ukiwa unaingia kuna open space iko upande wa kulia...hiyo sehemu ilitangazwa wanaongeza uwanja kwa ajili ya parking...gafla wakaambiana chinichini kuna sehemu imebaki tunwezatengeneza hotel...ikatangazwa wazi....mtanzania mmoja akaenda kuomba wakiwepo baadhi ya watu...gafla ile tenda ikawa dili.....,yule ofisa akatangaza wamesitisha hawana mpango wa kujenga tena ile sehemu....
Baada ya muda kama mmefika karibuni kuna ujenzi ulikuwa unakamalika ..kabla ya mmoja wa waliomba tenda akaambiwa wamesitisha mpaka alipoingia hivi karibuni na kukuta ujenzi unamalizika ...walipoulizia akaambiwa amepewa yule yule muhindi wa flamingo...ambae ndie huyo amepewa lounge.amepewa supermarket..amepewa dutyfree shop.......amebakiza kupewa uwanja wa kutulia ndege......
Ndugu watanzania inafika wakati lazima tuwathamini watanzania wenzettu...kwamba wanauwezo wa kufanya chochote...alipokuwa akiulizia aliambiwa amepewa kwa sababu wanaitaji mtu anaeweza kuitengeneza ikaonekana ati sehemu ya kimataifa...tobaaa ilala,,,,mi nafikir kuna umuhimu mkubwa wa kuwachunguza sana hawa mabwana ambao wako TAA miaka na miaka...BWA MSANGI NA BWANA TESHA....HAPO HIYO COMBINATION YA MCHAGA NA MPARE...INATUREJESHA KWENYE UTUMWA KABISA...WANA DHARAU SANA ...HATA IKITOKEA UKIPINGANA NA HUYO MUHINDI AKIKUFIKISHA KWAO UMEKWISHA BILA HATA YA KUJIELEZA....
UFISADI UTAISHA LINI JAMANI???????????????
La qualification limejadiliwa, unataka kupotosha sasa. Pdidy amesema kina Msangi na Tesha walidai mhindi ana qualification za kutengeza biashara ya kimataifa kuliko waswahili. Na Pdidy akapinga hilo, akisema hata sisi Wazawa Asili tunaweza. Usidai hapa kwamba "hakuna anaezungumzia qualifications," please.
Mtoa hoja katoa identity ya beneficiary wa hii faulu, who happens to be Mhindi wa Flamingo. Sasa angesemaje, Mnyasa? Hata kwenye nchi zinazopigana ubaguzi wanasema kwenye taarifa za habari, the robbery suspect is a black male, of short stature, wearing dreadlocks. Sasa weusi, wafupi, na wafuga rasta walalamike ubaguzi maana polisi wametaja rangi na maumbile? Mnufaikaji wa ufisadi wa airport ni Mhindi, sio Mzigua, Mhindi!
Sasa unataka kunitwisha mzigo wa waliounga mkono hoja kibaguzi? Duuu... Lead post imelaani ufisadi wa Tesha na Msangi. Wahindi umeanza kuwatetea wewe!
Hiyo umetengeza wewe, hakuna paliposemwa Mhindi wa Flamingo sio Mtanzania!
Unapokuwa na wagogo na wamachinga na wahehe ndio wafanyakazi wa wapare na wachaga na wahindi, umeshatengeza matabaka. Kuna ukabila ambao umejenga matabaka. Sijui usichoelewa ni nini. Usifurahi kuona Wahindi tu ndio wamehodhi maduka. Hayo matabaka sio mazuri kwa mustakabali wetu.
Unaona unavyojua kutunga vitu. Wapi nimesema nionyeshe alipotajwa Mhindi. Nimesema, nionyeshe paliposemwa tatizo ni Mhindi, kama sio Tesha na Msangi.
Umesema hupendi yeyote ahodhi maduka. Sisi tunapinga na kulaani Mhindi kuhodhi maduka. Wewe unawaka kutupinga. Sasa, hasa hasa unachosimamia wewe ni nini?
Kukamata chelewa maana yake nini? Lugha gani hiyo unaongea hapo? Hata hueleweki yani.
Unarudia kosa lile lile. Utatoaje mishutuma based on "kama tatizo lenu ni..." Kama? Huna hakika? Tatizo ni mtu kuhodhi maduka, which happens to be Mhindi. Kusikia Mhindi una bend over backwards kumtetea wakati wengine tunalaani wanavyohodhishwa maduka. Hebu acha kusujudia tabaka hodhi.
Ukiwa outnumbered na maadui basi hawawezi kukupiga? duu, hiki sasa kituko! Wamarekani wangapi walienda kumtuliza Sadam na jeshi lake la nne kwa ukubwa duniani? Zikitokea zogo za kimatabaka kati ya Wazawa Asili na Wahindi basi itakuwa ni mshike mshike usiotabirika, na hata wewe unaweza kukumbwa, unless hutakuwepo nchini. Usituambie "mtachinjana...mtamalizana."
Metaphor ni figure of speech; hands in the cookie jar nilimaanisha umekamatwa makosani, ulitoa hadithi za zimamoto iliyokuwa factually wanting. Ulidai: "Kama katika nafasi hiyo hakuna mwenye sifa bali mhindi basi heri hiyo nafasi ibaki tupu au apewe mweusi asie na sifa ( kama walivyofanya New Haven, Conn. kwenye kupandishwa vyeo zima moto.)." Again, hakuna mweusi asiye na sifa aliyepewa nafasi New Haven, ulitoa hadithi yenye self-entitled facts.
Sielewi relevance ya huyo unae m-miss kwenye huu mjadala.
Uzalendo ni kujali ya nchi yako bila kujitoa katika matatizo yake kwe kutumia lugha kama za "mtachinjana...mtamaliza." Khaa! Sasa wewe kama hutachinjwa, hii pilipili basi ya shamba. Isikuwashe, hutakuwepo nyumbani.
"Tunawa bore wengine."
Haya majadiliano kati ya Dilunga na Fundi..hayaelekei vizuri!
Rushwa na upendeleo ni mbegu mbaya! awe Mhindi, Mchaga, Mdengereko!
Ndugu wapendwa ,...mmmh haka kakidudu cha ufisadi naona akaishi kabisa...sasa dawa yake naona si maneno tuamue kufanya na vitendo...hivi karibuni afisa mmoja wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa tanzania BW TESHA....,alifanya vituko vya ajabu...kwa wale wanaoujua uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere..ukiwa unaingia kuna open space iko upande wa kulia...hiyo sehemu ilitangazwa wanaongeza uwanja kwa ajili ya parking...gafla wakaambiana chinichini kuna sehemu imebaki tunwezatengeneza hotel...ikatangazwa wazi....mtanzania mmoja akaenda kuomba wakiwepo baadhi ya watu...gafla ile tenda ikawa dili.....,yule ofisa akatangaza wamesitisha hawana mpango wa kujenga tena ile sehemu....
Baada ya muda kama mmefika karibuni kuna ujenzi ulikuwa unakamalika ..kabla ya mmoja wa waliomba tenda akaambiwa wamesitisha mpaka alipoingia hivi karibuni na kukuta ujenzi unamalizika ...walipoulizia akaambiwa amepewa yule yule muhindi wa flamingo...ambae ndie huyo amepewa lounge.amepewa supermarket..amepewa dutyfree shop.......amebakiza kupewa uwanja wa kutulia ndege......
Ndugu watanzania inafika wakati lazima tuwathamini watanzania wenzettu...kwamba wanauwezo wa kufanya chochote...alipokuwa akiulizia aliambiwa amepewa kwa sababu wanaitaji mtu anaeweza kuitengeneza ikaonekana ati sehemu ya kimataifa...tobaaa ilala,,,,mi nafikir kuna umuhimu mkubwa wa kuwachunguza sana hawa mabwana ambao wako TAA miaka na miaka...BWA MSANGI NA BWANA TESHA....HAPO HIYO COMBINATION YA MCHAGA NA MPARE...INATUREJESHA KWENYE UTUMWA KABISA...WANA DHARAU SANA ...HATA IKITOKEA UKIPINGANA NA HUYO MUHINDI AKIKUFIKISHA KWAO UMEKWISHA BILA HATA YA KUJIELEZA....
UFISADI UTAISHA LINI JAMANI???????????????
Tatizo ni kwamba wageni wengi wakifika pale wanadhani ndege imepotea ikaenda kutua Mumbai!Huyu mtu ni nani anaemiliki biashara zote hizo? Tatizo ni kuwa ni mhindi au mtu mmoja kumiliki biashara hizo? Hivi angekuwa mweusi mwenzetu ndiye anaemiliki biashara hizo zote tungekubali kwa vile tuu ni mwenzetu? Na kama biashara hizo zinamilikiwa na watu tofauti lakini wana rangi moja tatizo liko wapi kama wamefuata utaratibu? Tunasahau hao tunaowaita wahindi nao wanamakabila kama sisi. Kama kila mmoja wao kivyake vyake aliingia na kushinda tenda kwa nini tunamlaumu? Au mna ushahidi kuwa alihonga au hakufuata utaratibu. Kama mnao, uwekeni wazi achukuliwe hatua kama mhalifu yeyote mwingine lakini si kwa sababu ati ni mhindi!
Badala ya kuuliza kwa nini anaajiri wahindi, tujiulize kwa nini wadogo zetu hawaajiriki? Si wahindi tu hata kwenye mashirika ya nje hawawataki wadogo zetu. Hatujitumi, tunataka kufanya ushap kila tunapokuweko, hatujui kuchangamkia wateja, tunadhani kuongea kama 50 cent ndiyo maendeleo, tunajua stahili zetu kuliko wajibu wetu n.k. Tuambiane ukweli badala ya kulalama tuu.
Amandla........
Kuwa agressive kwenye biashara hakukatazwi.Lakini cha kujiuliza ni ..ni siri gani ya mtu mmoja kupata tenda za kuendesha biashara zifuatazo katika Kiwanja chetu cha Ndege cha Julius Nyerere International Airport;
1.Flamingo Restaurant
2.Tanzanite Lounge
3.Duty Free shops karibu zote
4.Migahawa departure Lounges
5.Bureau de Change
1.Makao Makuu ya Kamanda wa Polisi Viwanja vya Ndege Tanzania yalihamishiwa kutoka terminal 2 kwenda terminal 1 ili tu kumpa nafasi huyu mfanyabiashara kupanua Tanzanite Lounge ambayo huhudumia abiria wa business class ambao nao siyo wengi ki vile.
2.Maeneo ya kuondokea abiria yalipunguzwa ukubwa ili tu huyu mfanyabiashara apewe biashara.
3. Zaidi ya nusu ya staff kwenye hizo biashara ni waasia hata kuuza chai jamani watz HATUWEZI?
Sidhani kuwa nia ya hii thread ni ubaguzi dhidi ya wahindi ila ni kujiuliza kweli hakuna wengine wanaoweza hata kama siyo watanzania? Diversity/anuai ni muhimu.
Huyu mtu ni nani anaemiliki biashara zote hizo? Tatizo ni kuwa ni mhindi au mtu mmoja kumiliki biashara hizo? Hivi angekuwa mweusi mwenzetu ndiye anaemiliki biashara hizo zote tungekubali kwa vile tuu ni mwenzetu? Na kama biashara hizo zinamilikiwa na watu tofauti lakini wana rangi moja tatizo liko wapi kama wamefuata utaratibu? Tunasahau hao tunaowaita wahindi nao wanamakabila kama sisi. Kama kila mmoja wao kivyake vyake aliingia na kushinda tenda kwa nini tunamlaumu? Au mna ushahidi kuwa alihonga au hakufuata utaratibu. Kama mnao, uwekeni wazi achukuliwe hatua kama mhalifu yeyote mwingine lakini si kwa sababu ati ni mhindi!
Badala ya kuuliza kwa nini anaajiri wahindi, tujiulize kwa nini wadogo zetu hawaajiriki? Si wahindi tu hata kwenye mashirika ya nje hawawataki wadogo zetu. Hatujitumi, tunataka kufanya ushap kila tunapokuweko, hatujui kuchangamkia wateja, tunadhani kuongea kama 50 cent ndiyo maendeleo, tunajua stahili zetu kuliko wajibu wetu n.k. Tuambiane ukweli badala ya kulalama tuu.
Amandla........
Fundi Mchumdo..mimi nimeongeza tu maoni yangu kuhusu mtu mmoja kumiliki kila kitu..sijali kama ni muhindi, mchina au mswahili.Mimi nimeshangaa tu kuwa ni siri gani mtu mmoja/proprietor mmoja kufanikiwa kupata biashara zote hizi mahali pamoja?
NB Hizi biashara zote anazimiliki huyu mtu mmoja na siyo hata wawili.