WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kuwa agressive kwenye biashara hakukatazwi.Lakini cha kujiuliza ni ..ni siri gani ya mtu mmoja kupata tenda za kuendesha biashara zifuatazo katika Kiwanja chetu cha Ndege cha Julius Nyerere International Airport;
1.Flamingo Restaurant
2.Tanzanite Lounge
3.Duty Free shops karibu zote
4.Migahawa departure Lounges
5.Bureau de Change
1.Makao Makuu ya Kamanda wa Polisi Viwanja vya Ndege Tanzania yalihamishiwa kutoka terminal 2 kwenda terminal 1 ili tu kumpa nafasi huyu mfanyabiashara kupanua Tanzanite Lounge ambayo huhudumia abiria wa business class ambao nao siyo wengi ki vile.
2.Maeneo ya kuondokea abiria yalipunguzwa ukubwa ili tu huyu mfanyabiashara apewe biashara.
3. Zaidi ya nusu ya staff kwenye hizo biashara ni waasia hata kuuza chai jamani watz HATUWEZI?
Sidhani kuwa nia ya hii thread ni ubaguzi dhidi ya wahindi ila ni kujiuliza kweli hakuna wengine wanaoweza hata kama siyo watanzania? Diversity/anuai ni muhimu.
1.Flamingo Restaurant
2.Tanzanite Lounge
3.Duty Free shops karibu zote
4.Migahawa departure Lounges
5.Bureau de Change
1.Makao Makuu ya Kamanda wa Polisi Viwanja vya Ndege Tanzania yalihamishiwa kutoka terminal 2 kwenda terminal 1 ili tu kumpa nafasi huyu mfanyabiashara kupanua Tanzanite Lounge ambayo huhudumia abiria wa business class ambao nao siyo wengi ki vile.
2.Maeneo ya kuondokea abiria yalipunguzwa ukubwa ili tu huyu mfanyabiashara apewe biashara.
3. Zaidi ya nusu ya staff kwenye hizo biashara ni waasia hata kuuza chai jamani watz HATUWEZI?
Sidhani kuwa nia ya hii thread ni ubaguzi dhidi ya wahindi ila ni kujiuliza kweli hakuna wengine wanaoweza hata kama siyo watanzania? Diversity/anuai ni muhimu.