BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,792
- 287,994
Acha kwanza tuseme. Saidia kuonyesha tatizo liko wapi na si kulilia eti tunaleta UKABILA au UBAGUZI na mwisho tutowe SOLUTIONS ni kipi kwa maoni yetu kifanyike. Ukitunyamazisha, kumbuka ya KENYA.
Ahsante sana Sikonge.