UDSM pitieni upya mfumo wa wanafunzi kusaini pesa ya kujikimu

Fifteen

JF-Expert Member
Oct 5, 2021
414
500
Habari wakuu,

moja kwa moja niende kwenye topic chuo kikuu Cha udsm kimekua na utaratibu wa kuzuia wanafunzi kusign pesa za kujikimu mpaka pale mtu awe anemaliza kulipa ada pamoja na direct cost.

Huu mfumo haujakamilika kwasababu Kuna wanafunzi wa Hali ya chini wanategemea kulipa ada kwa pesa hiyo ya kujikimu maarufu kama boom.

Kama chuo kinahofia watoto kuacha chuo baada ya kusign izo pesa basi waweke mfumo mzuri ili walio tayari kulipa ada moja kwa moja kutoka izo pesa zikatwe uko uko kuliko kumlazimisha mwanafunzi kwenda kukopa hela za riba kulipa ada kisha ndo asign boom.

Lakini pia izo pesa ni za mkopo mtu atalipa kwani akiondoka nazo si ni za kwake fikilieni kwenye hili mbona vyuo vingine havina huu utaratibu.

Mfano mzuri mtoto wa first year ada million moja na laki moja kwa semester anatakiwa alipe laki 5 na nusu na amepangiwa boom tu bila ada hata kidogo chuo kiweke utaratibu akatwe laki 3 boom la kwanza na laki mbili na nusu la pili iingie kwenye ada kuliko kumtaka alipe yote kabla ya kusign boom la kwanza.

Nawasilisha
 
Ni kweli na sijui kwanini hizi mamlaka zinazohusika hazifuatilii haya mambo familia maskini zitabaki kuwa maskini siku zote kwasababu wahusika wako mbali sqna na hawa watu
 
P
Ni kweli na sijui kwanini hizi mamlaka zinazohusika hazifuatilii haya mambo familia maskini zitabaki kuwa maskini siku zote kwasababu wahusika wako mbali sqna na hawa watu
Pesa ya mkopo inakua kama ya msaada
 
Kabla ya mwaka 2015 mfumo ulikua ni huo wa kusain kwanza ndipo mtt analipa ada na kuwa admitted. Mwaka 2015 walipigwa na kitu kizito, watu walisepa na pesa za boo la kwanza na la pili katika semester ya kwanza. Semester ya pili wakaja na huo mfumo ili anaepata mkopo awe amesajiliwa na hata akisepa iwe rahis kujulikana tofaut na mfumo wa mwanzo kwan watu walikana kusain na kudai kuwa hawakuripot na wala hawakuchukua hizo pesa.
 
Kabla ya mwaka 2015 mfumo ulikua ni huo wa kusain kwanza ndipo mtt analipa ada na kuwa admitted. Mwaka 2015 walipigwa na kitu kizito, watu walisepa na pesa za boo la kwanza na la pili katika semester ya kwanza. Semester ya pili wakaja na huo mfumo ili anaepata mkopo awe amesajiliwa na hata akisepa iwe rahis kujulikana tofaut na mfumo wa mwanzo kwan watu walikana kusain na kudai kuwa hawakuripot na wala hawakuchukua hizo pesa.
Wako sahihi.....lakini pia kwa namna nyingine watambue mwanafunzi hata akikimbia deni lake linasoma hivyo atakuwa responsible baadae kuulipa tu hivyo chuo kisiingilie maamuzi yake
 
Kabla ya mwaka 2015 mfumo ulikua ni huo wa kusain kwanza ndipo mtt analipa ada na kuwa admitted. Mwaka 2015 walipigwa na kitu kizito, watu walisepa na pesa za boo la kwanza na la pili katika semester ya kwanza. Semester ya pili wakaja na huo mfumo ili anaepata mkopo awe amesajiliwa na hata akisepa iwe rahis kujulikana tofaut na mfumo wa mwanzo kwan watu walikana kusain na kudai kuwa hawakuripot na wala hawakuchukua hizo pesa.
Hii ni adi kwa continuous haruhusiwi kusign bila kufanya malipo yote na mbona vyuo vingine Wana sign bila shida yoyote? Sio vibaya kwenda kuoga wanafanyaje au udsm pekee ndo Kuna watoro
 
Hii
Habari wakuu,

moja kwa moja niende kwenye topic chuo kikuu Cha udsm kimekua na utaratibu wa kuzuia wanafunzi kusign pesa za kujikimu mpaka pale mtu awe anemaliza kulipa ada pamoja na direct cost.

Huu mfumo haujakamilika kwasababu Kuna wanafunzi wa Hali ya chini wanategemea kulipa ada kwa pesa hiyo ya kujikimu maarufu kama boom.

Kama chuo kinahofia watoto kuacha chuo baada ya kusign izo pesa basi waweke mfumo mzuri ili walio tayari kulipa ada moja kwa moja kutoka izo pesa zikatwe uko uko kuliko kumlazimisha mwanafunzi kwenda kukopa hela za riba kulipa ada kisha ndo asign boom.

Lakini pia izo pesa ni za mkopo mtu atalipa kwani akiondoka nazo si ni za kwake fikilieni kwenye hili mbona vyuo vingine havina huu utaratibu.

Mfano mzuri mtoto wa first year ada million moja na laki moja kwa semester anatakiwa alipe laki 5 na nusu na amepangiwa boom tu bila ada hata kidogo chuo kiweke utaratibu akatwe laki 3 boom la kwanza na laki mbili na nusu la pili iingie kwenye ada kuliko kumtaka alipe yote kabla ya kusign boom la kwanza.

Nawasilisha
Hii n kwel..kwa mfano chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere.campus ya kivukoni..utaratibu wao n mzuri unapata fedha kwnza kisha nd unalipa ada..hii inasaidia sana kwa sisi ambao tunategemea boom ili kulipa ada, pia inaepusha kwend kukopa fedha za riba ambazo zna gharama pia. Uongozi wa udsm waangalie hili suala kwa kwel
 
Back
Top Bottom