..Hawa wafuatao ndio so far wamewahi kutunukiwa Shahada za Heshima za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
S/N NAME DEGREE DATE/YEAR Degrees of the University E. A (Dar es salaam)
1 Prof. Karl Worth Bigelow Doctor of Literature(honoris causa) 1970 2 Hon. Solomon Nkya Eliufoo Doctor of Laws(honoris causa) 1970 3 Edward Walter Russell Doctor of Science(honoris causa) 1970 Degrees Awarded by UDSM 4 Hon. Justine Philip Telford Doctor of Laws(LL.D) 1973 5 Hon. Abdulkarim Yusufali Alibair Karimjee Doctor of Laws(LL.D) 1973 6 Hon. Aboud Jumbe Mwinyi Doctor of Laws(LL.D) 1976 7 Hon. Adam Sapi Mkwawa Doctor of Laws(LL.D) 1980 8 Hon. Amir H Jamal Doctor of Literature(D. Litt) 1980 9 Dr. W K Chagula Doctor of Science(honoris causa) 1981 10 Dr. Basil Risbridger Davidson Doctor of Literature(D. Litt) 1985 11 Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Doctor of Literature(D. Litt) 1986 12 Dr. G .L Monekosso Honorary Doctor Of Science(honoris causa) 1989 13 Prof. Tormod Forland Honorary Doctor Of Science(honoris causa) 1990 14 Ambassador Amon James Nsekela Doctor of Literature(D. Litt) 1990 15 Professor Dr. Ir.Godfried D.Vogels Honorary Doctor Of Science(honoris causa) 1998 16 Ambassador J.V Mwapachu Doctor of Literature(honoris causa) 2005 17 Hon B.W Mkapa Doctor of Literature(honoris causa) 2006 18 Prof. Sven Erick Jorgensen Doctor of Science(honoris causa) 2007
Kama ni kugawa Ph.D kwa mchango wa mtu kwa taifa si mara mia apewe Bakhressa kuliko huyo.
Hata JK hajiiti. Anaitwa na vyombo vyetu vya habari ITV ikiongoza. Wengine wanaomwita ni wanaojikomba kwake kwa sababu mbalimbali. Hata hivyo, kwani hastahili? Vyuo vikuu vilivyompa heshima havitambuliki? Au hatumpendi tu 24/7?ulishawai kusikia anajiita Dr Mkapa????? au Dr Nyerere???
Na ww njoo kwangu usiku ntakutunuku PHD pia km ndio shida yako
mkandala anatumia masaburi kumtunuku JK PhD
Naungana na mchangiaji mwenzako hapo juu,wampe na uprofessor itakuwa safi,mkandala ni mnafiki kweli kaleta fitina mpaka Prof Luanga(Member) kaondolewa ndio shida kuwapa mangwini waendeshe chuo;;Hon Dr. Prof Jakaya Mrisho Kikwete,UDASA KAZENI UZI KAMA NI HESHIMA MPENI PIA SABODO,BAKHRESSA,ZAKARIA,MENGI,MO,wakimpa JK Phd pia wampe na rostam
Kama ni kugawa Ph.D kwa mchango wa mtu kwa taifa si mara mia apewe Bakhressa kuliko huyo.
Hapa UDASA mnacomplicate bure,mpeni hizo PHD tena zikizidi muiteni Prof.Kikwete acheke chekeeee hadi basi.Huyu rais ni kituko tu.Katika kuadhimisha miaka 50 Ya Uhuru wa Tanganyika , utawala na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam umepanga kumtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, mzaliwa wa Msoga Mkoa wa Pwani Shahada ya Uzamivu/PHD ya Heshima.
Sasa katika hali isiyotabilrika wasomi wa chuo hicho kupitia UDASA wamekua wakigomea kutunukiwa kwa huyu bwana kwa madai kuwa hastahili kupewa Heshima hiyo kwakua hakuna la maana alilolifanya kustahili Tuzo na hakika wametoa wito kwa Utawala wa chuo kujitenga na propaganda za ajabu ili tu kuupumbaza Umma kuwa anakubalika na kuheshimika sana miongoni mwa wasomi katika Tanzania hii.
(.Note..................................habari hii nimeipata pale ofisi za UDASA kwa Mkufunzi aliegoma kunitajia jina.)
yes aliwahi!!!Hivi marehemu baba wa Taifa JK Nyerere alishawahi kupewa Ph.D ya heshima? mi naona watu vilaza vilaza ndiyo huwa wanang'ang'ania hii kitu!
yes aliwahi!!!