UDASA ni wasomi na wapo right kabisa. kafanya nini cha maana hadi apewe heshima hiyo? endapo mkandala aking'ang'ania apewe basi atakuwa amekishushia hadhi chuo chetu ukitilia maanani kinaheshimika afrika.
HADHI YA CHUO IMESHASHUKA SANA. Miaka 3 iliyopita UDSM ilikuwa ranked as 11 to University in Africa. Kwa leo unaweza kuangali hapa: Ranking Web of World universities: Top Africa