kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
yes aliwahi!!!
Mwalimu alipewa nyingi, kwa Tanzania alipewa mwaka 1998 kama sikosei na SUA , PhD (Rural Development).
kazi karibu zote alizowahi kuzifanya zilikuwa kwa ajili ya maendeleo vijijini...tena kwa dhati..tuanze Azimio la Arusha, Azimio la Musoma, Madaraka mikoani, opeshesheni vijiji vya ujamaa, kilimo cha kufa na kupona, siasa ya uijamaa na kujitegemea yenyewe....vyama vya ushirika...e.tc. e.t.c.....
ilisomwa speech almost 1 hr ikionyesha maeneo haya aliyoyafanuia kazi kwa dhati.......mzee wa watu alisimama kimya wala hakutetereka......akaipokea kwa unyenyekevu.....
alipewa PhD hii miaka mingi baada ya watu kukiri na kuopna impact ya filosofia zake....
Enyi Mukandara na wenzio, lazima muone aibu....munajustify vipi hii phd mnayotaka kumzawadia huyu mheshimiwa ukizingatia huu ndio mwaka wa sita madarakani??? subirini amalize ngwe yake ndio tufanye impact analysis