Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,571
Amini nawaambieni "Atatunukiwa tuu!."
Kwani siku zote nabii hakubaliki nyumbani. Kama JK ameshatunukiwa honorary degree na nchi za wenzetu, why not asitunukiwe ya nyumbani.
Anachofanya Prof. Mukandala ndicho kile kile kinachofanywa na Dr. Bana kwenye utafiti wa Redet, ni kujikomba tuu kwa JK.
Jamani lazima tuwe watu wa shukrani. Namuunga mkono Prof. Mukandala kwa asilimia 100% kumtunukia JK hiyo Ph.D ya heshima kama shukrani yake binafsi kwake kwa kumpatia u VC na shukrani kwa taifa kutimiza miaka 50 ya uhuru hivi tulivyo!.
Kwani siku zote nabii hakubaliki nyumbani. Kama JK ameshatunukiwa honorary degree na nchi za wenzetu, why not asitunukiwe ya nyumbani.
Anachofanya Prof. Mukandala ndicho kile kile kinachofanywa na Dr. Bana kwenye utafiti wa Redet, ni kujikomba tuu kwa JK.
Jamani lazima tuwe watu wa shukrani. Namuunga mkono Prof. Mukandala kwa asilimia 100% kumtunukia JK hiyo Ph.D ya heshima kama shukrani yake binafsi kwake kwa kumpatia u VC na shukrani kwa taifa kutimiza miaka 50 ya uhuru hivi tulivyo!.