HAKI bin AMANI
Senior Member
- Sep 5, 2011
- 156
- 34
CHUO KIKUU cha Dar es Salaam ndiyo chuo kikongwe hapa nchini na kinaheshimika duniani kote, kisigeuzwe kuwa CHOO KIKUU ambamo mende na nzi ndiyo makazi yake.
Mambo ya watu kujipendekeza kwa ajili ya personal interest zao nasema, kwa jina la aliyeumba mbingu na ardhi washindwe na walegee.
Mambo ya watu kujipendekeza kwa ajili ya personal interest zao nasema, kwa jina la aliyeumba mbingu na ardhi washindwe na walegee.