Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
- Thread starter
- #21
chadema mliamua kubagua sasa mmebaguliwa. mizee mizima hovyo
nimelipenda hilo la waturudi kwenye posho wana madeni benki
Siyo kubagua bali ni kanuni za kuunda kambi ya upinzani zinatoa haki kwa Chadema kuiunda peke yake, soma kanuni.