Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Kabla hata hatujasahau uchakachuaji wa kura za uraisi wa JK, kura za wabunge wa CCM, umeya wa jiji la Arusha, CCM sasa wameendeleza kufuru ya uchakachuaji wa waziwazi wa kanuni za Bunge. Ukisoma kanuni za kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni huwezi kuja na tafsiri ya kambi rasmi eti maana yake ni vyama vyote vya upinzani kama alivyosikika Anna Makinda akitamka uchakachuaji huo.
Kanuni za bunge za kuunda kambi ya upinzani lazima zijitosheleze bila ya kujipinga zenyewe. Tangu mwanzo kanuni inaanza kwa kutoa mwongozo kuwa kambi rasmi ya upinzania itaundwa pale ambapo vyama vya upinzani vimefisha asilimia 12.5 ya wabunge wote. Na kwamba chama cha upinzania hakitakuwa na haki ya kuunda kambi ya upinzania hadi kiwe na wabunge wasiopungua asilimia 12.5. Na kwamba kama vyama viwili vinawabunge waliofikia asilimia 12.5, basi kile chenye wabunge wengi ndicho kitakachochagua kiongozi wa kambi ya upinzani na naibu wake. Kanuni inaeleza wazi kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani ndiye mwenye uwezo wa kuchagua wabunge wa chama chake au kambi rasmi ya upinzania kuwa wasemaji wa wizara.
Tafsiri ya kambi rasmi ya upinzani haiwezi kuwa ya vyama vyote ikiwa kuna chama kinajitosheleza kwa wabunge kuunda kambi ya upinzani. Tafsiri hii inaweza kutumika pale tu ambapo hakuna chama cha upinzani kina wabunge wanaofikia asilimia 12.5, ambapo vyama vinalazimika kujiunga pamoja na kufikisha asilimia 12.5. Lakini kama kuna chama cha upinzani kimefikisha aslimia 12.5 na kimevipita vyama vingine kwa idadi ya wabunge ndicho chenye haki ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni. Si haki, na uchakachuaji huu wa makusudi wa CCM na spika wa bunge Anna Makinda haukubaliki kabisa na ni juu ya Chadema na Watanzania kupinga kwa nguvu zote uzandiki huu wa kulichezea bunge la Tanzania. Kutafsiri kanuni ya bunge kwa kupotosha wakati kanuni zinajieleza wazi ni uhaini mkubwa sana.
Chadema na Watanzania tuchukue hatua za haraka sana za kisiasa, kisheria n.k. leo hii na si kesho ili kulinda na kurudisha heshima ya bunge letu.
Kanuni za Kuunda kambi ya upinzania
14.
Kanuni za bunge za kuunda kambi ya upinzani lazima zijitosheleze bila ya kujipinga zenyewe. Tangu mwanzo kanuni inaanza kwa kutoa mwongozo kuwa kambi rasmi ya upinzania itaundwa pale ambapo vyama vya upinzani vimefisha asilimia 12.5 ya wabunge wote. Na kwamba chama cha upinzania hakitakuwa na haki ya kuunda kambi ya upinzania hadi kiwe na wabunge wasiopungua asilimia 12.5. Na kwamba kama vyama viwili vinawabunge waliofikia asilimia 12.5, basi kile chenye wabunge wengi ndicho kitakachochagua kiongozi wa kambi ya upinzani na naibu wake. Kanuni inaeleza wazi kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani ndiye mwenye uwezo wa kuchagua wabunge wa chama chake au kambi rasmi ya upinzania kuwa wasemaji wa wizara.
Tafsiri ya kambi rasmi ya upinzani haiwezi kuwa ya vyama vyote ikiwa kuna chama kinajitosheleza kwa wabunge kuunda kambi ya upinzani. Tafsiri hii inaweza kutumika pale tu ambapo hakuna chama cha upinzani kina wabunge wanaofikia asilimia 12.5, ambapo vyama vinalazimika kujiunga pamoja na kufikisha asilimia 12.5. Lakini kama kuna chama cha upinzani kimefikisha aslimia 12.5 na kimevipita vyama vingine kwa idadi ya wabunge ndicho chenye haki ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni. Si haki, na uchakachuaji huu wa makusudi wa CCM na spika wa bunge Anna Makinda haukubaliki kabisa na ni juu ya Chadema na Watanzania kupinga kwa nguvu zote uzandiki huu wa kulichezea bunge la Tanzania. Kutafsiri kanuni ya bunge kwa kupotosha wakati kanuni zinajieleza wazi ni uhaini mkubwa sana.
Chadema na Watanzania tuchukue hatua za haraka sana za kisiasa, kisheria n.k. leo hii na si kesho ili kulinda na kurudisha heshima ya bunge letu.
Kanuni za Kuunda kambi ya upinzania
14.
-(1) Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni atachaguliwa
.-(1) Chama chenye haki ya kumchagua Kiongozi wa Kambi Rasmichini ya utaratibu ulioainishwa kwenye fasili za Kanuni hii
zinazofuata.
(2) Wabunge wote wa Upinzani wanaweza kuunda Kambi Rasmi
ya Upinzani iwapo idadi yao itakuwa si chini ya asilimia kumi na
mbili na nusu ya Wabunge wote.
(3) Chama cha Upinzani hakitakuwa na haki ya kuchagua
Kiongozi wa Upinzani Bungeni, isipokuwa tu kama kina idadi ya
Wabunge wasiopungua asilimia kumi na mbili na nusu ya Wabunge
wote.
(4) Endapo kutakuwa na Vyama vya Upinzani zaidi ya kimoja
ambavyo kila kimoja kina Wabunge asilimia kumi na mbili na nusu
au zaidi, basi Chama chenye idadi kubwa zaidi ya Wabunge kuliko
vingine ndicho kitakuwa na haki ya kuchagua Kiongozi wa Kambi
Rasmi ya Upinzani Bungeni, lakini, ikiwa kutakuwa na vyama viwili
au zaidi vyenye idadi sawa ya Wabunge ambao ni zaidi ya asilimia
kumi na mbili na nusu, Wabunge wa vyama vinavyohusika
watachagua Kiongozi wa Upinzani Bungeni chini ya utaratibu
watakaokubaliana wenyewe.
zinazofuata.
(2) Wabunge wote wa Upinzani wanaweza kuunda Kambi Rasmi
ya Upinzani iwapo idadi yao itakuwa si chini ya asilimia kumi na
mbili na nusu ya Wabunge wote.
(3) Chama cha Upinzani hakitakuwa na haki ya kuchagua
Kiongozi wa Upinzani Bungeni, isipokuwa tu kama kina idadi ya
Wabunge wasiopungua asilimia kumi na mbili na nusu ya Wabunge
wote.
(4) Endapo kutakuwa na Vyama vya Upinzani zaidi ya kimoja
ambavyo kila kimoja kina Wabunge asilimia kumi na mbili na nusu
au zaidi, basi Chama chenye idadi kubwa zaidi ya Wabunge kuliko
vingine ndicho kitakuwa na haki ya kuchagua Kiongozi wa Kambi
Rasmi ya Upinzani Bungeni, lakini, ikiwa kutakuwa na vyama viwili
au zaidi vyenye idadi sawa ya Wabunge ambao ni zaidi ya asilimia
kumi na mbili na nusu, Wabunge wa vyama vinavyohusika
watachagua Kiongozi wa Upinzani Bungeni chini ya utaratibu
watakaokubaliana wenyewe.
15
ya Upinzani Bungeni kinaweza pia kuchagua Naibu Kiongozi wa
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
(2) Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni atateua
Wabunge wa Chama chake au Wabunge wa Kambi Rasmi ya
Upinzani Bungeni ambao watakuwa wasemaji wakuu wa Kambi ya
Upinzani kwa Wizara zilizopo za Serikali.Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
(2) Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni atateua
Wabunge wa Chama chake au Wabunge wa Kambi Rasmi ya
Upinzani Bungeni ambao watakuwa wasemaji wakuu wa Kambi ya