Tundu Lissu: Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais

Tundu lissu ni mtu ambaye anaweza kuwa ni kigeugeu,miaka ya nyuma alikuwa anapigania haya mambo tena ikafikia hatua akawa anatukana viongozi wa serikali,leo katokea kiongozi ambaye anaonessha dira ya kupigania taifa,badala ya kumuunga mkono hata kumshauri afanye nn,amekuwa wa kwanza kupinga,ninachohisi huyu jamaa inawezekana hata hyo sheria yake alipata kwa kubahatisha,mwanasheria hutakiwi kuwa muoga,wanatakiwa wanasheria kumunga mkono raisi na sikuogopa kwenda kushitakiwa,kama kweli tuliingia mikataba mibovu hata tukiibiwa tusizuie?ebu tuweke pembeni siasa hili ni suala la kupigania haki yetu na kizazi kijacho

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Mi nadhani ingekuwa ni busara zaidi kuona jitihada zako zinaelekezwa haswa kwenye kushauri na kushawishi Kwa maslahi ya watanzania, kwani lengo ni kusimama Kwa umoja wenu na kuona nchi yetu inaimarika zaidi kiuchumi lakini tukiupa nafasi u-mimi tutajikuta tunapishana na muda

Sent from my Vodafone 785 using JamiiForums mobile app
 
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki kupitia CHADEMA ambaye pia Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu amesema wabunge wanatakiwa kutoshabikia maamuzi ya kijinga hata kama yamefanya na Rais.

"Gharama tutakayolipa kwa kuzuia mchanga kusafirishwa nje kinyume na sheria ni kubwa kuliko mchanga wa madini wa ACACIA. Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais"-alisema Mbunge Tundu Lissu.

Mbunge Tundu Lissu akizungumzia kuzuiwa usafirishaji wa mchanga wa madini wakati wa bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje 2017/18.



Uhuru usio na mipaka ni wenda wazima kuchamba kwingi utaondoka na kinyesi..
katika Nchii Tundu Lissu yeye ndio msomi pekee? Hakuna mwingine anayejua sheria za kitaifa na kimataifa zaidi yake yeye? Anajifanya yeye ndiye anaejua kila sheria na kila kanuni kwa Nchi hii ... who is he by the way..
kwa mtazamo wangu akiachiwa aendelee na upayukaji wake bila wanaohusika kuchukua hatua stahiki atawapotosha watu wengi sana..
uongo ukirudiwa mara nyingi hufanana na ukweli kwa wasioweza kupambanua...!!
i think kuna mahali salama zaidi panapomfaa huyu mtu zaidi ya Bungeni.
 
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki kupitia CHADEMA ambaye pia Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu amesema wabunge wanatakiwa kutoshabikia maamuzi ya kijinga hata kama yamefanya na Rais.

"Gharama tutakayolipa kwa kuzuia mchanga kusafirishwa nje kinyume na sheria ni kubwa kuliko mchanga wa madini wa ACACIA. Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais"-alisema Mbunge Tundu Lissu.

Mbunge Tundu Lissu akizungumzia kuzuiwa usafirishaji wa mchanga wa madini wakati wa bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje 2017/18.



Tutaona na kusikia mengi mwaka huu
 
KWANI TUNDU LISSU USICHOELEWA NINI.

Waraka wa BASHIR YAKUB
+255784482959.

1.Ni hivi hakuna anayesema mchanga si mali yao. Ni mali yao pengine kutokana na mkataba/sheria. Lakini pia ni mali yao kwa maana ya kwamba lazima watwambie kilichomo ndani na uzito wake ili tupate kodi sahihi. Kama ungekuwa wao moja kwa moja bila wajibu huu hata wao wasingekubali kuwa wanakaguliwa na TRA, TMAA nk. Lakini kwasababu wanaujua wajibu huu ndio maana hata wao hukubali kukaguliwa.

Kutokana na hayo tumezuia mchanga kwasababu wamekiuka wajibu wao na hivyo kuzalisha mambo matatu ;
( i ) Udanganyifu kuhusu kilicho ndani ya mchanga.

( ii )Udanganyifu kuhusu kuhusu uzito wa mchanga wanaochukua.

( iii ) Na kuwa udanganyifu wa hayo mawili hapa juu unazaa kosa la tatu ambalo ni kukwepa kodi au/na kulipa kodi isiyo stahili. Ukishalaghai kuhusu uzito na sampuli ya ulichobeba utalipa kodi ya hichohicho ulichosema ambayo itakuwa sio yenyewe kwasababu unachosema umebeba sio chenyewe.

Jamani udanganyifu ni kosa( fraud/deceitful), na kukwepa kodi ni kosa ( tax evasion). Na haya ni makosa pote mahakama za ndani( local courts) na katika hizo za kimataifa ( international arbitral tribunal).

Na haya hakuna ubishi wameyafanya. Kama wanasema wameonewa basi walete pendekezo iundwe tume nyingine itakayokuwa na watu wa serikali pamoja na watu wao halafu tupate majibu. Katu hawawezi.

Basi tumezuia mchanga kwa ajili ya haya. Hatukuzuia mchanga kwamba sio mali yao. Tumezuia mchanga kwasababu wamedanganya kuhusu uzito na sampuli za madini zilizo ktk mchanga wanaochukua jambo ambalo ni sehemu ya wajibu wao. Haya basi iko wapi hiyo kesi tutakayoshindwa.

2.Unasema ripoti ya Mruma haina maana yoyote kiushahidi. Sio kweli hata kidogo. Ripoti ni ushahidi muhimu sana tena sana kuthibitisha udanganyifu wa Acacia. Sisi huo ndio ushahidi wetu na wao kama watakua na ushahidi mwingine unaosema sio kweli watauleta shida iko wapi.

3. Je tuna tatizo la sheria. Ndio tunaweza kuwa nalo. Je tuna tatizo la mikataba. Ndio tunaweza kuwa nalo. Lakini kwani kuwa na matatizo haya kunatuzuia kudhibiti wizi ambao tumebahatika kuuona. Bila shaka ni hapana. Wizi huu tunaushughulikia na hayo mengine mda unakuja nayo yatashughulikiwa.

4. Unasema mchanga huo ulihakikiwa na TRA, TMAA, GST na SGS na kuwa zote hizi ni taasisi za serikali. Hivi kwani tunaposema kosa la Acacia ni kutufanyia udanganyifu maana yake nini. Maana yake si ni kwamba waliidanganya serikali. Na serikali si ni TRA, TMAA, GST na SGS. Sasa maajabu yako wapi. Kosa la Acacia ni hilo kuzidanganya hizo mamlaka. Walitumia mbinu chafu kufanya uhakiki wa kilaghai. Hili ndio kosa lao na hapo hamna hoja.

5. Unasema tatizo ni sheria, sheria, sheria lakini hapohapo unabeza kamati ya wachumi na wanasheria iliyoundwa na Rais. Kwa akili ya kawaida kama unadhani hakuna nia ya kutizama upya ( review) sheria unafikir ni kwa nini kwenye kamati hiyo wameingizwa nguli na wataalam wa sheria. Au ni wewe uliyemshikia upanga rais kuingiza hao wanasheria.

Unahitaji ushahidi gani kuthibitisha kama tatizo la sheria sasa tayari limeanza kushugulikiwa. Au ulitaka na wewe uingie ktk kamati ndo ungeamini kuwa sasa tatizo hilo linamulikwa rasmi.

Tuache kupinga, kulalamikia kila kitu na kurejearejea historia mara mwaka 1998 tulishauri hivi mara vile nk. Ili yatusaidie nini sasa hayo kwa sasa. Njo na mawazo tena bila hila na gubu.
 
jambo la msingi bunge limsaidie rais kwa kuomba mikataba yote ipitiwe upya. pia bunge liache tabia ya kupitisha mambo kwa hati ya dharura. pia bunge liwanyang'anye vyeo vya bunge watu wote waliohusika kupitisha mikataba hii ya kimangungo .pia bunge lipendekeze kuvua kinga viongozi wastaafu walioliingoza taifa katika mikataba mibovu. vinginevyo waache vigelegele vya kimsifu rais kinafiki.
KWANI TUNDU LISSU USICHOELEWA NINI.

Waraka wa BASHIR YAKUB
+255784482959.

1.Ni hivi hakuna anayesema mchanga si mali yao. Ni mali yao pengine kutokana na mkataba/sheria. Lakini pia ni mali yao kwa maana ya kwamba lazima watwambie kilichomo ndani na uzito wake ili tupate kodi sahihi. Kama ungekuwa wao moja kwa moja bila wajibu huu hata wao wasingekubali kuwa wanakaguliwa na TRA, TMAA nk. Lakini kwasababu wanaujua wajibu huu ndio maana hata wao hukubali kukaguliwa.

Kutokana na hayo tumezuia mchanga kwasababu wamekiuka wajibu wao na hivyo kuzalisha mambo matatu ;
( i ) Udanganyifu kuhusu kilicho ndani ya mchanga.

( ii )Udanganyifu kuhusu kuhusu uzito wa mchanga wanaochukua.

( iii ) Na kuwa udanganyifu wa hayo mawili hapa juu unazaa kosa la tatu ambalo ni kukwepa kodi au/na kulipa kodi isiyo stahili. Ukishalaghai kuhusu uzito na sampuli ya ulichobeba utalipa kodi ya hichohicho ulichosema ambayo itakuwa sio yenyewe kwasababu unachosema umebeba sio chenyewe.

Jamani udanganyifu ni kosa( fraud/deceitful), na kukwepa kodi ni kosa ( tax evasion). Na haya ni makosa pote mahakama za ndani( local courts) na katika hizo za kimataifa ( international arbitral tribunal).

Na haya hakuna ubishi wameyafanya. Kama wanasema wameonewa basi walete pendekezo iundwe tume nyingine itakayokuwa na watu wa serikali pamoja na watu wao halafu tupate majibu. Katu hawawezi.

Basi tumezuia mchanga kwa ajili ya haya. Hatukuzuia mchanga kwamba sio mali yao. Tumezuia mchanga kwasababu wamedanganya kuhusu uzito na sampuli za madini zilizo ktk mchanga wanaochukua jambo ambalo ni sehemu ya wajibu wao. Haya basi iko wapi hiyo kesi tutakayoshindwa.

2.Unasema ripoti ya Mruma haina maana yoyote kiushahidi. Sio kweli hata kidogo. Ripoti ni ushahidi muhimu sana tena sana kuthibitisha udanganyifu wa Acacia. Sisi huo ndio ushahidi wetu na wao kama watakua na ushahidi mwingine unaosema sio kweli watauleta shida iko wapi.

3. Je tuna tatizo la sheria. Ndio tunaweza kuwa nalo. Je tuna tatizo la mikataba. Ndio tunaweza kuwa nalo. Lakini kwani kuwa na matatizo haya kunatuzuia kudhibiti wizi ambao tumebahatika kuuona. Bila shaka ni hapana. Wizi huu tunaushughulikia na hayo mengine mda unakuja nayo yatashughulikiwa.

4. Unasema mchanga huo ulihakikiwa na TRA, TMAA, GST na SGS na kuwa zote hizi ni taasisi za serikali. Hivi kwani tunaposema kosa la Acacia ni kutufanyia udanganyifu maana yake nini. Maana yake si ni kwamba waliidanganya serikali. Na serikali si ni TRA, TMAA, GST na SGS. Sasa maajabu yako wapi. Kosa la Acacia ni hilo kuzidanganya hizo mamlaka. Walitumia mbinu chafu kufanya uhakiki wa kilaghai. Hili ndio kosa lao na hapo hamna hoja.

5. Unasema tatizo ni sheria, sheria, sheria lakini hapohapo unabeza kamati ya wachumi na wanasheria iliyoundwa na Rais. Kwa akili ya kawaida kama unadhani hakuna nia ya kutizama upya ( review) sheria unafikir ni kwa nini kwenye kamati hiyo wameingizwa nguli na wataalam wa sheria. Au ni wewe uliyemshikia upanga rais kuingiza hao wanasheria.

Unahitaji ushahidi gani kuthibitisha kama tatizo la sheria sasa tayari limeanza kushugulikiwa. Au ulitaka na wewe uingie ktk kamati ndo ungeamini kuwa sasa tatizo hilo linamulikwa rasmi.

Tuache kupinga, kulalamikia kila kitu na kurejearejea historia mara mwaka 1998 tulishauri hivi mara vile nk. Ili yatusaidie nini sasa hayo kwa sasa. Njo na mawazo tena bila hila na gubu.
 
jambo la msingi bunge limsaidie rais kwa kuomba mikataba yote ipitiwe upya. pia bunge liache tabia ya kupitisha mambo kwa hati ya dharura. pia bunge liwanyang'anye vyeo vya bunge watu wote waliohusika kupitisha mikataba hii ya kimangungo .pia bunge lipendekeze kuvua kinga viongozi wastaafu walioliingoza taifa katika mikataba mibovu. vinginevyo waache vigelegele vya kimsifu rais kinafiki.
utaiua CCM
 
INASIKITISHA SAANA PALE NCHI INAPO ONGOZWA KWA MATAMKO, HAKUNA UTAWALA WA SHERIA WALA KATIBA.NI SAWA NA NCHI YA MFALME JUHA , AMBAE NI MTAWALA KATIKA NCHI YA KUSADIKIKA. MAGUFULI NI "MTAWALA " NA SIO KIONGOZI NA NDIO MAANA HASHAURI.MAGUFULI SIO MTAALAM WA UCHUMI BALI PROFESSIONAL YAKE NI MKANDARASI. HIVYO BASI NCHI ATAIINGIZA KATIKA MGOGORO MKUBWA WA KIUCHUMI AMBAO HAUJAWAHI TOKEA DUNIA NA TUTAKAO ATHIRIKA NI SISI WALALAHOI AMBAO NDIO "WAMINYWA" KODI."DEMECRACY "IS THE RULE OF THE PEOPLE BY THE PEOPLE FOR PEOPLE ILA MAGUFULI NAFIKIRI ALITAMBUI AU?
 
Mimi sina CHAMA. Lakini ninawashagaa wapizani wa CCM wanavyo pings kila kitu anachokifanya Rais. Siku zote tuna lalamika kuhusu huu mchaga kuwa tunaibiwa. Rais anatafuta ushaidi. Wao Wana................... To a mapovu ya kijinga. Tufanye nini sasa kuakikisha atuibiwi Mali zetu?
 
Uhuru usio na mipaka ni wenda wazima kuchamba kwingi utaondoka na kinyesi..
katika Nchii Tundu Lissu yeye ndio msomi pekee? Hakuna mwingine anayejua sheria za kitaifa na kimataifa zaidi yake yeye? Anajifanya yeye ndiye anaejua kila sheria na kila kanuni kwa Nchi hii ... who is he by the way..
kwa mtazamo wangu akiachiwa aendelee na upayukaji wake bila wanaohusika kuchukua hatua stahiki atawapotosha watu wengi sana..
uongo ukirudiwa mara nyingi hufanana na ukweli kwa wasioweza kupambanua...!!
i think kuna mahali salama zaidi panapomfaa huyu mtu zaidi ya Bungeni.
Ni kweli kabisa wewe mwenyewe unatakiwa uwe sehemu salama kabisa na kwa jinsi ilivyo comment Kuna hospital moja maarufu hapa Tanzania Mirembe panakufaa
 
Ndio Msemaji halisi wa Watanzania kwa sasa, pia hana mshipa wa Unafiki kama Mi-CCM ambao ndio waliopitisha hii mikataba ya kipuuzi akiwemo naniliu Yohana halafu leo wanajifanya hawajui chochote...Lisu ndio mzalendo
Mh mh Lisu hana uzalendo wowote
 
Back
Top Bottom