finias sospeter kabungulu
Member
- Mar 20, 2017
- 21
- 27
Mmmh
Huko kwenu Bariadi maana ya uzalendo ni nini hasa ?
vilaza wa lumumba bhanaTundu lissu ni mtu ambaye anaweza kuwa ni kigeugeu,miaka ya nyuma alikuwa anapigania haya mambo tena ikafikia hatua akawa anatukana viongozi wa serikali,leo katokea kiongozi ambaye anaonessha dira ya kupigania taifa,badala ya kumuunga mkono hata kumshauri afanye nn,amekuwa wa kwanza kupinga,ninachohisi huyu jamaa inawezekana hata hyo sheria yake alipata kwa kubahatisha,mwanasheria hutakiwi kuwa muoga,wanatakiwa wanasheria kumunga mkono raisi na sikuogopa kwenda kushitakiwa,kama kweli tuliingia mikataba mibovu hata tukiibiwa tusizuie?ebu tuweke pembeni siasa hili ni suala la kupigania haki yetu na kizazi kijacho
Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
Aliwashauri mkakataa tena kwa makofi yote,sasa anataka kuwaonyesha ya kuwa sheria anazijua ndiyo maana yupo upande wa piliMbona Tundu Lissu hili suala Yeye ndo amewashwa sana Kuliko mtu yeyote......
Aliwashauri mkakataa tena kwa makofi yote,sasa anataka kuwaonyesha ya kuwa sheria anazijua ndiyo maana yupo upande wa pili
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vile ni mzalendo wa kweli kuliko wewe na makanikia woye wa ccm.Mbona Tundu Lissu hili suala Yeye ndo amewashwa sana Kuliko mtu yeyote......
Njia muafaka ni kuikataa ccm.Ila si wanatuibia lakini? Lissu to a njia sahihi ya kulimaliza hili! Siyo kuponda bhana!!!!
Tatizo lako unaishi kwa mazoeaUhuru usio na mipaka ni wenda wazima kuchamba kwingi utaondoka na kinyesi..
katika Nchii Tundu Lissu yeye ndio msomi pekee? Hakuna mwingine anayejua sheria za kitaifa na kimataifa zaidi yake yeye? Anajifanya yeye ndiye anaejua kila sheria na kila kanuni kwa Nchi hii ... who is he by the way..
kwa mtazamo wangu akiachiwa aendelee na upayukaji wake bila wanaohusika kuchukua hatua stahiki atawapotosha watu wengi sana..
uongo ukirudiwa mara nyingi hufanana na ukweli kwa wasioweza kupambanua...!!
i think kuna mahali salama zaidi panapomfaa huyu mtu zaidi ya Bungeni.