Tundu Lissu: Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais

Katika Kanuni zote za Uandishi mahala popote pale duniani neno la Kiongozi wa nchi huandikwa kwa kuanzwa na herufi kubwa ila mwenzetu Wewe kwa kuonyesha dharau yako ya Kisiasa hasa kwa Kiongozi aliyepo ambaye unaonekana humpendi umemuwasilisha kwa kumuandika raisi badala ya Raisi / Rais. Sidhani kama ingekuwa Kipenzi chako Lowassa ndiyo Kiongozi wetu ungeuandika hivyo raisi. Acheni dharau za Kipumbavu na mkasirike, mnune hadi mpasuke Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ndiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka 2020 na kuanzia 2020 hadi 2025 na tunafikiria pia kumwomba atuongoze hadi pale atakapochoka Yeye kwani tunaona huyu ndiye Nyerere wa pili hapa Tanzania.
Sio kiongozi wa Nchi tu.hata kama nimwanao,kama umeamua na unaelewa,jina lake litaanza na herufi kubwa.

Kuna vijana humu JF wanaamin kabisa kua JPM hajawahi kuwa mbunge wala waziri kwa katika serikali zilizopita na wao wamemjua tu baada ya kua Raisi.Huo unafiki mkubwa sana swala mikataba mibovu ya madini lilipigiwa sana na wabunge wa upinzani lakini walionekana wajinga.!
 
Its very true! Kikubwa turejee mkataba ulisemaje/ unasemaje? Je walipokuwa wakisign mchanga ulikuwa sehemu ya makubaliano au laa? Na kama ilikuwa ndan ya makubaliano that means tumedefalt na kuna adhabu ambayo ni compasation of the loss and damage! Kulingana na sheria ya mikataba !
Rais anafanya jambo la kizalendo we do appreciate ila kama kama mkataba ulimention mchanga ktk makubaliano! Itatucost tutakuwa tumekiuka tutawalipa zaidi!
Lissu is right kaongea as a lawyer sio kama mpinzani ukiliangalia kwa makini linaweza ku backfire in a bad way but its all depend on what was agreed during the contract!
 
Mkuu punguza jazba kidogo ila kama anapotosha basi tuwekee ukweli unaojua...... kaongelea theory ya economic diplomacy na diplomatic polar je wwe unaona wapi kapotosha ili utuwekee ukweli wote??? Kma he is wrong tuonyeshe alipokosea kwa faida ya wasomaji wote ili kma tumedanganywa utukomboe

Ahsante
JUST TO CORRECT YOU: THE THEORY IS MULTIPOLAR DIPLOMACY AND NOT DIPLOMATIC POLAR
 
Lissu kwa hili nakuona mjinga na sio mzalendo kabisa.. Jinga sana, hivi huyu Lissu anaogopa kushtakiwa sbb tunaibiwa..? Hv Lissu kwa akili yake ya kushindana na Mh Rais kila kitu anapingana na Mh Rais hata hili la mchanga anapinga? Kwa hiyo Lissu anataka tuendelee kuibiwa? Jinga sana Lissu, I demeaned you Lissu, arrogant.. Very unpatriotic, Lissu hovyo sana.. Shit
Just hear urself u brainless idiot!
Lissu is right labda kama hajatumia njia sahihi kufikisha msg yake! Mikataba inasemaje? Mchanga was part of the contract or not? if it was na hii order ya kuwakataza they will sue our government and will cost us! They have nothing to lose sbb tutawalipa! Ila kama haikuwa sehem ya mkataba president is right! Tho as a reasonable person sidhan kama mikataba ilisainiwa bila mchanga kuwa mentioned! Kikubwa watuambie mkataba ulisemaje? uliwaruhusu au laa!
Next time control the diarrhea of ur mouth!
 
Hivi kitu Gani Tundu Lisu Aliwahi kukipigia kelele kikasikilizwa na kufanyiwa kazi?
Mara zote amepuuzwa afu yakiwakuta wanatuambia tuungane!!!

Anyway kma umefuatilia mijadala ya kibunge na miswada mbalimbali amekuwa mstari wa mbele kwenye kuirekebisha na amesaidia sana rejea alivyozuia mpango wa miaka 5 rejea alipokuwa kamati ya kanuni BMK, rejea whistleblowers act n.k hta wakati anna makinda anamaliza wakati wake alikubali kuwa kati ya watu waliompa changamoto hasa ya kisheria ni tundu lisu !!!!

Anyway all in all tundu lisu ni asset tukiweka ushabiki pembeni ni mti muhim sana bungeni hasa kwenye kuchambua miswada ya kisheria
 
Daaa mkuu hii ni noma

Tundu lissu ni kigeu geu, umesahau walibadilishia gia angani wakamuacha mzalendo wa kweli dr, slaa? Ndio waliomuita lowasa papa fisadi baadae wakatusaliti wakamusafisha,ndio aliepiga kelele kuhs mikataba hii kipind cha nyuma leo jpm amelivalia njuga tundu lissu kageuka tena
Tuweni wamoja ktk mambo ya msingi
Halafu tukishavunja atakuja na story nyingine,acheni ujinga sio kila anachosema Lissu ni sawa tena kuwaambia hata bungeni msifikiri kila anachosema yeye ni sahihi lakini nyie kwa ujinga wenu mnampigia miruzi mingi na kuvimbisha like bichwa lake na tumbo kama chura wa kihansi
Ana maslahi na hii kitu hilo povu tushaelewa maana yake.
wapiga debe msiojielewa katika u bora wenu wa kutetea upuuzi
hanaga walau jambo la kheri dhidi ya utawala...
hivi tanzania nzima hakuna wanasheria wabobezi kumzidi yeye..???..maana jamaa kila jambo kwake limekosewa tuu....
 
Lissu kwa hili nakuona mjinga na sio mzalendo kabisa.. Jinga sana, hivi huyu Lissu anaogopa kushtakiwa sbb tunaibiwa..? Hv Lissu kwa akili yake ya kushindana na Mh Rais kila kitu anapingana na Mh Rais hata hili la mchanga anapinga? Kwa hiyo Lissu anataka tuendelee kuibiwa? Jinga sana Lissu, I demeaned you Lissu, arrogant.. Very unpatriotic, Lissu hovyo sana.. Shit
Kwahiyo uzalendo ni kusupport kila kitu cha serikalo yako hta kma unaona it aint right??? Unadoubt uzalendo wa lisu?? Wakati anapigwa virungu kule nyamongo alipokuwa anasimamia kesi za wananchi waliotimuliwa maeneo ya migodini ulikuwa wapi??? Kule tabora alipoanza harakati za kupambana na wawekezaji wababaishaji wanaoliibia taifa wazi wazi hadi akawekwa ndani wwe ulikuwa wapi??? Leo ndio unadoubt uzalendo wake????

Lisu yye katoa rai yake maana mikataba mliingia ninyi wenyewe ssa mnachukua maamuzi ya kukurupuka ambayo yanaweza leta hasara kwa watanzania akiwemo lisu ssa hutaki aseme ya moyoni???? Hapana hapana nyie ndio mmetufkisha hapa tulipo hamna moral authority ya kupinga maoni yake ukizingatia dowans mlituingiza hasara hivyo kipi kiwafanye awaamini nyie???
 
Leo mnamtukana kosa kuwaambia ukweli? let us see jamaa wanapata lose ya 1. O million per day, je watakaa kimya
 
Back
Top Bottom