uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,406
- 3,595
- Thread starter
- #181
Shamba lenye ukubwa ekari tatu.kila ekari moja laki nane,Shamba zuri kwa makazi,kilimo na ufugaji,mazao yanayo kubali,Mahindi,karanga.mihogo,matango,bamia,hoho na nyanya,umbali toka mtoni mita 800.,pia zipo ekari nyingine bei zinatofautiana kulingana na umbali wa mto,.milioni tatu mpaka 2.karibuni