Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
Deo Filikunjombe anasomesha watoto yatima kule Ludewa kama anavyofanya sasa hivi Godbless Lema. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Wacha niseme kitu kimoja,
Kudaiwa na benki si dhambi.Kama ni mfanyabiashara si ajabu kudaiwa na Benki.Nidhamu ya fedha haipimwi kwa kuangalia unadaiwa kaisi gani na Benki
Pili,Huyu kijana kama ana uwezo wa kugombea na agombeee.Hebu tuone CV yake nzima tujue
Pia si yule aliyetamka kuwa hajaamua kugombea bado?Inaonekana huyu anacheza political games sasa,na anaweza kuwa na strategy nzuri ya kampeni.Anyway,ngoja muda ukifika tutajua ni mtu wa aina gani....
Ndio nani huyo mkuu? tupe wasifu wake ili tumpigie kura hiyo siku itakapofika.
Hana historia ya ajabu, ni mjasirial mali ambaye anapenda sana kufanya kazi kwa malengo na jitihada na bidii. Huwa anafanya biashara kama msomi. Wakati mwingine anafanya biashara za kimataifa.
Monica Mbega alikuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro si mkuu tena kwasasa na nafasi yake inakaimiwa na mkuu wa mkoa wa Tanga.masahihisho
Mzee mbunge wa iringa si mkuu wa mkoa wa arusha bali aliyekuwa mbunge wa ccm iringa mjini monica mbega ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro. hii ni sehem ukweli wenye utafiti si brabra
Nakumbuka nilikutana naye huyu jamaa akiwa anaandaa ambulance ilikuitoa msaada jimboni mwake hapo alinipa business card yake ambayo ilisomeka kama ni Katibu wa UV-CCM.. Nilimuuliza mkuu unataka kugombea ubunge nini? alikataa kabisa alisema huu ni msaada tu natoa.. Kambukumbu zimekaa sawia nakumbuka ilikataliwa siku anaitoa hilo gari ya wagonjwa kwani ilioneka ni kama rushwa kwani alikuwa na mpango wa kuchukuwa form za kugombea kupitishwa na CCM .
Kwani nani asiyejua CCM Bila kutoa rushwa hupati ubunge tena ukiangalia hali za watu wa Ludewa utashangaa.
Hapa mjini anabiashara gani? Anaoneka nimjanjamjanja sana.