mhugo hantish
Senior Member
- Apr 21, 2015
- 135
- 33
Akihutubia wananchi wa Jimbo la Ludewa kata ya Ludewa mh. Deo Filikunjombe ametangaza rasmi kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya ubunge kwa awamu ya pili.
Katika hali isiyo ya kawaida wakati shamrashamra za wana CCM wakionyesha kumpokea mh. Deo zikiendelea chama cha ACT-Wazalendo kimeonyesha kupaza sauti za nyimbo zao mbele ya wana CCM huku wakiwa ndani ya gari lao.
TUTAENDELEA kukujuza itakachoendelea katika uwanja wa mpira Ludewa mjini.
Katika hali isiyo ya kawaida wakati shamrashamra za wana CCM wakionyesha kumpokea mh. Deo zikiendelea chama cha ACT-Wazalendo kimeonyesha kupaza sauti za nyimbo zao mbele ya wana CCM huku wakiwa ndani ya gari lao.
TUTAENDELEA kukujuza itakachoendelea katika uwanja wa mpira Ludewa mjini.