kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,356
- 789
Matokeo ya Ubunge kura za maoni CCM Ludewa
- Deo Ngalawa 537
- Philip Filikunjombe 501
- Mpangala 3
- Emmanuel Mgaya (Masanja Mkandamizaji) 19
- James Mgaya 72
- Dr Evaristo Mtitu 21
- Chaula 38
=====================
Deo Ngalawa ameteuliwa na wana CCM Ludewa kugombea ubunge wa jimbo hilo baada ya kushinda mchakato wa kura za maoni kwa kupata kura 537 dhidi ya kura 501 alizopata Philip Filikunjombe ambaye pia ni kaka wa marehemu Deo Filikunjombe aliyefariki katika ajali ya helkopta.
Mchakato unaendelea ngazi ya Kamati Kuu.
Zilizoharibika 2
- Deo Ngalawa 537
- Philip Filikunjombe 501
- Mpangala 3
- Emmanuel Mgaya (Masanja Mkandamizaji) 19
- James Mgaya 72
- Dr Evaristo Mtitu 21
- Chaula 38
=====================
Deo Ngalawa ameteuliwa na wana CCM Ludewa kugombea ubunge wa jimbo hilo baada ya kushinda mchakato wa kura za maoni kwa kupata kura 537 dhidi ya kura 501 alizopata Philip Filikunjombe ambaye pia ni kaka wa marehemu Deo Filikunjombe aliyefariki katika ajali ya helkopta.
Mchakato unaendelea ngazi ya Kamati Kuu.
Zilizoharibika 2