msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,067
- 1,136
Bila ya Mbowe Kuondolewa Madarakani CHADEMA ili Kukisafisha CHADEMA kutoka kwenye ukabila alioupandikiza, CDM itaishia kuwa Kama NCCR, Hasa Ukitilia Maanani Kuwepo Kwa vyama vingine vya Upinzani vyenye Demokrasia mbadala na kubwa kama ACT.
ACT ina democrasia gani ikiwa zitto anaitwa kiongozi mkuu ili hali mwenyekiti yupo? Sasa mwenyekiti ataitwa nani? Amepora madaraka ya m'kiti, wewe unasema wana democracy, you must be out of your mind.