sk2000
JF-Expert Member
- May 19, 2012
- 754
- 436
Hiki chama cha kidini na ukabila kikiingia madarakani nawahurumia sn ndugu zangu waislam maana tangu aingie kikwete hawajapgwa cku nyingi kwahyo wame mic sana kubondwa ndo maana wanashabikia hk chama wakumbuke enzi ya mkapa halafu wafikirie wakiingia hawa jamaa maana bora ya mkapa hawa jamaa udini na ukabira wameweka mbele.
wewe kidudu mtu tu! siyo binadam kamili huna madhara wala nini na porojo zako. tena unatakiwa ukamatwe upelekwe milembe ukamalizie maisha yako huko.