binti ashura
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 118
- 19
Kutoka moyoni naichukia sana ccm kutokana na uozo wa baadhi ya viongozi wake lakini mbali na kasoro hzo za ccm bado cjaona chama ambacho kinauwezo wa kupigania maslahi ya wa tz coz hk cdm ambacho tunafuata mkumbo kukishabikia hakina tofauti na ccm maana chama hiki kimejaa udini na ukabila wanajifanya wao wasafi hawana lolote kudhihirisha ukabila na undugu ndani ya cdm tuangalie viti maalum walivyoweka ndugu na mademu zao hata hao viongozi wanaosumbua ktk ccm kutokana na tuhuma za ufisadi ni hao wa kaskazini na leo tunataka tuwape nchi ok hla tutamkumbuka baba riz1 kama tunavyomkumbuka mkapa maana cdm ndo mtaharibu kuliko baba riz1 na sasa hv wameanzisha movement 4 chaga(M4C)
Wengine sasa ndiyo tunalia na kusaga meno na kujuta sana kwa utawala uliopo sasa sijui kilio kijacho kitakuwaje. ila ni bora kwenda kujaribu usikokujua kuliko kwenda kule unakokufahamu kwa ubaya!.
ukiambiwa mwanaume huyu anaukimwi na mwingine haijulikani ya kuwa ana ukimwi au hana ukiambiwa chagua mmoja wa kuolewa nae utachagua yupi
bila shaka utachagua yule usiyemfahamu kwakuwa kuna nafasi ya kuwa anaweza kuwa hana kuliko yule nimjuae kuwa anao.
kwahiyo chadema hatujui wakichukua nchi watakuwaje lakini ccm hawana jipya tunawafahamu tangia uhuru tunao