install Youwave au BlueStarks kwenye pc yako, ni mobile emulators zitakozokuwa na interface ya android kisha utaona apps, whatsapp imo ndani chagua fanya config kama kwenye simu na utakuwa tayari kuanza
Download App inaitwa Bluestack Kutoka hapa Run Mobile Apps on Windows PC or Mac with BlueStacks | Android App Player then Run Hyo app so Utakua na Access na Playstore so utaweza Kudownload App zote Ikiwemo Whatsapp Instagram, viber, tango, na nymgneee
ila Hyo App Ni ina Mb 8 tu ila inahtaji Specs kubwaaa
kwanza Ram Lazma Iwe 2gb Pia Graphic accelerator lazma ziwe Updated... So Kabla Ya Kudownload Na Kuinstall Fix Hzo kwanzaaa
View attachment 102453
mpaka hapo no nilipoishia,muongozo wenu wakuu
grafic accerelator ni zipi, ni nini nafanyaje
Majibu Ya maswali Yako Yote Yapo Ukianz Kuupitia Huu Uzi Tangu Mwanzo... na hata Ku google n muhmu
@C6
nimefanikiwa kuinstall youwave,na nimeingia kwenye apps, lakini sijaipata whatsapp.
sasa sijui ni ushamba au vp. naomba muongozo wako
ukiwaambia watu kugoogle utagombana nao. we mwaga tu madude
install Youwave au BlueStarks kwenye pc yako, ni mobile emulators zitakozokuwa na interface ya android kisha utaona apps, whatsapp imo ndani chagua fanya config kama kwenye simu na utakuwa tayari kuanza
mdogo wangu C6 mimi hata kuinstall browser tu ni kasheshe seuze haya makitu??
ngoja nikwambie hapa nilipo siwez kupata gmail na nimeshindwa kurudisha kila mara naambiwa connection untrusted mwishowe nimejikatia tamaa.
mm na haya mauchawi ya elektronics sijui kabisaaaaaa, lakini ile program ya kuandisha chemical structure ile ninayo lol!!
install Youwave au BlueStarks kwenye pc yako, ni mobile emulators zitakozokuwa na interface ya android kisha utaona apps, whatsapp imo ndani chagua fanya config kama kwenye simu na utakuwa tayari kuanza
Jinsi ya kutumia whatsapp kwenye youwave (MAELEKEZO)
1. INSTALL YOUWAVE, WEKA NA CRACK, UKISHAMALIZA START YOUWAVE
>>>>>>>>>Download YouWave Hapa<<<<<<<<<<<<<<<<
2. UPANDE WA KUSHOTO CLICK VIEW > ONLINE CONTENT
3. KWENYE ONLINE APPS CHAGUA WHATSAPP (DOUBLE CLICK) ITAANZA KUDOWNLOAD WHATSAPP KISHA ITAINSTALL, ILA KAMA UNAYO WHATSAPP.APK KWENYE PC UNAWEZA KUINSTALL DIRECT, BAADA YA KUINSTALL CLICK MENU BUTTON YA ANDROID YAKO
4. UKIFUNGUA ANDROID MENU YAKO UTAONA APPS, FANYA KAMA UNASWIPE KWENYE SIMU YAKO (HOLD KISHA DRAG ILI UPATE APPS ZAIDI)
5. DOUBLE CLICK WHATSAPP NA UANZE SETUP YA WHATSAPP
6. VOILAAAAAAAAAAAAA, U DONE , HONGERAAA