wakuu naomba mnipe hint katika haya mambo mawiliNafikiri umeona mkuu whatsapp, viber, na mazogozogo yote ya andoid naenjoy
habar wana jf! Mwenye maujuzi na hyo kitu anipe trick nifanye nn niweke whatsapp kwenye computer
install Youwave au BlueStarks kwenye pc yako, ni mobile emulators zitakozokuwa na interface ya android kisha utaona apps, whatsapp imo ndani chagua fanya config kama kwenye simu na utakuwa tayari kuanza
install Youwave au BlueStarks kwenye pc yako, ni mobile emulators zitakozokuwa na interface ya android kisha utaona apps, whatsapp imo ndani chagua fanya config kama kwenye simu na utakuwa tayari kuanza
Download App inaitwa Bluestack Kutoka hapa Run Mobile Apps on Windows PC or Mac with BlueStacks | Android App Player then Run Hyo app so Utakua na Access na Playstore so utaweza Kudownload App zote Ikiwemo Whatsapp Instagram, viber, tango, na nymgneee
ila Hyo App Ni ina Mb 8 tu ila inahtaji Specs kubwaaa
kwanza Ram Lazma Iwe 2gb Pia Graphic accelerator lazma ziwe Updated... So Kabla Ya Kudownload Na Kuinstall Fix Hzo kwanzaaa
Ukisha insall bluestack, ingia kwenye google play install go launcher ex, itaifanya hiyo bluestack iwe na mwonekano mzur wa android kama za cm, bt kunakua hakuna mwingiliano wwte kati ya pc na bluestack mfano ukitaka kutuma picha kwa kutumia watsapp na kama hiyo picha imo kwenye pc, inatakiwa ui install dropbox kwenye pc yako.
asante sana c6, nimedownload hyo youwave ila inakua haipo active, napo hapo nifanyaje!
nimedownload bluestack nikianza kuinstall inagoma
pc yangu ina ram 2gb, procesor 3.2 , graphics yake ni intel au inataka nvidia
nimedownload bluestack nikianza kuinstall inagoma
nilisahau, youwave ni yalipia(nnayo iliyochakachuliwa) itoe, weka bluestack, ila uwa ina ishu za ram, vga drivers etc ndo maana siipendi
na Mm Nigepenga Kuipata Hyo Cracked Mkuuu!!! tunaeza Pata Link??