Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,637
- 29,809
mimi nakumbuka wali na maharagwe wakati wa kufunga shule hasa miditerm.
Halafu kule primary tulikuwa na shemba letu la shule ambapo mahindi na viazi vilikuwa kwa wingi, na sio mbali sana ni pale pale jijini dar. ila sasa nikipita shule ile hakuna kitu zaidi ya uzio wa matofali na watoto waliochoka kisaikolojia.
MUNGAI MUST GO
Halafu kule primary tulikuwa na shemba letu la shule ambapo mahindi na viazi vilikuwa kwa wingi, na sio mbali sana ni pale pale jijini dar. ila sasa nikipita shule ile hakuna kitu zaidi ya uzio wa matofali na watoto waliochoka kisaikolojia.
MUNGAI MUST GO